chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].we kiboko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu.Sio kipapai kweli wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].we kiboko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu.Sio kipapai kweli wakuu?
heading haijatamka Corona mkuu,maana niliapa sita coment thread za corona.Soon wataitoa hii habari....maana habari za corona zipo estricted sana hapa jukwaani..ni hatari kuu japo wanajifanya vipofu
Isome vizuri mkuu au Kvant ishachanganya hapaheading haijatamka Corona mkuu,maana niliapa sita coment thread za corona.
mida mibovu hii,Basi si coment ,inasema Corona.Isome vizuri mkuu au Kvant ishachanganya hapa
Bora haujacoment aisee maana hata mm naogopamida mibovu hii,Basi si coment ,inasema Corona.
Mungu awape faraja na nguvu waliofiwa na alaze mahali pema peponi waliotangulia.Morogoro. Miili ya wanandoa, Profesa Delphina Mamiro aliyekuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Sokoine (Sua) na Dk Peter Mamiro imesafirishwa leo Alhamisi Februari 11, 2021 kwenda mkoani Kilimanjaro kwa mazishi....
aisee.. huo mgawanyo hatariHii ni balaaView attachment 1700340
Unaleta huu uongo ili umfurahishe nani!?hiyo ikisafirishwa, mtoto wao wa kiume bado amelazwa hospitali akiendelea kutibiwa maradhi aliyoyapata baada ya vifo vya wazazi wake
Acha utani tafadhali sio lazima uchangie.Nenda US taifa tajiri kwa ambako hawafi na corona. Corona wao wanaisikia inaua Tanzania tu.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Mpaka watu wapoteze mtu wa karibu ndio wanaamka, hapa tuna mpigia mbuzi gita.Mtaani kwetu leo kuna nyumba moja kuna misiba miwili, dada mtu na mdogo wake.
Maisha yalivyo magumu, siku hizi hata muda wa kupigana vipapai haupo.Sio kipapai kweli wakuu?
Sijui kama hata umeelewa kunachojadiliwa. Poor you.Nenda US taifa tajiri kwa ambako hawafi na corona. Corona wao wanaisikia inaua Tanzania tu.
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
Hii taarifa imeandikwa na NWANANCHI ONLINE uongo upo wapi? Acha upimbi kujifanya mjuajiUnaleta huu uongo ili umfurahishe nani!?
We ni nguruwe kabisa, mimi mwana jamii wa SUA, niko mrorgoro, wewe unaniletea blogsHii taarifa imeandikwa na NWANANCHI ONLINE uongo upo wapi? Acha upimbi kujifanya mjuaji
Sio kweli mkuu...naongea haya marehem Mamiro alikua jirani yangu mm..wamezusha mno had kero...dreva yupo mzima na wanaye wazimaHii taarifa imeandikwa na NWANANCHI ONLINE uongo upo wapi? Acha upimbi kujifanya mjuaji