Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Wote huko mbogamboga ni sifuri tu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda huyu ambaye ubunifu wake umeishia kumkodi maamuma Mwaipopo kuja kuimaliza Chadema kwa kutumia misikiti?Ukatibu unamfaa Makonda, Bashiru, Polepole au Hapi [emoji28][emoji28][emoji120]
JPM styles ! [emoji28][emoji23][emoji120]
Ngoja Tusubiri tuone !
Ulitumia methodology gn kukusanya haya maoniKwa maoni ya watanzania walio wengi
Huyu kigagula kapwaya sana, hotuba ya kupokelewa Dar ilikuwa kama kiporo cha udaga.Naunga mkono hoja
Bora Comrade Makonda angepewa u KM.
Nchimbi hata mvuto hana
Hutaki mvua iendelee kunyesha ili tuone panapovuja ??!!Sukumagang na Mataga muwe mnaenda na wakati basi! Zile zama zenu zilishapita kitambo. Mshukuru hata huyo kijana wenu Bashite amepewa hicho cheo cha uenezi.
Maana kiufupi hakustahili, kutokana na ukweli kwamba kwa sasa chama kiko mikononi mwa wenyewe. Yaani watoto wa mjini.
Kama ni hivyo, bora inyeshe tu. 😇Hutaki mvua iendelee kunyesha ili tuone panapovuja ??!!
Hahahahaha yaani tatizo la Dkt Nchimbi ni kuishi enzi za wana mtandao eti kulindana hahahaha yaani hana kabisa mvuto hata hotuba zake haiakisi kabisa malengo ya Dkt Samia.Huyu kigagula kapwaya sana, hotuba ya kupokelewa Dar ilikuwa kama kiporo cha udaga.
Mtu mjinga ndio hufurahia umaarufu bila kujali ni + au -Kwa niaba ya CCM Jukwaa la Siasa, naenda kuwashukuru wote mnaotumia muda wenu mwingi kuitangaza CCM humu jukwaani. Kwakweli jitihada zenu zimeifanya CCM na viongozi wake wafahamike kwa haraka sana kuliko viongozi wa Vyama vingine. Mfano, leo hii Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Komredi Paul Makonda na Katibu Mkuu wa CCM Dk. Emmanuel Nchimbi wanafahamika sana na zaidi kuliko viongozi wengine wa nafasi kama zao katika vyama vingine. Hizi zote ni jitihada zenu na tunashukuru sana hasa akina Erythrocyte, Tindo, Mmawia, chiembe, Msanii na wengine ambao siwataja ingawa nao wana umuhimu mkubwa kwa CCM kama niliowataja!
Una macho huoni hata masikio husikiiiiiMakonda ana mvuto gani zaidi ya laana ?