Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hayo yameelezwa na KM wa CCM Dkt.John Nchimbi wakati wa ziara yake ya Mikoa 6 akiwa Njombe.

DK Nchimbi ameonekana kushangazwa na kufurahishwa na Wingi wa miradi na maendeleo yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika akisema ni kama miujiza maana kilichotakiwa kufanyika Kwa muda mrefu kimewezekana ndani ya mda mchache kabisa.

Kwa wasio fahamu,haters na wabishi hii hapa ni summary tuu ya kilichofanywa na Samia.👇👇

-Mapato ya TRA kuongezeka kutoka wastani wa 1.5T Hadi 2.2T(ongezeko bil.700 )

-Makusanyo ya Halmashauri kuongeza kutoka Bil.800 Hadi Trilioni 1.2(Ongezeko Bil.400)

-Ongezeko la Mapato ya Utalii Hadi 3.5T(Watalii 1.9m) kutoka 3T(Watalii 1.5mln).

-Ujenzi wa Bandari Ziwa Nyasa(MbambaBay),Ziwa Tanganyika(Kigoma),Ziwa Victoria (Mwanza,Bukoba,Chato) na Bhari ya Hindi(Dar,Tanga,Kilwa na Mtwara).

-Ujenzi wa viwanja wa ndege 15 Unaendelea Tanzania nzima eg Sumbawanga,Tabora,Shinyanga,Kigoma,Ruaha NP,Nyerere NP,Moshi,Iringa nk huku akikamilosja viwanja vya Songwe, Songea,Iringa na Katavi.

-Ujenzi wa Hospital za Wilaya mpya 129 ,Mikoa 7 na Rufaa za Kanda 3(Mtwara,Kigoma na Ukerewe).

-Ujenzi wa Vituo vya Afya vipya 402 kwenye kata za kimkakati hapo tozo za miamala (234).

-Ununuzi wa vifaa tiba ambavyo havikuwahi kuwepo Kwenye hospital za Tanzania mfano Ultra Sound 192 ,Digital X-rays 147,CT Scan 32,MRI machines 7.

-Ujenzi wa majengo ya Wagonjwa Mahututi(ICU) 28 na Dharula 127,

-Upanuzi na Ujenzi wa Vyuo Vikuu vipya na kampasi za Vyuo kwenye Mikoa 14 ambayo swali haikuwa na Vyuo Vikuu au kampasi eg Kigoma,Simiyu,Njombe,Ruvuma, Rukwa,Katavi,Shinyanga,Lindi,Mtwara nk.

-Kaongeza Bajeti Kila Wizara ila Kwa upekee ni Wizara ya Kilimo(Umwagiliaji )kutoka Bil.270 Hadi Bilioni 950.Skimu Mpya za uwamwagiliaji hectare 95,000 zimejengwa na kufufuliwa,kafungua ofisi za Kilimo Kila Wilaya na kaajiri Wataalamu na kawapa vitendea kazi.

-Kaondoa shida ya vitambulisho NIDA,zaidi ya vitambulisho 12,000,000 vimegawiwa.

-Ujenzi wa minara mipya 1,200 ambapo Kupitia mradi wa Tanzania ya Kidijitali minara 728 inaendelea na Ujenzi Kwa Bilioni 126.(Kijijini kama mjini)

-Amefikisha maji ya Bomba Kwa zaidi ya Vijiji 11,000.(Kampeni ya kumtua Mama ndio kichwani).

-Amefikisha umeme Kila Kijiji,kazi inaendelea kwenye vitongoji na migodi ya umeme.

-Amewasha Umeme gridi ya Taifa Mikoa Kigoma,Katavi na kazi zinaendelea Rukwa ,Lindi, Mtwara.

-Kazi zinaendelea ujenzi wa Vyanzo vipya vya Umeme eg Mto Malagalasi,Kakono,Umeme Jua Kishapu,Joto Ardhi Mbeya nk

-Amejenga zaidi ya Shule Mpya za Sekondari 3,200 ,shule za msingi zaidi ya 300 na madarasa 24,000 ,mabweni 137 nk

-Kupitia TanRoads amekamilisha zaidi ya km 1,000 za lami na zingine zaidi ya 3,700 zinaendelea na Ujenzi.

-Kupitia Tarura amejenga zaidi ya km 800 za lami na zingine zaidi ya 500 zinaendelea na Ujenzi (Hapa amefungua maelfu ya Vijijini Kwa Barabara Mpya za changarawe na madaraja). Bajeti ya Tarura aliongeza kutoka bil.270 Hadi Bil.800.

-Sekta ya mifugo amegawa Boti za Kisiasa zaidi ya 200 na viximba zaidi ya 1300 Kwa Vijana.

-Sekta ya Elimu kaongeza mikopo Kwa wanafunzi ambapo Sasa Diploma Hadi Chuo Kikuu wanapata,chekechea Hadi form six Elimu Bure(kafuta ada ya form Six),Kafuta Mapenato na mambo ya hivyo ya Bodi ya Mikopo.

-Katoa Ajira zaidi ya 55,000 kada zote huku Elimu na Afya wakipewa kipaombele.

-Anajenga na kukamilisha zaidi ya miradi ya maji 3,700 mikubwa Kwa midogo mfano mradi wa Miji 28,bwawa la kidunda na kukwamua miradi iliyokwamba kama same-mwanga,Tarime-Kiabakari nk.

-Kwenge sekta ya biashara baada ya maboresho maelfu ya miradi imemenika Kila sekta baada ya Wafanyabiashara kurejesha Imani Kwa Serikali Kupitia sera ya Diplomasia ya Uchumi na kuifungua Nchi.Hakuna ziara ambayo mama alifanya Nje ya Nchi hajakutana na Wafanyabiashara wa Kimataifa.

-Sekta ya michezo na Burudani.Huko Kila mtu anajua kwamba Mama alikatabati viwanja,akaleta ufunguzi wa AFL na sasa ameileta Afcon 27 na uwanja Mpya inajengwa Arusha.Likewise kuwapa mikopo Wasanii.

Kiufupi ni vigumu kuelezea vyote,pamoja na Changamoto ila Mama kaupiga mwingi ,Anatosha na Chenji inabakia.

View: https://www.instagram.com/p/C59CY7uMJC5/?igsh=MTNiYnozM2hubjMwZQ==
My Take
Yote hayo kafanya na anaendelea kufanya lakini hajawahi acha mradi hata 1 aliourithi kutoka Kwa Mwendazake kama Bwawa la JNHPP,Daraja la JPM,EACOP,SGR,Ndege Mpya,Ujenzi wa Mji wa Serikali na hajatoa visingizio.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1781317600514809949?t=yhy9JBufLMEhmo34FTghDg&s=19

Magufuli alifanya yapi sasa?
Au hajawahi kufanya chochote?
Kikwete je?
Mkapa je?
Mwinyi je?
Mwalimu ?
Ccm angalieni cha kuwaambia watanganyika
 
Huwezi kusema kilichopangwa kilikuwa kidogo bali hata wao wanaona Kwa kulinganisha huko nyuma hakuna Rais ametekeleza Ilani Yao Kwa Ukubwa kumzidi Samia na sio sifa ila ndio uhalisia wenyewe.
Kwahio kinachofanyika sasa ni Miujiza na wakiomba waendelee kuwepo ni muendelezo wa hii hii Miujiza ? (More of the Same) ?

Nadhani Kitaa ukiwaambia hivi watakwambia Ugumu wa Maisha umeongezeka Leo ni Mbaya afadhari ya Jana sasa kama watumishi wetu wanaona kwamba leo ni nzuri (miujiza) nachelea kusema either they are out of touch au wanaridhika na mediocrity...
 
Wapumbavu ni wale wana excuse incompetence ya nyumbani kwao na kuibeba rwanda kuwa ni special
Incompetence iko Chadema kwenye Maridhiano ya Jina la NEC

CCM inazidi kuleta maendeleo yaliyotukuka 😂😂

Wapumbavu ni wale wanaoandamanishwa na akina Halima James Mdee
 
Kwahio kinachofanyika sasa ni Miujiza na wakiomba waendelee kuwepo ni muendelezo wa hii hii Miujiza ? (More of the Same) ?

Nadhani Kitaa ukiwaambia hivi watakwambia Ugumu wa Maisha umeongezeka Leo ni Mbaya afadhari ya Jana sasa kama watumishi wetu wanaona kwamba leo ni nzuri (miujiza) nachelea kusema either they are out of touch au wanaridhika na mediocrity...
Ni lini ugumu wa Maisha uliwahi pungua.Pili as days go on lazima ugumu wa Maisha ni lazima maisha Hayajawahi Kuwa rahisi au wewe unaijua Nchi ambayo maisha ni rahisi hapa Africa?
 
Wapumbavu ni wale wana excuse incompetence ya nyumbani kwao na kuibeba rwanda kuwa ni special
Kwani wanaosemaga Rwanda imeendelea Huwa mnatumia vigezo gani wakati hiyo ni LDC na mfumuko wa bei uko Juu?
 
Magufuli alifanya yapi sasa?
Au hajawahi kufanya chochote?
Kikwete je?
Mkapa je?
Mwinyi je?
Mwalimu ?
Ccm angalieni cha kuwaambia watanganyika
Tzn ni kubwa na mahitaji ni mengi na makubwa,Kila mtu alifanya Kwa sehemu yake na mengine hakuna ambae alifanya anafanya Samia naenhatofanya yote.

Mfano kwani huko Marekani mambo ya kufanya yameisha? Kama wao Wana miaka zaidi ya 200 hawajamaliza kufanya how comes Tzn yenye miaka 60 iwe imemaliza?

Mwisho maendeleo ni mchakato safari Moja huanzisha nyingine.Kiongozi anapimwa Kwa kutimiza yake aliyokubaliana na wapiga kura(Ilani) akikamilosha huyo amefanya.
 
Tunasifiana kwa fedha za mkopo, wacha zifanye kazi kusudiwa. Ila muda wa kulipa tusione tunaonewa tutake uvunja mkataba.
Nchi gani haikopp hapa Duniani? By the way Kati ya Bajeti ya zaidi ya Trilioni 40,mikopo haizidi Trilioni 10.

Mikopo sio hisani itarudishwa na Kodi na sio Kila Nchi inapata mikopo inayohitaji.

Mwisho Tanzania ingekopa zaidi Ili kufungua Uchumi,tuko nyuma sana kwenye kukopa ndio maana tunakamua maskini,tutachelewa kufika.
 
-Kikokotoo dhalimu ndio aliasisi ,hata hivyo mama ni msikivu Serikali imesema meimosi majibu yatatoka
-Mfumuko upi wa bei wakati takwimu zote haijawahi zidi 4%? Pili kama Kuna mfumuko wa bei ingeathiri uwekezaji na Mapato ya Serikali lakini yameongezeka mara dufu.
-Bima ya Afya imefanya nini? Sana sana Mama ameleta sheria ya bima ya Afya Kwa wote na kuweka historia , utekelezwaji wake ni WA hatua Kwa hatua ila kabla ya 2028 Kila mtu atatibiwa Kwa bima.
-Ingia TIC utaona maelfu ya biashara yaliyoanzishwa na ndio chachu ya kuongezeka Kwa Mapato ya Serikali.
-Unazungumzia Ajira Kwa Samia? Hilo sio swali ni jibu,zingine hizi hapa 👇View attachment 2968972
Nikajua unaandika kihaki kumbe kishabiki! Nilipoona kuna mtu unamuita Dhalimu nikaona kumbe na wewe ni chawa tu ambaye ukitaka kumsifia mmoja lazima umponde mwingine. Stupid 100%
 
Ni lini ugumu wa Maisha uliwahi pungua.
Haya maneno hawa wana-Siasa wangeyasema wakati wanaomba Kura ili waende Kula hakuna mtu angepiga Kura bali angelala nyumbani kwake..., kwahio unataka kuniambia Trajectory ya Maisha lazima yaendelee kuwa magumu siku baada ya siku..., Kwamba Watumwa kipindi kile kesho yao ingebidi iwe ngumu zaidi ?
Pili as days go on lazima ugumu wa Maisha ni lazima maisha Hayajawahi Kuwa rahisi au wewe unaijua Nchi ambayo maisha ni rahisi hapa Africa?
Urahisi ninaongelea mimi ni Basic Needs mtu awe na uwezo wa kujipatia Malazi, Mavazi na Chakula na uwezo huo ni ujira wa kutosheleza hayo..., kwa Serikali yoyote au yoyote anayelipwa ili aongoze akishindwa kufanya hivyo ni kwamba in my books hajafanikiwa..... Niki-qoute Hotuba ya TANU ya Mwalimu.....

  • CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia riziki yake. Nawaomba ardhi - hakuna ardhi; hamnipi ardhi, Mnasema "Ardhi hakuna". Naomba kazi ya kibarua basi, Nipeni basi ya kibarua, "Hamnipi kazi ya kibarua. Mimi niko tayari kabisa kufanya kazi au ya kulima au ya kibarua chochote nipeni. Hamnipi Chama Chetu kinasema MTANILISHA.
 
Haya maneno hawa wana-Siasa wangeyasema wakati wanaomba Kura ili waende Kula hakuna mtu angepiga Kura bali angelala nyumbani kwake..., kwahio unataka kuniambia Trajectory ya Maisha lazima yaendelee kuwa magumu siku baada ya siku..., Kwamba Watumwa kipindi kile kesho yao ingebidi iwe ngumu zaidi ?

Urahisi ninaongelea mimi ni Basic Needs mtu awe na uwezo wa kujipatia Malazi, Mavazi na Chakula na uwezo huo ni ujira wa kutosheleza hayo..., kwa Serikali yoyote au yoyote anayelipwa ili aongoze akishindwa kufanya hivyo ni kwamba in my books hajafanikiwa..... Niki-qoute Hotuba ya TANU ya Mwalimu.....

  • CHAMA CHETU KINASEMA - mtu mwenye Afya ambaye tumeshindwa kumpa njia halali ya kujipatia riziki yake. Nawaomba ardhi - hakuna ardhi; hamnipi ardhi, Mnasema "Ardhi hakuna". Naomba kazi ya kibarua basi, Nipeni basi ya kibarua, "Hamnipi kazi ya kibarua. Mimi niko tayari kabisa kufanya kazi au ya kulima au ya kibarua chochote nipeni. Hamnipi Chama Chetu kinasema MTANILISHA.
Hizo basic needs watu wanaweza kuzipata sana tuu sijui wapi Tanzania hii watu wanalalia mlo.mmja Kwa siku wakati vyakula bei ni chee.
 
Nikajua unaandika kihaki kumbe kishabiki! Nilipoona kuna mtu unamuita Dhalimu nikaona kumbe na wewe ni chawa tu ambaye ukitaka kumsifia mmoja lazima umponde mwingine. Stupid 100%
Basi natoka neno dhalimu naweka Magufuli,jibu hoja
 
Hayo yameelezwa na KM wa CCM Dkt.John Nchimbi wakati wa ziara yake ya Mikoa 6 akiwa Njombe.

DK Nchimbi ameonekana kushangazwa na kufurahishwa na Wingi wa miradi na maendeleo yaliyofanyika na yanayoendelea kufanyika akisema ni kama miujiza maana kilichotakiwa kufanyika Kwa muda mrefu kimewezekana ndani ya mda mchache kabisa.

Kwa wasio fahamu,haters na wabishi hii hapa ni summary tuu ya kilichofanywa na Samia.👇👇

-Mapato ya TRA kuongezeka kutoka wastani wa 1.5T Hadi 2.2T(ongezeko bil.700 )

-Makusanyo ya Halmashauri kuongeza kutoka Bil.800 Hadi Trilioni 1.2(Ongezeko Bil.400)

-Ongezeko la Mapato ya Utalii Hadi 3.5T(Watalii 1.9m) kutoka 3T(Watalii 1.5mln).

-Ujenzi wa Bandari Ziwa Nyasa(MbambaBay),Ziwa Tanganyika(Kigoma),Ziwa Victoria (Mwanza,Bukoba,Chato) na Bhari ya Hindi(Dar,Tanga,Kilwa na Mtwara).

-Ujenzi wa viwanja wa ndege 15 Unaendelea Tanzania nzima eg Sumbawanga,Tabora,Shinyanga,Kigoma,Ruaha NP,Nyerere NP,Moshi,Iringa nk huku akikamilosja viwanja vya Songwe, Songea,Iringa na Katavi.

-Ujenzi wa Hospital za Wilaya mpya 129 ,Mikoa 7 na Rufaa za Kanda 3(Mtwara,Kigoma na Ukerewe).

-Ujenzi wa Vituo vya Afya vipya 402 kwenye kata za kimkakati hapo tozo za miamala (234).

-Ununuzi wa vifaa tiba ambavyo havikuwahi kuwepo Kwenye hospital za Tanzania mfano Ultra Sound 192 ,Digital X-rays 147,CT Scan 32,MRI machines 7.

-Ujenzi wa majengo ya Wagonjwa Mahututi(ICU) 28 na Dharula 127,

-Upanuzi na Ujenzi wa Vyuo Vikuu vipya na kampasi za Vyuo kwenye Mikoa 14 ambayo swali haikuwa na Vyuo Vikuu au kampasi eg Kigoma,Simiyu,Njombe,Ruvuma, Rukwa,Katavi,Shinyanga,Lindi,Mtwara nk.

-Kaongeza Bajeti Kila Wizara ila Kwa upekee ni Wizara ya Kilimo(Umwagiliaji )kutoka Bil.270 Hadi Bilioni 950.Skimu Mpya za uwamwagiliaji hectare 95,000 zimejengwa na kufufuliwa,kafungua ofisi za Kilimo Kila Wilaya na kaajiri Wataalamu na kawapa vitendea kazi.

-Kaondoa shida ya vitambulisho NIDA,zaidi ya vitambulisho 12,000,000 vimegawiwa.

-Ujenzi wa minara mipya 1,200 ambapo Kupitia mradi wa Tanzania ya Kidijitali minara 728 inaendelea na Ujenzi Kwa Bilioni 126.(Kijijini kama mjini)

-Amefikisha maji ya Bomba Kwa zaidi ya Vijiji 11,000.(Kampeni ya kumtua Mama ndio kichwani).

-Amefikisha umeme Kila Kijiji,kazi inaendelea kwenye vitongoji na migodi ya umeme.

-Amewasha Umeme gridi ya Taifa Mikoa Kigoma,Katavi na kazi zinaendelea Rukwa ,Lindi, Mtwara.

-Kazi zinaendelea ujenzi wa Vyanzo vipya vya Umeme eg Mto Malagalasi,Kakono,Umeme Jua Kishapu,Joto Ardhi Mbeya nk

-Amejenga zaidi ya Shule Mpya za Sekondari 3,200 ,shule za msingi zaidi ya 300 na madarasa 24,000 ,mabweni 137 nk

-Kupitia TanRoads amekamilisha zaidi ya km 1,000 za lami na zingine zaidi ya 3,700 zinaendelea na Ujenzi.

-Kupitia Tarura amejenga zaidi ya km 800 za lami na zingine zaidi ya 500 zinaendelea na Ujenzi (Hapa amefungua maelfu ya Vijijini Kwa Barabara Mpya za changarawe na madaraja). Bajeti ya Tarura aliongeza kutoka bil.270 Hadi Bil.800.

-Sekta ya mifugo amegawa Boti za Kisiasa zaidi ya 200 na viximba zaidi ya 1300 Kwa Vijana.

-Sekta ya Elimu kaongeza mikopo Kwa wanafunzi ambapo Sasa Diploma Hadi Chuo Kikuu wanapata,chekechea Hadi form six Elimu Bure(kafuta ada ya form Six),Kafuta Mapenato na mambo ya hivyo ya Bodi ya Mikopo.

-Katoa Ajira zaidi ya 55,000 kada zote huku Elimu na Afya wakipewa kipaombele.

-Anajenga na kukamilisha zaidi ya miradi ya maji 3,700 mikubwa Kwa midogo mfano mradi wa Miji 28,bwawa la kidunda na kukwamua miradi iliyokwamba kama same-mwanga,Tarime-Kiabakari nk.

-Kwenge sekta ya biashara baada ya maboresho maelfu ya miradi imemenika Kila sekta baada ya Wafanyabiashara kurejesha Imani Kwa Serikali Kupitia sera ya Diplomasia ya Uchumi na kuifungua Nchi.Hakuna ziara ambayo mama alifanya Nje ya Nchi hajakutana na Wafanyabiashara wa Kimataifa.

-Sekta ya michezo na Burudani.Huko Kila mtu anajua kwamba Mama alikatabati viwanja,akaleta ufunguzi wa AFL na sasa ameileta Afcon 27 na uwanja Mpya inajengwa Arusha.Likewise kuwapa mikopo Wasanii.

Kiufupi ni vigumu kuelezea vyote,pamoja na Changamoto ila Mama kaupiga mwingi ,Anatosha na Chenji inabakia.

View: https://www.instagram.com/p/C59CY7uMJC5/?igsh=MTNiYnozM2hubjMwZQ==
My Take
Yote hayo kafanya na anaendelea kufanya lakini hajawahi acha mradi hata 1 aliourithi kutoka Kwa Mwendazake kama Bwawa la JNHPP,Daraja la JPM,EACOP,SGR,Ndege Mpya,Ujenzi wa Mji wa Serikali na hajatoa visingizio.

View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1781317600514809949?t=yhy9JBufLMEhmo34FTghDg&s=19

CCM hamjawahi kuishiwa vibweka.Ni rais gani mliwahi kutuambia hajafanya maajabu kimaendeleo halafu akitoka mnamponda?You,people,are full of magical ways of lying!😂😂😂😂
 
Basi natoka neno dhalimu naweka Magufuli,jibu hoja
Kwa kuwa umeshamkashfu JPM inaonekana umekaa kiubishi tu, huwezi kuwa serious ukaona maendeleo ya Samia kwa miaka 3 ni bora kuliko ya JPM ya miaka5....hapo kiubishi mada itaendelea ila kiakili hakuna kitu cha kuongea hapo. Hao wanaoongea hivo wanatetea nafasi zao tu, ukiwauliza wapiga kura ni asilimia mdogo saaaaaana watamtaja Samia kimaendeleo.
 
Hizo basic needs watu wanaweza kuzipata sana tuu sijui wapi Tanzania hii watu wanalalia mlo.mmja Kwa siku wakati vyakula bei ni chee.
Nadhani fanyia kazi hapo kwenye Bold......; unaongelea mlo mmoja watu wanatoka asubuhi kwenda kutafuta shilingi hawajui hata kama jioni menu itasoma..., watu wana-madeni mpaka kwenye kope yaani wanakopa leo walipe madeni ya miezi mitatu nyuma na waendelee kudaiwa miezi sita mbele ili tu leo waweze kula.....

Kwa statement yako huenda hata huyu Nchimbi yupo out of touch - Ndio hawa ukiwaambia watu wanalalamika hawana maji ya kunywa wanakwambia waambie wanywe Wine....
 
Back
Top Bottom