Dkt. Nchimbi kashafeli nafasi ya Katibu Mkuu CCM

Dkt. Nchimbi kashafeli nafasi ya Katibu Mkuu CCM

Naona makonda unampondea mwenzako, mbona hata wewe ni ratizo
 
Nchimbi kweli nimeona hamna kitu sikutarajia kama Yuko hivyo, kiongozi unàsema kwamba unasikiliza wenye akili pekee yake hiyo siyo kauli nzr

Ndio yupo hivyo hivyo kama ulivyomsikia...
 
GTs,
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM. Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi. Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.

Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa. Akiutambuo huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.
Sukuma Gang naona tayari mpo kazini.

Yaani hata huna haya unatumia neno.. PROFESSOR...kwenye vitu vya hovyooo namna hii?
 
Ukatibu unamfaa Makonda, Bashiru, Polepole au Hapi [emoji28][emoji28][emoji120]

JPM styles ! [emoji28][emoji23][emoji120]
Ngoja Tusubiri tuone !
Sukuma gang wanadhani TANZANIA ni mali yao
 
GTs,
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM. Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi. Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.

Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa. Akiutambuo huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.
Naona vijana wa Makonda mumepigwa na kitu kizito kichwani. Bosi wenu kwishney!! Maana ameambiwa wazi wazi aache zile mbwembwe zake za kuwakoromea na kuwafokea watu hadharani.

Kwa hiyo mumshauri tu afuate maelekezo ya Katibu wake Mkuu. Akumbuke tu huyo Nchimbi siyo Chongolo!
 
Naina vijana wa Makonda mumepihwa na kitu kizito kichwani. Bosi wenu kaambiwa aache zile mbwembwe zake za kuwakoromea na kuwafokea watu hadharani.

Kwa hiyo mumshauri tu afuate maelekezo ya Katibu wake Mkuu. Akumbuke tu huyo Nchimbi siyo Chongolo!
Na Makonda akumbuke kuwa Nchimbi siyo Sukuma gang
 
Ukatibu unamfaa Makonda, Bashiru, Polepole au Hapi 😅😅🙏

JPM styles ! 😅😂🙏
Ngoja Tusubiri tuone !
Sukumagang na Mataga muwe mnaenda na wakati basi! Zile zama zenu zilishapita kitambo. Mshukuru hata huyo kijana wenu Bashite amepewa hicho cheo cha uenezi.

Maana kiufupi hakustahili, kutokana na ukweli kwamba kwa sasa chama kiko mikononi mwa wenyewe. Yaani watoto wa mjini.
 
GTs,
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM. Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi. Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.

Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa. Akiutambuo huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.
Nimemsikiliza mara mbili, kwa kweli hana jipya
 
GTs,
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM. Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi. Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.

Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa. Akiutambuo huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.
Kawekewa mtego?

Upi?
 
Kwa hiyo sukuma gang mmejikusanya kuanzisha uzi na kuuchangia?

🤣🤣🤣🤣 nyie watu mna shida sana. Hivi mnafikiri hii nchi ni yenu nini?
 
Kwa niaba ya CCM Jukwaa la Siasa, naenda kuwashukuru wote mnaotumia muda wenu mwingi kuitangaza CCM humu jukwaani. Kwakweli jitihada zenu zimeifanya CCM na viongozi wake wafahamike kwa haraka sana kuliko viongozi wa Vyama vingine. Mfano, leo hii Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Komredi Paul Makonda na Katibu Mkuu wa CCM Dk. Emmanuel Nchimbi wanafahamika sana na zaidi kuliko viongozi wengine wa nafasi kama zao katika vyama vingine. Hizi zote ni jitihada zenu na tunashukuru sana hasa akina Erythrocyte, Tindo, Mmawia, chiembe, Msanii na wengine ambao siwataja ingawa nao wana umuhimu mkubwa kwa CCM kama niliowataja!
 
GTs,
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM. Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi. Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.

Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa. Akiutambuo huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.
Yule chenga na ataleta vurugu ndani ya chama muda siyo mrefu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
GTs,
Kwa maoni ya watanzania walio wengi, Dkt Nchimbi hatoshi kwenye nafasi ya KM wa CCM. Hii inatokana na kuendesha siasa za miaka ya 1990s na za 2000s ambazo zililenga kulinda kundi la watawala badala ya wananchi. Ukimsikiliza kwa makini utagundua kimawazo Dkt Nchimbi hayupo miaka hii ya karne ya kizazi kipya, na hii inaonekana kabisa Dkt Nchimbi hana mvuto kwa wapiga kura vijana.

Kibaya Dkt Nchimbi kawekewa mtego na watawala wa kummaliza kisiasa na huo mkakati unaonekana kufanikiwa. Akiutambuo huo mtego inabidi amuamkie Shikamoo Professor Makonda! Hahahaha ila siasa ni raha mno.
Tunamjua vizuri. Kwanza ni kilaza mkubwa, pili anajua kucheza michezo ya giza, na tatu ni kweli amejiua mwenyewe kwani by 2025 atakuwa amechuja na kuwa tambara la ccm. Lakini kabla ya kufika hapo atakuwa ameiangusha ccm. CCM hawajui hata kuchagua wapiga debe wao.
 
Ni kweli tatizo kubwa la Dkt Nchimbi hatambui siasa za kulindana hazina mvuto kabisa. Yaani kizazi cha wapiga kura wa sasa wanataka kuona viongozi wanawajibika.
Kwanza kapewaje hiyo nafasi mtu alikuwa nje ya nchi miaka kibao na siasa zimebadirika sana na yeye anakuja na siasa za kale alizoziacha kipindi anaenda kuwa Balozi!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom