Dkt. Mwigulu Nchemba: Nikimposti mwanangu mnasema "kameshiba dola zetu hako"; kanakutana nazo wapi?

Eti mtoto anabubujika kwa dola.
 
Anakuringishia mashavu dodo ya chalii.Halafu ni kama hajajua hasara za mitandao ya kijamii kuweka picha za watoto.Ameanza kulia kwa kwikwi.
Kwani hao Waja wanampa kichambo kidogo, kwa kuogopa kutupwa huko Katavii.
Vinginevyo angekua anafurahishwa zaidi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani hao Waja wanampa kichambo kidogo, kwa kuogopa kutupwa huko Katavii.
Vinginevyo angekua anafurahishwa zaidi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tujifunze.Kuweka picha za watoto mitandaoni ni upotofu mkubwa.
 
Shahawa nyingine heri zingemwagwa nje tu
 
Ati ni Dr na waziri! Anapata wapi muda wa kufikiri na kupost mambo ya kitotokitoto mtandaoni, watu wanategemea kwa ngazi yake aelekeze nguvu kuboost uchumi wa nchi badala ya statement za kijingakijinga
 
Ana kawaida ya kujiona yuko bora sana, na huwachukulia watanzania wote ni wajinga, anajisahau kuwa ni mlugaluga wa kuja tu mjini
 
Ati ni Dr na waziri! Anapata wapi muda wa kufikiri na kupost mambo ya kitotokitoto mtandaoni, watu wanategemea kwa ngazi yake aelekeze nguvu kuboost uchumi wa nchi badala ya statement za kijingakijinga
Acha wivu wako wewe. Kwani huoni namna uchumi wetu ulivyo imara na wenye nguvu na wenye kugusa Maisha ya watanzania?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…