michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,915
Hill jimbo la zitto kila mtu anafahamu na ndo Mbunge anyelitawala
Mbunge sio mtawala.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hill jimbo la zitto kila mtu anafahamu na ndo Mbunge anyelitawala
Hahahaha aagh wapi!Dr Mpango ataibadilisha
Dr Mpango ataibadilisha
Buhingwe ya sasa mbuge wake ni zitto?
Aende tu kugombea. Sisi tunasubiri tu kumwona bungeniDkt Mpango anaenda kugombea ubunge akiwa kifua mbele baada ya kusimamia ufufuaji uchumi wa Tanzania na kuwa moja ya chumi zinazokua kwa kasi Afrika na duniani kwa ujumla, Dkt Mpango ndiyo amekuwa mtafutaji na mlipaji wa pesa zote kwenye miradi mikubwa ya nchi yetu kama vile SGR na bwawa la kufua umeme la Nyerere, hivyo wana Buhigwe na wana Kigoma kwa ujumla tembeeni kifua mbele kuwa mmepata mkombozi wa kweli hasa wakiungana na Prof Ndalichako.
Kwani ulikuwa hujui? Muwe munauliza! KIla mtu munadhani ni mwanaume, falacy!Kumbe wewe ni ke!!!!??
Maajabu hayaishi Tanzania huko.
Albert Ntabaliba ObamaAlbert Nchalamila "Obama".
Ok, ahsante kwa kusahihisha.Albert Ntabaliba Obama
Arumeru Magharibi/Arusha mjini.Jimbo gani mkuu, au nawewe ni wa buhigwe?
Kwahyo anarudi kwenye kiti chakeAlbert Ntabaliba "Obama".
Ngoja tuchungulie katiba.. But nahisi jimbo lipo waziKwahyo anarudi kwenye kiti chake