chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha.
---
SIASA: Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekemea kauli za vitisho zinazotolewa na baadhi ya Vijana wa chama hicho dhidi ya Wapinzani wao akieleza Chama kinapinga utaratibu huo
Akizungumza kutoka Jijini Mbeya katika Mkutano wa Hadhara, Dkt. Nchimbi amesema "Akiinuka Kijana wa CCM akasema Wapinzani wetu wakifanya hivi na hivi lazima tuwapoteze, huyu ni kijana wetu lakini kasema jambo la kijinga tutalipinga kwasababu nchi hii ni yetu sote."
Kauli ya Balozi Nchimbi inakuja muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhan, kusema Wakiwapoteza wanaowatusi Viongozi Mitandaoni, Jeshi la Polisi lisiwatafute.
===================
The Secretary-General of CCM, Ambassador Dr. Emmanuel Nchimbi, has condemned threatening statements made by some youth within the party against their opponents, emphasizing that the party opposes such behavior.
Speaking from Mbeya City at a public meeting, Dr. Nchimbi stated, "If a CCM youth rises and says we must eliminate our opponents for doing this or that, while he is our youth, if he says something foolish, we will oppose it because this country belongs to us all."
Ambassador Nchimbi's remarks come shortly after the UVCCM Chairman for Kagera Region, Faris Buruhan, stated that if they lose those who insult leaders online, the police should not search for them.
PIA SOMA:
- Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
- CCM ya sasa ingekuwa smart ingemkana Mwenyekiti UVCCM Kagera. Kwa kunyamaza ni kama wanathbitisha ni wauwaji
---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza kutolewa na vijana wa chama hicho juu ya kuwapoteza watu wanaowapinga: “Huyu ni kijana wetu kasema jambo la kijinga na lazima tulipinge.”SIASA: Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekemea kauli za vitisho zinazotolewa na baadhi ya Vijana wa chama hicho dhidi ya Wapinzani wao akieleza Chama kinapinga utaratibu huo
Akizungumza kutoka Jijini Mbeya katika Mkutano wa Hadhara, Dkt. Nchimbi amesema "Akiinuka Kijana wa CCM akasema Wapinzani wetu wakifanya hivi na hivi lazima tuwapoteze, huyu ni kijana wetu lakini kasema jambo la kijinga tutalipinga kwasababu nchi hii ni yetu sote."
Kauli ya Balozi Nchimbi inakuja muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhan, kusema Wakiwapoteza wanaowatusi Viongozi Mitandaoni, Jeshi la Polisi lisiwatafute.
===================
Speaking from Mbeya City at a public meeting, Dr. Nchimbi stated, "If a CCM youth rises and says we must eliminate our opponents for doing this or that, while he is our youth, if he says something foolish, we will oppose it because this country belongs to us all."
Ambassador Nchimbi's remarks come shortly after the UVCCM Chairman for Kagera Region, Faris Buruhan, stated that if they lose those who insult leaders online, the police should not search for them.
PIA SOMA:
- Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
- CCM ya sasa ingekuwa smart ingemkana Mwenyekiti UVCCM Kagera. Kwa kunyamaza ni kama wanathbitisha ni wauwaji