ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #181
Jikite kwenye hoja iliyopo mezaniSongea ni sehemu ya watu masikini haswa pamoja na kwamba wa-missionary waliishi huko lakini waliacha watu wajinga tofauti na Mbeya, Moshi, Bukoba na Mwanza
Wapi nimesema limeisha? Hizo ni sehemu ya jitihada anazoonesha Samia ambazo wengine mfano wa kina Mwendazake wakishindwa na wakaharibu sekta binafsiNdiyo tatizo la ajira litakuwa limeisha?
Utakuwa unaumia wewe sio Bure ππUsikute Dr Nchimbi ndo Mwashambwa wa hapa JF
Wapi huko mnakoshinda njaa au wewe umewaona wangapi utuoneshe na sisi ambao hatuishi mtaani na hatuoni uhalisia wa hao Wananchi.ile ripoti ya mwananchi ndio inasema ukweli hizi data za kupikwa na kuleta mezani zisitubabaishe uhalisia tunauona mtaani watu wanavyoshinda njaa alafu kuna mjinga mmoja anasema eti deatineaheni ya biashara na upumbavu gani sijui
We ni mpuuzi sn, ajira 500 kwa Tanzania nzima au kata?Wapi nimesema limeisha? Hizo ni sehemu ya jitihada anazoonesha Samia ambazo wengine mfano wa kina Mwendazake wakishindwa na wakaharibu sekta binafsi
Huwa mnamsingizi Luca sana tu. Huyu ni Original "Chawa"We ni mpuuzi sn, ajira 500 kwa Tanzania nzima au kata?
Wewe ni fala mkubwa,huo ni mfano tuu wa jinsi sekta binafsi na ya Umma zimeimalika.Kila siku kampuni na Serikali zinamwaga Ajira.We ni mpuuzi sn, ajira 500 kwa Tanzania nzima au kata?
Chawa ndio nini?Huwa mnamsingizi Luca sana tu. Huyu ni Original "Chawa"
πππππππΎChawa ndio nini?
Nashukuru dada angu kwa tusi lako, lakini pia jifunze kiswahili, toa takwimu serikali imeajiri wangapi, wamestaafu, wamekufa au kuacha kazi wangapi?Wewe ni fala mkubwa,huo ni mfano tuu wa jinsi sekta binafsi na ya Umma zimeimalika.Kila siku kampuni na Serikali zinamwaga Ajira.
Mwisho hata hizo unazosema chache zilimshinda Mwendazake.Usifananishe Samia na loosersππ
View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1787368481937031585?t=rI5HVIip7O9yJuB9HZKHyA&s=19
Huyu siyo chawa ni chiziHuwa mnamsingizi Luca sana tu. Huyu ni Original "Chawa"
Wewe nyumbu Serikali imeajiri Watumishi wengi sana ,Baadhi Yao ni Hawa hapa πNashukuru dada angu kwa tusi lako, lakini pia jifunze kiswahili, toa takwimu serikali imeajiri wangapi, wamestaafu, wamekufa au kuacha kazi wangapi?
Jikite kwenye hoja iliyopo mezani
Tuna omba orodha na majina yao, nyie UWT ni wajinga sn hata mkiambiwa ameajiri 1,700,000 mtaishia kupiga makofi na kushangili bila kufanya reasoning wala utafitiWewe nyumbu Serikali imeajiri Watumishi wengi sana ,Baadhi Yao ni Hawa hapa πView attachment 2983091
Usirudie kulinganisha Samia na loosers
Tuna watu wajinga snSifa kama hizi ndio zinatucheleweshea sana maendeleo ya maana nchi hii, kwa sababu zinapumbaza kushindwa kuona kuwa tupo nyuma sana kulinuganisha na miaka yote hii 60. Ndio maana bado tunaangaika na matundu ya vyoo na changamoto za msingi zenye kutatulika ila hadi leo imekuwa kama tu sehemu ya maisha yetu ila tupo busy kusifiana majukumu ya serikali ya kawaida. Ndio maana tukilinganisha na nchi zengine zinakuja visababu vya sijui Tanzania ni kubwa sana sijui watu wengi.