bila vigezo vip sasa 🐒Katiba mpya ni muhimu sana... Haiwezekana CEO wa shirika fulani anateuliwa tu. Tunatakiwa tubadilike. Ina maana kwa katiba hii naweza kwenda kijijini kwetu nikachukua classmate wangu akawa mkurugenzi hata bila ya vigezo
Mungu anatupenda Watanzania, haliwezi kutokea DUBWASHA jingine kama hilo tulilolizika ChatoTumepitia kipindi kigumu sana naomba mungu tusirudie tena huko.
Hata mleta mada yupo vizuri kwa matusi!Mange akajibiwe na rafiki zake wa chadema maana matusi wanayaweza
Huyu Moremi alipewa sampuli za oil na mapapai azipime kwenye mashine inayopima sampuli za vimelea za binadamu. Akatoa majibu.Kwani huyu ndo alisema papai lina corona? au
sheitwani mkubwa alikuwaMagufuli alikuwa bwege sana halafu covid-19 hiyo hiyo ikaja kumpitia dadeq
Kwahiyo aktiba mbovu ndiyo ilimuongoza kumpiga Lisu risasi?Magufuli hana shida shida ni katiba mbovu, nchi inaendeshwa kwa maono ya Rais na si sheria za nchi
Aliyekuambia jpm aliuawa na covid-19 ni nani?Magufuli alikuwa bwege sana halafu covid-19 hiyo hiyo ikaja kumpitia dadeq
Ambaye hajui kuwa Magufuli aliondoka kwa COVID-19 ni wewe tu. Pole mtu wa KolomijeAliyekuambia jpm aliuawa na covid-19 ni nani?
Ukikua utajua kilichomuua.Ambaye hajui kuwa Magufuli aliondoka kwa COVID-19 ni wewe tu. Pole mtu wa Kolomije
Sasa si angezifuta kazi hizo mashine zilizotoa majibu ya uongo? Moremi alikosea nini?Huyu Moremi alipewa sampuli za oil na mapapai azipime kwenye mashine inayopima sampuli za vimelea za binadamu. Akatoa majibu.
Baada ya yale majibu Magufuli akamfuta kazi kuwa mashine zinatoa majibu ya uwongo.
Jf imekuwa kichaka Cha matusi kama fb wallahHapo tayari kisimi kimeshakusimama
Na mimi narudia tena bwege alikuwa MAMAKO ALIHONGWA ANDAZI LA MIA AKAKUBALI AKUZAA WEWENarudia mara 10 tena Magufuli alikuwa BWEGE
Nenda kamfufue kule Chato umpime upya. Ukikuta siyo corona njoo hapaUkikua utajua kilichomuua.
Wewe ndiyo hujachanjaJPM alikua Genius!! Hili halitokaa kufutwa.
Mlivyo wapumbavu, ... Walewale mnaompinga JPM kuhusu COVID-19 nahuyu mwanamke ,, ndo hao hao ambao Mara baada ya Samia kutangazia Dunia kua Kuna COVID bado mpaka Leo HAMJACHANJWA.
mnatembelea Nyota ya JPM.
*****.