Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ajira kiasi gani?
Mfumuko wa bei?
Kikokotoo?
Biashara ngapi zimeanzishwa?
Biashara ngapi zimefungwa?
Bima ya afya?
GDP per capita?
Viwanda?
Nauli za ndege?
Ajali za barabarani zimepungua kwa kiasi gani?
Katiba mpya?
Covid 19,
Mifuko ya jamii wameshindwa kuunganisha,
uchafuzi wa chaguzi mbalimbali,
Watu kutekwa na kuuwawa,
Uwepo wa kikundi cha watu wasiojulikana n.k
 
Kwa hiyo braza, balozi, Dr., Nchimbi hayo uliyoyaorodhesha hapo ndiyo, kwa uelewa wako, ndiyo maendeleo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…