Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Zawadi? ni Kodi zao wananchi inakuwaje ni hisani? Huo ni utekelezaji wa CCM manifesto ili wachaguliwe tena, siyo hisani, ni ajira waliyotuomba kwa kutupigia magotiπŸ˜†
Acha porojo zisizo na msingi
 
Kumbe wewe ni mjinga??kikokotoo kisikie kwa babako au mamako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…