Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hiyo growth rate imeonyesha Tz ndio pekee inayokuwa au the whole of EA inakuwa kiuchumi?
Nchi zote zinakua ila Tanzania ndio tumekuwa na consistency nzuri miaka yote tofauti na hao wengine ambao economic shocks zikitokea Huwa wanayumba sana then wanaanza recovery
 
Mjomba wangu ni meneja pale TRA. Uwepo wake pale unaninufaisha mimi na familia yetu kwa kiasi kikubwa. Tutafanya kila tuwezalo aendelee kubaki pale. Uwepo wake pale ni assurance kwangu na familia yetu kwamba tutaendelea kuneemeka. Ahsante sana mjomba.​
 
Sio huko tuu ni Tanzania nzima

View: https://twitter.com/InvestTanzania/status/1777797813037895986?t=DtjuBrz1UNXVZRBeoP-2TA&s=19
View: https://twitter.com/InvestTanzania/status/1774033331211948075?t=zvDPjZAs-vqzj2PKcNMBOQ&s=19
 
Then how comes wana growth rate kubwa kuliko tz?
Unaelewa maana ya consistency? Pili hiyo ni projections lakini mwaka 1 na mingine nyuma hakuna Nchi hata Moja kwenye hiyo list ukitoa Rwanda imewahi izidi Tanzania.

Mara wawe -ve ,mara 3,mara 4 ila ni mwaka wa uviko tuu ndio Tanzania tulishuka chini ya 5 tukawa 4 wakati hao wengine walikuwa kwenye -ve huko.
 
Naelewa consistency but future haiko guaranteed tuki judge from past records. Kila nchi ina pambana. And how come nchi kama rwanda inatuzidi? Those guys hawana resources tulizonazo yet wako juu? Why?
 
Ndio vizuri!
 
Kwahio kwa mujibu wa CCM hiki kilichofanyika ni over-performance ? Kwamba walichopanga kifanyike kilikuwa ni kidogo kuliko kilichofanyika ?

Either CCM ni mediocre au ni mwendo wa kuendeleza Propaganda...

 
Naelewa consistency but future haiko guaranteed tuki judge from past records. Kila nchi ina pambana. And how come nchi kama rwanda inatuzidi? Those guys hawana resources tulizonazo yet wako juu? Why?
Rwanda ni Moja ya Nchi open zaidi kwenye biashara,Tzn hapa mentality za ujama zinasumbua vitu vingi vinahitaji reforms ila Kuna kusita sita na kujikongoja eg sakata la DP World, Ngorongo,DART nk.

Hat hivyo Rwanda ni LDC,Tanzania ni Middle Income Country
 
Huwezi kusema kilichopangwa kilikuwa kidogo bali hata wao wanaona Kwa kulinganisha huko nyuma hakuna Rais ametekeleza Ilani Yao Kwa Ukubwa kumzidi Samia na sio sifa ila ndio uhalisia wenyewe.
 
Hizo pesa zote za kufanya hayo katoa wapi?.
 
Rwanda imebarikiwa 🐼
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…