Dkt. Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali

Dkt. Nchimbi apinga kauli ya Mwenyekiti wa UVCCM Kagera aliyeahidi "kuwapoteza" wakosoaji wa serikali

Nadhani Nchimbi amekomaa na kuiva kisiasa.
Nchimbi yuko mahali ambako sio sahihi.anaonekana ni mtu anayetamani haki na usawa vitamalaki lakini hataweza kufanikiwa kwasababu ya uwepo wa wajinga wengi wanaofikiri siasa ni ugomvi na mabavu badala ya ushindani wa hoja na uwajibikaji.
 
Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha.
---

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza kutolewa na vijana wa chama hicho juu ya kuwapoteza watu wanaowapinga: “Huyu ni kijana wetu kasema jambo la kijinga na lazima tulipinge.”
---
View attachment 2966818
SIASA: Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekemea kauli za vitisho zinazotolewa na baadhi ya Vijana wa chama hicho dhidi ya Wapinzani wao akieleza Chama kinapinga utaratibu huo

Akizungumza kutoka Jijini Mbeya katika Mkutano wa Hadhara, Dkt. Nchimbi amesema "Akiinuka Kijana wa CCM akasema Wapinzani wetu wakifanya hivi na hivi lazima tuwapoteze, huyu ni kijana wetu lakini kasema jambo la kijinga tutalipinga kwasababu nchi hii ni yetu sote."

Kauli ya Balozi Nchimbi inakuja muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhan, kusema Wakiwapoteza wanaowatusi Viongozi Mitandaoni, Jeshi la Polisi lisiwatafute

PIA SOMA:
- Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

- CCM ya sasa ingekuwa smart ingemkana Mwenyekiti UVCCM Kagera. Kwa kunyamaza ni kama wanathbitisha ni wauwaji
Nchimbi pamoja na madhaifu yake lakini ameona mbali
 
Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha.
---

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza kutolewa na vijana wa chama hicho juu ya kuwapoteza watu wanaowapinga: “Huyu ni kijana wetu kasema jambo la kijinga na lazima tulipinge.”
---
View attachment 2966818
SIASA: Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekemea kauli za vitisho zinazotolewa na baadhi ya Vijana wa chama hicho dhidi ya Wapinzani wao akieleza Chama kinapinga utaratibu huo

Akizungumza kutoka Jijini Mbeya katika Mkutano wa Hadhara, Dkt. Nchimbi amesema "Akiinuka Kijana wa CCM akasema Wapinzani wetu wakifanya hivi na hivi lazima tuwapoteze, huyu ni kijana wetu lakini kasema jambo la kijinga tutalipinga kwasababu nchi hii ni yetu sote."

Kauli ya Balozi Nchimbi inakuja muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhan, kusema Wakiwapoteza wanaowatusi Viongozi Mitandaoni, Jeshi la Polisi lisiwatafute

PIA SOMA:
- Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

- CCM ya sasa ingekuwa smart ingemkana Mwenyekiti UVCCM Kagera. Kwa kunyamaza ni kama wanathbitisha ni wauwaji
Kuna uwezekano mkubwa kuwa dogo katoa siri ya mambo yao tu. Hivi waliowengi humo sio wale wasiojulikana kweli?!
 
Alichokosea huyo nzi wa kijani huko Kagera ni kutamka waziwazi mabosi wake Huwa hawasemi hadharani wanakupoteza kimya kimya.
 
Huyo Katibu wa UV-CCM atakuwa na Roho ya Magufuli.
 
Wengi mnachosahau ni kwamma...
  • Faris Buruhan ndiye Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera.
  • Kauli yake hiyo ilipokelewa kwa nderemo toka kwa wasikilizaji.
  • Wasikilizaji hao ni pamoja na viongoji wa chama na serikali.
  • Walikuwepo pia wana usalama ambao maagizo hayo yalielekezwa kwao.
  • Wakati anatoa maagizo kwa polisi tayari kuna wananchi wanaodaiwa kutekwa na bado hawajulikani waliko.
Nilikuwa nasubiri kusikia hatua zilizochukuliwa kwa huyo na kwamba tayari anaisaidia polisi kutafuta ukweli.

Swali linaloumiza kichwa zaidi ni je, hadi dakika hii, Faris Buruhan bado ndiye Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera?
 
Siku zote ukiwa na msaidizi wako, akasema kwa ujasiri kuhusu yale atakayoyasimamia au kutenda, wewe ambaye ni mkuu wake wa kazi utafurahia kauli yake. Unaweza kukaa kimya, kusubiria utekelezaji ili umpongeze. Na kama ikitokea msaidizi wako huyo akatoa kauli iliyo tofauti na mtazamo wa institution yenu, mara moja utamfukuza au kumuonya. Ukiamua kumuonya, utamfuatilia ili kujua kama onyo lako amelizingatia.

Mwenyekiti wa UVCCM wa mkoa wa Kagera, Faris Burhan, akielezea msimamo wa UVCCM, aliwaambia polisi kuwa, mtu yeyote anayewakosoa viongozi (akimaanisha viongozi wa Serikali na CCM), wakipotea, polisi wasiwatafute (akimaanisha kuwa ni wao UVCCM ndio watakuwa wamewapoteza). Kauli hiyo haikuwahi kupingwa na kiongozi mwingine yeyote wa UVCCM au CCM. Ina maana kauli ile ilipewa baraka na CCM, UVCCM, Serikali na jeshi la polisi.

Baada ya kauli ile, wakosoaji wa Serikali, wanaharakati na viongozi wa CHADEMA, wengi wametekwa, na kupotezwa. Wengine miili yao imeonekana na wengine mpaka leo haijulikani iliko. Na kama alivyosema yule kiongozi, polisi hawakuonekana kufanya jitihada za kweli za kuwatafuta waliotekwa. Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM hakuonekana kuguswa na lolote na utekaji wa hao watu, bali alidhihaki kwa kauli kuwa HIZO NI DRAMA.

Kwa kuwa mwenyekiti yule wa UVCCM inaonekana anatembea kwenye kauli yake ya kuwapoteza binadamu, na bila shaka ndiyo mwongozi wa CCM, BASI MPENI PONGEZI KWA KUSIMAMIA YALE YALIYOBARIKIWA NA CCM. Msiwe wanafiki, sahizi kutaka kujitenga na kauli yake. Bakini huko huko, watanzania wawajue kiuhalisia namna mlivyo.

RIP Ally, damu yako iwe juu ya walioagiza, waliobariki na waliotekeleza mauaji juu yako. Mungu wa mbinguni, tunaomba, damu ya mtu huyu akilipwe nara mia moja dhidi ya wauaji.
 
Halafu kwa unafiki mkubwa, Makala anajifanya eti kutuma pole kwa CHADEMA na familia!! Awe muwazi na ajiamini, atume pongezi kwa UVCCM kwa kufanya yale ambayo CCM inawaagiza.
Komredi Makalla ameongea kama mkristo
 
Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha.

---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza kutolewa na vijana wa chama hicho juu ya kuwapoteza watu wanaowapinga: “Huyu ni kijana wetu kasema jambo la kijinga na lazima tulipinge.”


SIASA: Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amekemea kauli za vitisho zinazotolewa na baadhi ya Vijana wa chama hicho dhidi ya Wapinzani wao akieleza Chama kinapinga utaratibu huo

Akizungumza kutoka Jijini Mbeya katika Mkutano wa Hadhara, Dkt. Nchimbi amesema "Akiinuka Kijana wa CCM akasema Wapinzani wetu wakifanya hivi na hivi lazima tuwapoteze, huyu ni kijana wetu lakini kasema jambo la kijinga tutalipinga kwasababu nchi hii ni yetu sote."

Kauli ya Balozi Nchimbi inakuja muda mfupi baada ya Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhan, kusema Wakiwapoteza wanaowatusi Viongozi Mitandaoni, Jeshi la Polisi lisiwatafute.

===================
The Secretary-General of CCM, Ambassador Dr. Emmanuel Nchimbi, has condemned threatening statements made by some youth within the party against their opponents, emphasizing that the party opposes such behavior.

Speaking from Mbeya City at a public meeting, Dr. Nchimbi stated, "If a CCM youth rises and says we must eliminate our opponents for doing this or that, while he is our youth, if he says something foolish, we will oppose it because this country belongs to us all."

Ambassador Nchimbi's remarks come shortly after the UVCCM Chairman for Kagera Region, Faris Buruhan, stated that if they lose those who insult leaders online, the police should not search for them.

PIA SOMA:
- Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute

- CCM ya sasa ingekuwa smart ingemkana Mwenyekiti UVCCM Kagera. Kwa kunyamaza ni kama wanathbitisha ni wauwaji
Aliyesema amewajibishwa ??!
 
Back
Top Bottom