Dkt. Mwigulu Nchemba: Nikimposti mwanangu mnasema "kameshiba dola zetu hako"; kanakutana nazo wapi?


Hatari sana mkuu kule India watu kama hawa familia inawauwa inaitwa honor killing.
Ni mfumo mbovu wa teuzi za kisiasa ndio zimezalisha wajingawajinga kama hawa wanategemea wasifiesifie hata ujinga ili wateuliwe nafasi za uteuzi mara nyingi watu wa namna hii hawana sifa wala vigezo vya kuteuliwa kwa hiyo mbinu wanazotumia ni kusifia sifia bila hata kuona haya ikibidi hata bila kujali utu wake
 
Waziri kilaza yani tupende vinavyozalishwa kwetu wakati nyie kutwa mna maduka yanu ya spea manaagiza uchinani kila uchwao toka muingie 2015 ni viwanda vitatu vya kueleweka bagamoyo sugar na kile chakuunganisha magari tena kile sio kiwanda ni assembling point hakizalishi yeye kinaunganisha kwa sio kiwanda mnajitapa sana uchumi umekua may be umekua mfukoni mwenu ila huku down pagumu sana leo hui Tz hatuna hata kiwanda cha kutengeneza t-shirt za kueleweke yani mnakimbilia uchinani kwenye low grade mkija huku mje mtupige pesa ndefu.
 
 

Attachments

  • IMG_5563.jpeg
    128.8 KB · Views: 1
Lipeni pesa za wakandarasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ