Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

Wajukuu zako si wajengee sasa unataka kuwa rithisha bandari au? hakuna kujibu hoja wala nini. Serikali imechaguliwa inawakalisha wewe subiri 2025 gombania ukipata nafasi fanya maamuzi. Huu ujinga kila mtu utawaambia nini wajukuu zako ni ujinga mkubwa, wajukuu zako ni wako fanya kazi uwachie mali waje kuuza wagawane kidogo watakukumbuka kwenye dua zao.
Yaani kwa akili yako tu Sina la kuongea
 
Huyu Mwamakula ni askofu wa CHADEMA hivyo apuuzwe. Achague kuwa askofu au mwanasiasa. Anachofanya hakikubaliki kwa Mungu wala kwa shetani. NI MNAFIKI
mbona hata ccm wamejaa tele, huwaoni hao maaskofu na masheikh? Hebu tulia usianze kutoa povu
 
Yaani kwa akili yako tu Sina la kuongea
Sababu unaandika ujinga humu ohhh tutawaambia ni wajukuu zetu hapo unajiona umeongea kitu cha maana sana. Nchi inatawaliwa na serikali, bunge ni wawakilishi hatuwezi watu mil 65 tukafanya maamuzi. Hujaridhika na sera subiri uchaguzi chagua unayemtaka. Serikali hata iko madarakani kwa 51% wana mandate ya kuamualia hata hao 49% ndio demecracy. Nyinyi hamjaridhika subirini 2025 lakini usilete story za wajukuu. nchi hii haina wajukuu ina wananchi. wajukuu ni wako watafutie mali watakufanyia maombi ukija kuondoka.
 
Wajukuu zako si wajengee sasa unataka kuwa rithisha bandari au? hakuna kujibu hoja wala nini. Serikali imechaguliwa inawakalisha wewe subiri 2025 gombania ukipata nafasi fanya maamuzi. Huu ujinga kila mtu utawaambia nini wajukuu zako ni ujinga mkubwa, wajukuu zako ni wako fanya kazi uwachie mali waje kuuza wagawane kidogo watakukumbuka kwenye dua zao.
Serikali ilichaguliwa ili ishindwe kuongoza nchi badala yake iwakabidhi Waarabu waongeze badala yao ili wakumbukwe na wajukuu wao,huu ni upumbavu.
 
Serikali ilichaguliwa ili ishindwe kuongoza nchi badala yake iwakabidhi Waarabu waongeze badala yao ili wakumbukwe na wajukuu wao,huu ni upumbavu.
Kakumbukwe wewe na wajukuu zako jinga kubwa. wazaramu waliwaachia nyumba pale kariakoo wajuu zenu wamefanya nini? wameendeleza au wameuza. story za wajukuu zako peleka nyumbani usituletee hapa upumbavu.
 
Huwa anawauliza watu kuwa wapo mrengo gani kabla ya kuwapazia sauti ili haki itendeke!!??
Yeye ni mtetezi wa haki bila kujali chama,itikadi,dini wala dhehebu.
Ulishawahi kuona huyo Askofu wa CHADEMA akitetea mtu yeyote wa CCM anapokuwa kwenye shida. Au hata kutetea lolote ambalo ni haki kwa CCM au mwanachama wake?
 
Kakumbukwe wewe na wajukuu zako jinga kubwa. wazaramu waliwaachia nyumba pale kariakoo wajuu zenu wamefanya nini? wameendeleza au wameuza. story za wajukuu zako peleka nyumbani usituletee hapa upumbavu.
Subiri uolewe na waarabu mpenda vya bure wewe unafikiri bila kutolea jasho maisha yako mwarabu atakusaidia nini pumbavu?
 
Maisha ni siasa,Dini ni siasa,maendeleo ni siasa,kazi ni siasa,uchumi ni siasa,elimu ni siasa,utamaduni ni siasa,jamii ni siasa,nchi ni siasa,bila siasa hakuna maisha wala maendeleo.
Basi mwambie askofu ajitambulishe rasmi kama mwanachama wa CHADEMA
 
Tumerithi kwa mababu zetu mkuu, wao walikua wanauza watu sisi twauza vitu.
Nimecheksa sana, ingawa sio jibu nililokuwa nategemea. I truly wish to understand, angalia Mkapa hayupo, JPM na yeye hayupo, na kila kiongozi aliyepo na ajaye ataondoka. Mtu ukijua hili kwanini usihakikishe vizazi vijavyo vinakuta mambo bora zaidi? Sisi ni madudu kila siku jamani?
 
Subiri uolewe na waarabu mpenda vya bure wewe unafikiri bila kutolea jasho maisha yako mwarabu atakusaidia nini pumbavu?
Jinga kuwa kalilie wajukuu zako huko nyumbani eti wajukuuuu wajukuuu nitawaambia nini? ulivyokuwa unashinda kutwa kunywa pombe ulifikiri nini? hao waarabu wanaokutesa wamegeuza jangwa pepo na sisi ndio kwanza tunajaza ndege kwenda kurefresh akili kidogo. au mzee una changamoto hujawahi kwenda kutuliza akili kidogo. Tafuta pesa babu wakujuu watakupenda tu
 
Jinga kuwa kalilie wajukuu zako huko nyumbani eti wajukuuuu wajukuuu nitawaambia nini? ulivyokuwa unashinda kutwa kunywa pombe ulifikiri nini? hao waarabu wanaokutesa wamegeuza jangwa pepo na sisi ndio kwanza tunajaza ndege kwenda kurefresh akili kidogo. au mzee una changamoto hujawahi kwenda kutuliza akili kidogo. Tafuta pesa babu wakujuu watakupenda tu
Subiri uolewe maana sasa hivi ndoa bado,mko kwenye uchumba na maneno matamu ambayo kama ni uhalisia utafanikiwa sana lakini kama ni maneno ya uchumba utayaona maisha baada ya ndoa na Mwarabu.
 
Subiri uolewe maana sasa hivi ndoa bado,mko kwenye uchumba na maneno matamu ambayo kama ni uhalisia utafanikiwa sana lakini kama ni maneno ya uchumba utayaona maisha baada ya ndoa na Mwarabu.
Babu kasafishe macho wajukuu watakuheshimu.
 

Attachments

  • Dubai.jpg
    Dubai.jpg
    335.2 KB · Views: 2
Subiri uolewe maana sasa hivi ndoa bado,mko kwenye uchumba na maneno matamu ambayo kama ni uhalisia utafanikiwa sana lakini kama ni maneno ya uchumba utayaona maisha baada ya ndoa na Mwarabu.
Wewe hubiri tu wacha sisi tule maisha. Maisha yenyewe mafupi 😛
 
Sababu unaandika ujinga humu ohhh tutawaambia ni wajukuu zetu hapo unajiona umeongea kitu cha maana sana. Nchi inatawaliwa na serikali, bunge ni wawakilishi hatuwezi watu mil 65 tukafanya maamuzi. Hujaridhika na sera subiri uchaguzi chagua unayemtaka. Serikali hata iko madarakani kwa 51% wana mandate ya kuamualia hata hao 49% ndio demecracy. Nyinyi hamjaridhika subirini 2025 lakini usilete story za wajukuu. nchi hii haina wajukuu ina wananchi. wajukuu ni wako watafutie mali watakufanyia maombi ukija kuondoka.
Akili yako imekuwa like tunnel vision. According to your mind and beliefs you're right.
I shouldn't argue with narrow minded people who think in one dimension or in one vector plane
 
Babu kasafishe macho wajukuu watakuheshimu.
Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasi haki wala hakusimama katika njia ya wakosefu,bali sheria ya Bwana ndiyo imwongozayo katika maisha yake yote.Mtegemea cha nduguye hufa angali maskini wahenga walisema kwa maana atabakia kusifu mafanikio ya wengine.
 
Back
Top Bottom