ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #361
Jikite kwenye hoja ya Maendeleo aliyoleta Samia badala ya kumwaga povu pipa bila sababu za msingi ππNye chawa mnamlinganisha Samia na serikali za chama gani zingine, CHADEMA?
Hizo pesa anazitoa wapi za kufanyia maendeleo Kizimkazi au kodi za walipa kodi wa Tanzania?
Na serikali tena iliyofoji na kuiba kura 2020, inayoteka, kuua na kuwafunga wanaoikosoa. Serikali ya dili kama ya waziri wa kilimo kutoa vibali vya kuagizia sukari kinyume cha sheria ili waibe hela, serikali inayotumia mabilioni ya pesa za walipa kodi kununua mashangingi kila mwaka ikifanya hayo iliyofanya ni FAVOUR au RIGHT?
Chawa mnatukera mnajua ndio maana akili zenu kama Steve Nyerere au Steve Mengele.
Mwendawazimu huwezi kuniingiza kwenye hoja za kiendawazimu, anatoa mfukoni hizo pesa? Pili nini maana ya uongozi siyo kwenda mbele? Na ni haki au ni msaada? Usinilazimishe uchawa na kujenga hoja unamlinganisha na nani ambaye hakuleta maendeleo?Jikite kwenye hoja ya Maendeleo aliyoleta Samia badala ya kumwaga povu pipa bila sababu za msingi
Wewe ni zaidi ya juha kuja kujadili hoja za kiuwendawazimu.Mwendawazimu huwezi kuniingiza kwenye hoja za kiendawazimu, anatoa mfukoni hizo pesa? Pili nini maana ya uongozi siyo kwenda mbele? Na ni haki au ni msaada? Usinilazimishe uchawa na kujenga hoja unamlinganisha na nani ambaye hakuleta maendeleo?
Huzungumzi na juha ujue
Wewe juha mpumbavu nijibu huwezi kufanya kazi yako ya uchawa ukahisi unaweza kumdanganya mtu, siyo majira hii pumbavu wewe, hela zunatoka mfukoni kwake? Ni msaada anatoa? Peleka upumbavu lumumbaWewe ni zaidi ya juha kuja kujadili hoja za kiuwendawazimu.
Povu halifuti huu uhalisia hapa ππ
View: https://www.instagram.com/reel/DBL4tYUKPvS/?igsh=dXVndm41bXRmMTB0
Punguani waheed hata akili ndogo tuu ya kufikiria kwamba Katiba yetu Ina Rais Mtendaji and so wengine woote ni wasaidizi wake na wanafanya Kwa niaba yake na ndio maana sifa na lawama ni kwake.Wewe juha mpumbavu nijibu huwezi kufanya kazi yako ya uchawa ukahisi unaweza kumdanganya mtu, siyo majira hii pumbavu wewe, hela zunatoka mfukoni kwake? Ni msaada anatoa? Peleka upumbavu lumumba