Dkt. Philip Mpango maneno uliyotamka siku unaapishwa yalitoka ndani ya moyo wako? Ulikuwa unawakebehi Watanzania?

Dkt. Philip Mpango maneno uliyotamka siku unaapishwa yalitoka ndani ya moyo wako? Ulikuwa unawakebehi Watanzania?

Ahaaa ahaaa. Au ndio hao wachumi wenye PhD lakini ni motivational speakers?
Mkuu hao wanakubishia bure tu watu tunashuhudia huku mtaani wastaafu wanavoanzisha vibiashara vinakufa. Ukweli ni kwamba Waziri Mpango hana akili yoyote ya ku survive nje ya kuajiriwa maana angekua na uwezo huo angeshafanya hivyo.
 
Mkuu hao wanakubishia bure tu watu tunashuhudia huku mtaani wastaafu wanavoanzisha vibiashara vinakufa. Ukweli ni kwamba Waziri Mpango hana akili yoyote ya ku survive nje ya kuajiriwa maana angekua na uwezo huo angeshafanya hivyo.

Ndio namwambia huyo anayemsaifia eti ni mchumi mbobezi. Akope hata 1b kisha awekeze aone kama hajaishia kufa kwa BP.
 
Kuisaidia nchi ni lazima aajiriwe? Angekopa bank afungue viwanda vitoe ajira tuone nguvu ya PhD yake ya uchumi.
Hapo ndio unapokosea kwani kila mtu lazima awe mjasiriamali? Kisa tu ni mchumi. Nguvu ya Phd yake inaweza kutumika kama mtu anayeshauri taifa kwa masuala ya msingi ya kiuchumi.
 
Atafanya nini huyo mchumi fake zaidi ya kumsifia jiwe na kujifanya mtu wa dini saana kwa tuvifungu alitokariri?
Huyo ni aina ya wasomi waliokulia Dar na hawajui shida na kwao walikuwa hawaendi,yeye ndio tunapaswa kumshangaa kwa kushangaa Hali za wananchi
Kingine huyu ndio kawa mchumi toka enzi za Jk Hadi leo hii lakini hajui anachosimamia ,watu wa hivi ni wasomi maamuma wa kupuuzwa,seems anasimamia sera za uchumi za kwenye madafutari/nadharia.
Nilitegemea mchumi kama yeye aje na sera za kuinua kipato cha watu na kuwawekea mazingira rafiki kwenye urafutaji wa kipato lakini ndio Kila siku kuna utitiri wa kodi za kijinga,tra iko kukomoa watu badala ya kuwawezesha,wao mipango yao ni kununua ndege na kujenga airports kwa ajili ya watu wasio na uwezo wa kupanda yaani Hawa wasomi ni shida tupu
 
We jamaa una matatizo? Mtu mwenye PHD ya uchumi hawezi kujiaajiri?
Kwani cha ajabu nini? Kuna uhusiano upi Kati ya phd ya uchumi na kujiajiri? Hukumsikia malaika wenu anasema kuna mtu alikuwa na phd lakini walikuwa nae lumumba anazhngukazunguka huku wanamlipa laki 6 ndio wakamteua ukuu wa wilaya?
 
Alikuwa ameajiriwa Tanroads. Nitajie mahali alipowahi kujiajiri na mafanikio yake kabla ya kukabidhi maisha yake kwenye ajira. Waziri wa fedha ambaye anajua mambo ya fedha na ana PhD, asingekubali wafanya biashara wa Bureau de change kuporwa fedha zao.
Sio Tanroads huyo alitolewa kufundisha uchumi mlimani/ udsm akapewa kuwa mtendaji mkuu wa tume ya uchumi enzi za BRN kipindi cha Jk ndio kawa na muendelezo wa kaxi za kuajiriwa Hadi leo,kifupi hawezi kazi yoyote nje ya kuajiriwa ndio maana malaika wao alijigamba kumtukana lakini jamaa hakuwa na cha kufanya kutunza utu wake
 
Sawa,lakini sio sababu ya kusema hawezi kujiajiri. Yeye kama mchumi mzuri aisaidie nchi yake,full stop.
Wewe kwa akili yako hiyo kaz ya uchumi ndo kaanza leo? Nini amesaidia miaka yote ambacho anaweza fanya leo? Hana kipya huyo
Binafsi ningekuwa Rais kwenye nafsi kama hizi ningeweka watu wenye exposure na biashara tena za kimataifa sio kuchukua ma academician na kuwapa nafasi nyeti hakuna watafanya nje ya makaratasi waliyokariri si ajabu msukuma huwa anawaponda
 
Hapo ndio unapokosea kwani kila mtu lazima awe mjasiriamali? Kisa tu ni mchumi. Nguvu ya Phd yake inaweza kutumika kama mtu anayeshauri taifa kwa masuala ya msingi ya kiuchumi.
Miaka yote kashauri nini au ushauri wao ndio huo wa tiaraei?
 
Alikuwa ameajiriwa Tanroads. Nitajie mahali alipowahi kujiajiri na mafanikio yake kabla ya kukabidhi maisha yake kwenye ajira. Waziri wa fedha ambaye anajua mambo ya fedha na ana PhD, asingekubali wafanya biashara wa Bureau de change kuporwa fedha zao.
Umewaona hao wa bureau tu, vipi wale Wajasiriamali waliokuwa na pesa zao benki zilizosimamishwa na wakaambulia 1.5m kati ya 50m au 70m Mtu alizokuwa nazo kweye akaunti?.

Kwa ufupi tupo wengi tunaoamini Wanasiasa wana namna yao ya kutafsiri mambo tofauti kabisa na hali halisi. Nimetumia Wanasiasa kwa sababu hata uwe na phd kumi ukishaingia siasa phd zote zinafunikwa....kumbuka kuna tofauti ya kutamani kufanya jambo na kujua namna ya kulifanya hilo jambo litokee.

Mwanasiasa akikuita Masikini au Mnyonge actually zaidi anamaanisha "Mpiga kura".
 
Mpango ana ukakasi,hajui basic ya uchumi wa mtu mmoja ndio uchumi halisia.Wezesha wananchi uone tafsri halisi ya kukuwa kwa uchumi.
Hajui ateme au amungunye amegeuka popo.
Magufuli hana rafiki wa kudumu nafasi itaenda kwa Hussein Bashe ndio mwenye bongo ya kiti hiki.
 
Wewe kwa akili yako hiyo kaz ya uchumi ndo kaanza leo? Nini amesaidia miaka yote ambacho anaweza fanya leo? Hana kipya huyo
Binafsi ningekuwa Rais kwenye nafsi kama hizi ningeweka watu wenye exposure na biashara tena za kimataifa sio kuchukua ma academician na kuwapa nafasi nyeti hakuna watafanya nje ya makaratasi waliyokariri si ajabu msukuma huwa anawaponda
Makusanyo kutoka bil 8 mpaka tril 1.7 hulioni hilo?
 
Wahenga wanasema tembea uone. Ndio maana hata mzee Mwinamila alipokuwa hai aliwahi kutunga wimbo akimwambia Mwl Julius Nyerere atembee aone ili ajionee kwa macho yake nchi anayoitawala na watu wake wanaishi kwa namna gani.

Nimepafanya kijiziara kidogo suo moto, maana sijapangiwa na mtu. Ila nimeshuhudia kuwa watanzania bado wana hali mbaya sana kiuchumi. Watanzania wanaishi maisha duni, kula ni kwa tabu,kulala kwa tabu kwa kweli inasikitisha sana.

Ukweli ni kwamba watanzania sio wavivu, wanapenda kazi, maana nimeshuhudia kwa macho yangu, wanalima, wanachimba madini tena kwa mikono, wanafanya biashara. Kwa ujumla wanajituma japokuwa wapo baadhi ni wavivu na matapeli.

Lakini huu umaskini unatoka wapi? Fikiria mama ana mtoto mgongoni anajishughulisha kuosha vyombo kwa mama ntilie na analipwa shilingi elfu mbili, kwa jinsi pesa isivyo na thamani ataishi vipi?

Dkt. Mpango siku unaapishwa ulikiri kwa kinywa chako, ulipokuwa unafanya kampeni umeshuhudia umaskini mkubwa sana wa wananchi wa jimbo lako. Na ukweli ni kuwa hali uliyoishuhudia ndio hali halisi ya watanzania 75%.

Dkt. Mpango kama mchumi, unatusaidia vipi sisi watanzania kuepukana na hii hali? Je, huwa unamueleza ukweli mkuu wa nchi juu ya hii hali uliyoishuhudia? Una mpango gani wa kuleta sera nzuri za kiuchumi kuwaokoa hawa watanzania wanaoteseka?

Au uliongea kama unajikosha tu mbele ya umma,maana hatuoni ukichukua hatua ili kutunusuru.
Hana jipya ameshawaagiza TRA wahakikishe wakusanya trilioni 2 kila mwezi ,
Wanaendelea kutukamua tu , wakati malisho yenyewe hakuna
 
Back
Top Bottom