Mtu maarufu kwa sasa ni Likwidi, lakini hakuchukua form! So nenda ukale malimao hasira zikupungue!Lawyers wakivaaga suti zao akili zinawatoka kabisa
Any way I like their life style
Mbona Huyo bwana sio maarufu?
Tls take sasa inahitaji mtu maarufu achilia mbali influence
God first
Ma Ustaadh wamejikita kwenye taaluma ya Uhasibu!Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
Ndugu zangu ma Ustaadh mnafelia wapi ???
Sent from my Sonny Ericsson using Tapatalk
Nshala is a close friend of Tundu Lisu, a very close one, close close! Umeumia!
Na kule wanafanya vyema kweli kweli,Full kumtikisa Mzee MekoMa Ustaadh wamejikita kwenye taaluma ya Uhasibu!
akasonge ukatili wa ccm na serikali yake, aiche taaluma ya wasafi kama Rugeleleza Nshala!Wakili msomi wa maCCM ndugu Wasonga ametangazwa kuwa mshindi na mwenyekiti wa uchaguzi huo ndugu Jecha Salim Jecha
Wanyakyusa wametaradadi TLSHatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20
Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.
Kura za Urais:
President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20
Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.
Kura za Urais:
President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Wannyakyusa muache sifa matanga gwenu
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
tatizo lenu hamumjui vizur huyo jamaa..hahahahahah mnachekesha...Hatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20
Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.
Kura za Urais:
President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
Gwilimi anaendelea kuwa mgombea mkongwe na mzoefu wa nafasi hiyo.
jambo msilolijua ni kama usiku wa giza nene...sisi yetu machoLawyers wana wajibu mkubwa kwa jamii. Utawala wa sheria Tanzania unapitia kipindi kigumu. Nina imani Nshala na timu yake watatoa mchango maridhawa katika hili. Hatuhitaji mwanasheria mwenye mlengo wa Status quo kipindi hiki.
All the best!
tobaa mbona akina anko lissu na aunty Fatma kibao jiwe iko sheedaHatimaye Chama Cha Mawakili Tanzania (TLS) chapata Rais wake kwa mwaka 2019/20
Kura zilipigwa na wengi wamemchagua Dr Rugemeleza Nshala kuwa Rais wa TLS 2019/20, ambae pia alikua makamu wa rais katika uongozi wa Bi Fatma Karume.
Kura za Urais:
President Votes
1. Dr. Nshala - 629
2. Ngwilimi - 323
3. Wasonga - 123
4. Mwananyela - 58
5. Seka - 29
Dkt. Nshala atashirikiana na,
Makamu wa urais - Wakili Mpale Mpoki
Mhazini - Nicholaus Duhia
Wajumbe saba wa kamati.
1. Angelista Nashon
2. Harold Sungusia
3. Jebra Kambole
4. Tike Mwambipile
5. Paul Kaunda
6. Baraka Mbwilo
7. Stephen Ally Mwakibolwa
TLS hakuna kuongozwa na takatakaNaona kama Ufipa watupu.......kazi kweli kweli!
TakatakaGwilimi anaendelea kuwa mgombea mkongwe na mzoefu wa nafasi hiyo.
Kwani ccm kuna professional board??Mnafaidika nini? Why hamna Professional Board hadi leo?