King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Madelu hajui vitu gani vya kusema kwa waTZ waliochoka....Unamwambia mtu pato lake ni 2.8m wakati hata chai hajanywa asubuhi na usku hajui atakula nini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye na majangili wenzake wanahisi kila mtu anazoMadelu hajui vitu gani vya kusema kwa waTZ waliochoka....Unamwambia mtu pato lake ni 2.8m wakati hata chai hajanywa asubuhi na usku hajui atakula nini.
Hapo wakati anaongea ameshiba haswaHesabu za Makaratasini 😀
Yule jamaa sijui hata kwanini bado yuko ofisini.Hapo wakati anaongea ameshiba haswa
Amewekwa na mafisadi kama ilivyo kwa Ummy, Makamba, Bashe, Mbarawa n.kYule jamaa sijui hata kwanini bado yuko ofisini.
Nchii hii hii au Burundi ?Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021.
Hivyo, kutokana na idadi ya watu Tanzania Bara, Pato la Taifa kwa Mtu kwa mwaka 2022 ni TZS milioni 2.844 ikilinganishwa na TZS milioni 2.708 mwaka 2021.
Kiasi hicho ni sawa na dola za Marekani 1,229.1 mwaka 2022 kwa mtu kwa mwaka ikilinganishwa na dola za Marekani 1,173.3 mwaka 2021.
Hali hii inaendelea kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ngazi ya chini.
Hatutaki ukoloni na utumwa Tanzania.Bado Nchi Ina maskini wa kutosha na mnavyokataa kusaidiwa na Waarabu wa DP ndio mtazidi kuwa mafukara 😆😆
Akili yako imekaa kitegemezi sana.unawaza kusaidiwa ata kwayale yaliyo ndani ya uwezo wako wakufanya.Bado Nchi Ina maskini wa kutosha na mnavyokataa kusaidiwa na Waarabu wa DP ndio mtazidi kuwa mafukara [emoji38][emoji38]
Uwekezaji sio utegemezi wewe mjingaAkili yako imekaa kitegemezi sana.unawaza kusaidiwa ata kwayale yaliyo ndani ya uwezo wako wakufanya.
Hebu chukua calculator kisha uigawanye hiyo 2.8M kwa siku 365 utapata Tshs. 7,671.23.
Hivyo basi hawa wapuuzi wanaona ile buku sabasaba wanayowapaga Lumumba kuja kubwekabweka humu JF ndio average income ya kila mtanzania😂🤣.
Kwenye nyuzi kama hizi wale sifia sifia hawaonekani walaah
Ila kiuhalisia waziri kapuyanga
Nchi haijashuka tuko uchumi wa kati wa chiniSi madam alisema tumeshuka mpaka nchi masikini!
Hebu chukua calculator kisha uigawanye hiyo 2.8M kwa siku 365 utapata Tshs. 7,671.23.
Hivyo basi hawa wapuuzi wanaona ile buku sabasaba wanayowapaga Lumumba kuja kubwekabweka humu JF ndio average income ya kila mtanzania😂🤣.
Yule hana Akili lazima adhihirishe hilo kwa anacho ongera.Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021.
Hivyo, kutokana na idadi ya watu Tanzania Bara, Pato la Taifa kwa Mtu kwa mwaka 2022 ni TZS milioni 2.844 ikilinganishwa na TZS milioni 2.708 mwaka 2021.
Kiasi hicho ni sawa na dola za Marekani 1,229.1 mwaka 2022 kwa mtu kwa mwaka ikilinganishwa na dola za Marekani 1,173.3 mwaka 2021.
Hali hii inaendelea kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ngazi ya chini.
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021.
Hivyo, kutokana na idadi ya watu Tanzania Bara, Pato la Taifa kwa Mtu kwa mwaka 2022 ni TZS milioni 2.844 ikilinganishwa na TZS milioni 2.708 mwaka 2021.
Kiasi hicho ni sawa na dola za Marekani 1,229.1 mwaka 2022 kwa mtu kwa mwaka ikilinganishwa na dola za Marekani 1,173.3 mwaka 2021.
Hali hii inaendelea kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ngazi ya chini.