Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Mimi ni mtu wa misimamo, Utamaduni wa CCM unajulikana Rais anahudumu awamu 2 nawaambieni Mapema kabisa!

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Mimi ni mtu wa misimamo, Utamaduni wa CCM unajulikana Rais anahudumu awamu 2 nawaambieni Mapema kabisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa

Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi

Mungu mbariki Dr Nchimbi
Kama aliko hafai bado mnampa vipindi viwili?
 
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa

Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi

Mungu mbariki Dr Nchimbi
Kaaisha yakanyaga ,je katiba ya ccm inasema hivyo , huyu apelekwe milembe mapema that's ccm wameialibu nchi ,kama katiba ya ccm yao haifuatwi vipi ya nchi pumbavu
 
1705419175098.png
 
Wakati anapewa mara ya kwanza baada ya Magufuli kufariki alikuwa anatetemeka anaogopa, leo amekaa hapo ameshapatamani anataka tena na 2025 apewe

Anatumia kila aina ya nguvu na mbinu ili abaki ikulu

Sisi Watanzania bado hatujaandaliwa kisaikolojia kutawaliwa na Rais mwanamke

Kitakachotokea 2025 CCM wataiba kura za urais kama kawaida yao
 
Kwenye karatasi ya Tume ya Uchaguzi kulikuwa na picha ya Magufuli na wewe?

Pili mambo ya sheria sijui awamu hayatafsiriwi Moja kwa Moja kwa kusoma article moja na kuja na conclusion.

Narudia kukwambia unaelewa Kwa nini inaitwa awamu ya 6? Katiba ya Nchi imekiukwa?
Kwanza nikuweke sawa we chawa mtoto, hakuna awamu bila uchaguzi, hivyo awamu ya sita ni feki haipo, Samia ni Rais wa Pili awamu ya 5.
Sheria Mama huzaa sheria ndogo ndogo na sheria sio msaafu, Karatasi ya tume ilikuwa na Picha ya JPM na Samia ndio maana hakuna awamu ya Sita, Tume hutangaza kura za Rais sio makamu wa Rais na ndio maana anayeapishwa ni Rais na sio makamu, makamu ni ceremonial ndio maana ana kazi ya kuhangaika na mazingira.

Kama Urais ni awamu mbili na Samia alikuwa na JPM Kwenye karatasi ya kura, maana yake Awamu yake imeisha kwanini atake awamu ya tatu?
 
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa

Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi

Mungu mbariki Dr Nchimbi
Eeehh, ni kweli kabisa
 
Kama misimamo yenyewe ni ya kichawa ka hii bora angesimamia ukucha akuze hata familia.
 
Na Mimi nakuuliza Katiba ya Nchi inasemaje kuhusu Urais wa Samia? Anamalizia au ni awamu full?

Ukijibu Hilo swali Utajua maana ya Kauli ya Nchimbi.

Ndio yanatumika kumfavour maana ndio utaratibu wa Chama Cha Mapinduzi,hutaki huo utaratibu ni peleka kwenye vikao au hama chama simple tuu mbona.
Hajamaliza kamaliza awamu moja.
Katiba ya CCM hazuii watu kuchukua fomu kisa mwenyekiti hajamaliza awamu mbili. Huo ni utamaduni ila si katiba. Ndio maana nasema waafrika wanaunda katiba wanaiweka pembeni wanafuata utamaduni.
 
Kwanza nikuweke sawa we chawa mtoto, hakuna awamu bila uchaguzi, hivyo awamu ya sita ni feki haipo, Samia ni Rais wa Pili awamu ya 5.
Sheria Mama huzaa sheria ndogo ndogo na sheria sio msaafu, Karatasi ya tume ilikuwa na Picha ya JPM na Samia ndio maana hakuna awamu ya Sita, Tume hutangaza kura za Rais sio makamu wa Rais na ndio maana anayeapishwa ni Rais na sio makamu, makamu ni ceremonial ndio maana ana kazi ya kuhangaika na mazingira.

Kama Urais ni awamu mbili na Samia alikuwa na JPM Kwenye karatasi ya kura, maana yake Awamu yake imeisha kwanini atake awamu ya tatu?
Unajua Kwa nini inaitwa awamu ya 6? Unaelewa utaratibu wa kumalizia awamu au kuwa full awamu? Nani alisema awamu ni mpaka uchaguzi?

Ndio nakuuliza Sasa wewe kwa nini inaitwa awamu ya 6?
 
Hajamaliza kamaliza awamu moja.
Katiba ya CCM hazuii watu kuchukua fomu kisa mwenyekiti hajamaliza awamu mbili. Huo ni utamaduni ila si katiba. Ndio maana nasema waafrika wanaunda katiba wanaiweka pembeni wanafuata utamaduni.
Sasa hapo si unaunga mkono Kauli ya KM kuwa sio Katiba ila ni utaratibu na utaratibu uheshimiwe.

Pili Unajua Kwa nini inaitwa awamu ya 6?
 
Kwa nn wateseke na utamaduni ambao haupo katika maandishi ya katiba yao? Ni kwa nini wasirasimishe tu kuingiza hilo katika katiba moja kwa moja wasiwe wanazinguana kama alivyosema?
 
Kwani sio ndio utaratibu rasmi huo? Kwani kuna nini mpaka aseme hivyo?
Utaratibu rasmi[KATIBA YA CCM] unaruhusu wanaCCM kugombea. Sema ushakua utamaduni wa kutokumpinga anaposaka 2nd term.
 
Mgombea mwenza wa Awamu ya kwanza ya Samia 2021 alikuwa nani vile?
 
Nikiwaza Miaka mingine mitano ya huu utawala naona Giza mbele....

What a waste of 8 years!!!
Tena giza Totoro! Gharama za maisha zimekuwa juu sana huku viongozi wetu wakishindwa namna ya kutusaidia kuondoka ukali wa gharama hizi na kubaki kupigania nani atakuwa rais wa awamu ijayo. Hovyo sana hii.
 
Back
Top Bottom