macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Kwa asilimia kubwa hajui chchote. Ni ile ''ntoke vipi mama anione''. Huu ujinga umekuwa kama ndiyo utamaduni wa vijana wa CCM sasa hivi.wahaya Kwa sifa 😂😂, uyo kijana ukute hajui chochote kuhusu wanaopotea lakini tayari kaisha ingia kwenye kikaangio
Ni mara ya kwanza kwa Kiongozi wa ngazi ya juu ya Chama kutoa kauli sahihi ya kukemea maovu yanayofanywa na vijana wao kutishia Amani ya nchi.Nadhani Nchimbi amekomaa na kuiva kisiasa.
Uharamia wa shujaa wenu.Kimsingi huyo UVCCM anaonekana mbaya Sasa kulingana na walioko IkuluEnzi zile huyo Kijana angepandishwa cheo na kuwa DC kama yule Mnyalu aliyemtishia Zitto 🐼
Respect kwa Dr. Nchimbi.Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha.
---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza kutolewa na vijana wa chama hicho juu ya kuwapoteza watu wanaowapinga: “Huyu ni kijana wetu kasema jambo la kijinga na lazima tulipinge.”
PIA SOMA:
- Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
- CCM ya sasa ingekuwa smart ingemkana Mwenyekiti UVCCM Kagera. Kwa kunyamaza ni kama wanathbitisha ni wauwaji
Inategemea na nchi, Brazil kuna demokrasia Imara sana. Nchi kama Cuba Polepole anaendelea kuiva kwenye siasa za mfumo wa chama kimoja.Ni mara ya kwanza kwa Kiongozi wa ngazi ya juu ya Chama kutoa kauli sahihi ya kukemea maovu yanayofanywa na vijana wao kutishia Amani ya nchi...
Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha.
...
Na ndicho kilichomvimbisha kichwa akidhani atakapotisha watu ataonekana mtetezi mkubwa wa Samia.Enzi zile huyo Kijana angepandishwa cheo na kuwa DC kama yule Mnyalu aliyemtishia Zitto [emoji209]
Safi sana Nchimbi.
Polepole hata angepelekwa US bado angerudi mtupu. Ni kati ya watu ambao wapo addicted na zile siasa chafu ya awamu ya 5.Inategemea na nchi, Brazil kuna demokrasia Imara sana. Nchi kama Cuba Polepole anaendelea kuiva kwenye siasa za mfumo wa chama kimoja.
Kauli hiyo itawafanya vijana waanze kuusoma upepo. Majigambo yatapungua sasa kwa hao vijana maana walishaigeuza hii nchi kuwa mali yao.Ndio hivyo, kiongozi anatakiwa kupinga mambo ya kijinga hadharani. Tunasubiri la kijana wa Arusha.
---
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amekemea kauli zinazoweza kutolewa na vijana wa chama hicho juu ya kuwapoteza watu wanaowapinga: “Huyu ni kijana wetu kasema jambo la kijinga na lazima tulipinge.”
PIA SOMA:
- Mwenyekiti UVCCM Kagera, Faris Buruhan: Tukiwapoteza wanaomtukana Rais Samia mitandaoni, Polisi msiwatafute
- CCM ya sasa ingekuwa smart ingemkana Mwenyekiti UVCCM Kagera. Kwa kunyamaza ni kama wanathbitisha ni wauwaji
Bila kufukuza huyo kijana itakuwa porojo tuSafi sana Nchimbi.
Aende jela na tushuhudie akienda jela na kuadhibiwa vilivyo pia yafukuliwe makaburi atuambie uhusika na waliotoweka kusikojulikana🤪Kupinga haitoshi,
Anatakiwa afukuzwe CCM