Dkt. Mwigulu: Pato la kila mtu nchini lafikia milioni 2.8

Dkt. Mwigulu: Pato la kila mtu nchini lafikia milioni 2.8

Sasa sie huku tunamuuliza Dkt. Mwigulu kwamba tunaipataje namba yake ya simu ili tumtumie akaunti zetu atudumbukizie hicho kiasi chetu cha 2 pointi AT million?

NB: Dkt., kumbuka kutuma na ya kutolea.
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021.

Hivyo, kutokana na idadi ya watu Tanzania Bara, Pato la Taifa kwa Mtu kwa mwaka 2022 ni TZS milioni 2.844 ikilinganishwa na TZS milioni 2.708 mwaka 2021.

Kiasi hicho ni sawa na dola za Marekani 1,229.1 mwaka 2022 kwa mtu kwa mwaka ikilinganishwa na dola za Marekani 1,173.3 mwaka 2021.

Hali hii inaendelea kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ngazi ya chini.
Nchii hii hii au Burundi ?
 
Aisee ni hatari nimecheka sana.
Hebu chukua calculator kisha uigawanye hiyo 2.8M kwa siku 365 utapata Tshs. 7,671.23.
Hivyo basi hawa wapuuzi wanaona ile buku sabasaba wanayowapaga Lumumba kuja kubwekabweka humu JF ndio average income ya kila mtanzania😂🤣.


Kama uchumi wa kwenye makaratasi ndiyo uhalisia wa maisha yetu basi tumeendelea sana.
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021.

Hivyo, kutokana na idadi ya watu Tanzania Bara, Pato la Taifa kwa Mtu kwa mwaka 2022 ni TZS milioni 2.844 ikilinganishwa na TZS milioni 2.708 mwaka 2021.

Kiasi hicho ni sawa na dola za Marekani 1,229.1 mwaka 2022 kwa mtu kwa mwaka ikilinganishwa na dola za Marekani 1,173.3 mwaka 2021.

Hali hii inaendelea kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ngazi ya chini.
Yule hana Akili lazima adhihirishe hilo kwa anacho ongera.
 
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema mwaka 2022 Pato Ghafi la Taifa lilikuwa TZS trilioni 170.3 ikilinganishwa na TZS trilioni 156.4 mwaka 2021.

Hivyo, kutokana na idadi ya watu Tanzania Bara, Pato la Taifa kwa Mtu kwa mwaka 2022 ni TZS milioni 2.844 ikilinganishwa na TZS milioni 2.708 mwaka 2021.

Kiasi hicho ni sawa na dola za Marekani 1,229.1 mwaka 2022 kwa mtu kwa mwaka ikilinganishwa na dola za Marekani 1,173.3 mwaka 2021.

Hali hii inaendelea kuifanya Tanzania kuwa nchi ya uchumi wa kati ngazi ya chini.
 
Back
Top Bottom