macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kwa asilimia kubwa hajui chchote. Ni ile ''ntoke vipi mama anione''. Huu ujinga umekuwa kama ndiyo utamaduni wa vijana wa CCM sasa hivi.wahaya Kwa sifa 😂😂, uyo kijana ukute hajui chochote kuhusu wanaopotea lakini tayari kaisha ingia kwenye kikaangio