Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.
Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.
Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Bora ubishane na chizi kuliko na mwanaume mwenye hisia za mama yakeWazee wana msemo wao.
Usibishane na chizi. Byee
Kweli maisha hayana usawa.Hahaha ndiyo maisha
Muwe mnasoma taarifa kiumakini, acheni kukurupukaMbunge wa sasa wa Huko ni nani ???
Wamefufua uchumi au wamefifisha uchumi ?Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.
Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.
Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
sawa kigogo tumekusikia tupe na wengine watakao rudi mjengonMpango atarudi kwenye kiti chake cabinet ijayo, pia Prof Kabudi, Ummy, Jenista Muhagama, Kamwele hawa watarudi kwenye nafas zao pia.
Huyu Jenista ndo anarudi kabisaaaa kiulaini maana kule kwetu hakuna wa kumzuia, yaan anaslay atakavyo, inakera pia some times khaaaahMpango atarudi kwenye kiti chake cabinet ijayo, pia Prof Kabudi, Ummy, Jenista Muhagama, Kamwele hawa watarudi kwenye nafas zao pia.
Mpango ameshaona utamu wa pesa za siasa.Waziri wa fedha aliyeweka rekodi ya kukaa kwenye uwaziri kwa kipindi chote cha miaka mitano ya rais Magufuli, wakati akihitimisha kusoma bajeti kuu ya serikali ametangaza kugombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu na kuwataka wana Buhigwe wampe kura za ndiyo.
Mbunge wa Jimbo hilo kwa sasa ni Albert Ntabaliba Obama (55yrs) wa CCM.
Dkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Ni wakati sasa umefika kwa wana Kigoma kuachana na makanjanja na matapeli wa kisiasa kama akina Zito Kabwe ambao kazi yao ni kushinda Twita wakijikomba kwa mabeberu na kuichafua nchi kimataifa.
Cheki hili kima jeusi. Kazi kuendekeza ukabila tuWewe ni mchaga ya Buhigwe yanakuhusu nini?