ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani hataki Sasa?Kwanini hamtaki watanzania waletewe huduma ya Starlink?
Starlink ipo Tanzania?Nani hataki Sasa?
Kwani lazima iwepo?Starlink ipo Tanzania?
Internet yenye kasi na uhakika ni hitaji la msingi kwa karne ya 21.Kwani lazima iwepo?
Wamekatazwa na nani? Yaani Nchi ikawabembeleze?Internet yenye kasi na uhakika ni hitaji la msingi kwa karne ya 21.
Wamekatazwa na nani? Yaani Nchi ikawabembeleze?
thechanzo.com
Kwa hiyo ulitaka wasiwe na ofisi Tanzania?![]()
Tanzania Wants Starlink to Set-Up Physical Office in the Country to Receive Operational Approvals - The Chanzo
Tanzania Minister of Information, Communication, and Information Technology, Nape Nnauye said that Starlink is required to set a physical office in the country as well as share its data protection plan before receiving operational approvalsthechanzo.com
Soma hapo.
Google , Instagram, Yahoo, WhatsApp, X , wana ofisi Tanzania?Kwa hiyo ulitaka wasiwe na ofisi Tanzania?
Hao ni internet provider hapa Tanzania?Google , Instagram, Yahoo, WhatsApp, X , wana ofisi Tanzania?
Hao wanatoa huduma za mawasiliano kupitia kitu gani?Hao ni internet provider hapa Tanzania?
Internet za TCCL na kampuni zingine binafsi.Hao wanatoa huduma za mawasiliano kupitia kitu gani?
Wewe unaweza kutumia hiyo mitandao tajwa bila internet?
Taarifa zako katika kanzidata ya hiyo mitandao unaweza kuipata ofisi gani Tanzania?
Si kweli!Internet za TCCL na kampuni zingine binafsi.
Ila ukweli ni upi?Si kweli!
Hiyo mitandao ya simu [TTCL n.k] haina kanzidata ya taarifa zako.Ila ukweli ni upi?
Kanzi data na internet providers ni vitu 2 tofautiHiyo mitandao ya simu [TTCL n.k] haina kanzidata ya taarifa zako.
Kanzidata ziko kwenye ofisi zao nje ya Tanzania.
Nakupa mfano mwepesi tu, wakati wa vuguvugu la uchafuzi mkuu 2020 Magufuli aliweza kuzuia flow of data ya mtandao wa X kwa Tanzania ila watumiaji waliendelea kuutumia huo mtandao kwa kutumia VPN bila shida yoyote.
Aliye na kanzidata ni mwenye mtandao ndio maana hata account ya Kigogo2014 ilipokuwa suspended aliwaandikia direct Twitter wamtolee hiyo adhabu na sio kuwaomba Tanzania.
Huelewi ninachoeleza hivyo sioni haja ya kuendelea kufanya mjadala na wewe kuhusu hii mada maana imekuzidi kimo.Kanzi data na internet providers ni vitu 2 tofauti