tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Naona kama Ufipa watupu.......kazi kweli kweli!
School of laws haiko kama proffesional board??Hizi Hongera nilizisikia taangu wa Tundu Lissu na Sijaona Kazi wanazifanya Board za Kihuni kama hizi hazina Nafasi kwa taifa I like NBAA
Ni kitengo nn??tatizo lenu hamumjui vizur huyo jamaa..hahahahahah mnachekesha...
HahahaaaaWasonga na matakataka yake ameangukia pua...
Pandikizi LA mtaa pili limetoswa!!
Kweli? Hahahaaa!! Naona unajipa matumaini hewa!
Lissu The GreatestHapa ndipo nimeamini Lissu ana ushawishi mkubwa sana kwa jumuia ya mawakili wasomi nchini. ..
Ushawishi huu na sympathy kwa wananchi utaishangaza dunia oct 20
Hongera sana Nshala
Umemharibia kwani kukaa kimya bila kumtaja TL kunaghrama gani?Hapa ndipo nimeamini Lissu ana ushawishi mkubwa sana kwa jumuia ya mawakili wasomi nchini. ..
Ushawishi huu na sympathy kwa wananchi utaishangaza dunia oct 20
Hongera sana Nshala
Unampenda CAG??Hizi Hongera nilizisikia taangu wa Tundu Lissu na Sijaona Kazi wanazifanya Board za Kihuni kama hizi hazina Nafasi kwa taifa I like NBAA
Imekuwaje,huko hakuna bao la mkono?Huyu ni CCM, kibaraka kajaribu, 123 si haba!
Kazi yakeHongera...sana.
Huyu alikua na akina Lissu kwenye harakati za LEAT..
Ingawa aliwai kumtetea Diwani wa CCM huko Muleba dhidi ya wa CHADEMA na wa CHADEMA akaangukia pua..aaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa mwaka utaisha wakiwa wanaitunishia Serikali msuli,hawata kua na jipya ,zaidi ni milengo ya kisiasa.Naona kama Ufipa watupu.......kazi kweli kweli!