ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #1,221
Watu wenye miujiza yenu kama ya Mwamposa π π π π π
Sisi wengine hatunaga bado mambo ya miujiza. Tunafahamu fika, tunavuma tunayopanda
Miujiza inayojadiliwa hapa ni ya Maendeleo kama huu ππWatu wenye miujiza yenu kama ya Mwamposa π π π π π
Sisi wengine hatunaga bado mambo ya miujiza. Tunafahamu fika, tunavuma tunayopanda
Miujiza inayojadiliwa hapa ni ya Maendeleo kama huu ππ
View: https://youtu.be/-jgsxRQAvUg?feature=shared
Una shida ya uelewa sanaReli ya SGR imekwamia alipoanzisha JPM...Dar Dodoma. na Isaka Mwanza. Niambie maajabu mengine ili pengine nihamie kwa Mwamposa
Ati nini? Kuwa na wakandarasi ni kitu kimoja...kazi kuendelea ni kitu kingine. Na haya mambo mawili hayahusianiUna shida ya uelewa sana
1.Sections zote Zina wakandarasi na kazi inaendelea Sasa huko kukwama ndio wapi wewe msukule wa Mwendazake? ππ
View: https://youtu.be/MQvBEEKYNTw?feature=shared
Kazi inaendelea π π
View: https://youtu.be/QB-sV8chfIA?feature=shared
View: https://youtu.be/wKGkxpTPCcc?feature=shared
Imeishia alipoacha JPM ππ
Niongeze nyama au inatosha? ππ
View: https://youtu.be/bCrl9sCYeWQ?feature=shared
Kwa hiyo utajenga bila wakandarasi? ππAti nini? Kuwa na wakandarasi ni kitu kimoja...kazi kuendelea ni kitu kingine. Na haya mambo mawili hayahusiani
Kwa hiyo utajenga bila wakandarasi? ππ
Unawezaje kusaini miradi kama huna hela?Wewe fanya siasa acha kutudanganya. Miradi isiyo nahela inafanyikaje? Nenda Mwanza kaangalie nini kinaendelea?