Uchaguzi 2020 Dkt. Ryoba: TBC itaonyesha mikutano ya kampeni ya vyama vyote vya siasa, wanasiasa watumie lugha za staha

Uchaguzi 2020 Dkt. Ryoba: TBC itaonyesha mikutano ya kampeni ya vyama vyote vya siasa, wanasiasa watumie lugha za staha

Mkurugenzi wa TBC Dr Ryoba amesema shirika lake litaonesha mikutano ya vyama vyote vya siasa wakati wa kampeni.

Dr Ryoba amewataka viongozi wa kisiasa kutumia lugha za staha na kuzingatia maadili ya viongozi.
Kadhalika Dr Ryoba amesema atakuwa na kikao na viongozi wa vyama vya siasa ili kuweka utaratibu mzuri wa matangazo nyakati za kampeni.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Nimemfukuza kazi kwa sababu ya kutembea na wake za watu.
Tbc staha kama hizi ndio mnataka vile eeeh....?
Ahsanteni!
 
TBC wautumie Uzi huu Kama kioo wajione Jamii inavyowatazama.

Pia chadema na act ni watoto wa kambo wawaache tu muda si milele ipo siku watoto wa kambo watatoboa tu.

Nawashauri chadema waachane na hii TV ya chama cha mapinduzi hata kwenye huo mkutano na huyo mvaa bangili wasiende.
 
Chadema Wakikubali kuafikiana na CCM wajue kabisa mikutano Yao ambayo watu wako nyomi haitaonyeshwa badala yake itaonyeshwa mikutano ambayo wanawatu wachache mnooo au mikutano ambayo mapandikizi ya uvccm yamevaa nguo za chadema halafu wanawazomea meza kuu chadema hatimae fujo hivyo tbccm itaonyeshwa mikutano ya chadema yenye fujo .

Swali kubwa kwa chadema

Toka lini tbccm imekuwa fair kwenu?

Kama walishindwa kurusha mikutano yenu ya ndani watarusha hii ambayo nje Kuna nyomi?

Rai yangu

Upendo wa tbccm kwa upinzani wa kweli nchi hii sio mwema nawasihi Sana achaneni na vyombo vyenye mafungamano na CCM iangalieni channel ten wanayoyafanya kwenu angalau star tv kidooooogo naona wanajitahidi kubalance japo ni 70:40.
 
kwa nia njema kabisa nimshauri bw Ayubu asifanye hivyo atatumbuliwa haraka kama wenzake pale kina DJ wakimwaga shombo zao! chama chetu kina mengi ya kuelezea na muda hautoshi!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mbinu za uvccm

#MaendeleoHayanaChama
Hapo wanatafuta namna ya kumrusha Magufuli peke yake, huu ni mtego Chadema wakigoma itawarahizishia zaidi mpango wao.

Chadema wakikubaki watarusha mkutano mmoja halafu watasema haina maadili wanakatisha matangazo wataendelea na Magufuli.

NCCR, TLP, CUF na wengine watarushwa Sana Ila sio Chadema na ACT.
 
Lugha ya sitaha wamwambie yule aliyegongewa akahamaki hadharani wakati "Kuchapiwa ni siri ya ndani"
 
Mkurugenzi wa TBC Dr Ryoba amesema shirika lake litaonesha mikutano ya vyama vyote vya siasa wakati wa kampeni.

Dr Ryoba amewataka viongozi wa kisiasa kutumia lugha za staha na kuzingatia maadili ya viongozi.
Kadhalika Dr Ryoba amesema atakuwa na kikao na viongozi wa vyama vya siasa ili kuweka utaratibu mzuri wa matangazo nyakati za kampeni.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Watangaze ya kina Kibajaji, Lusinde na Musukuma inatosha hao wengine wasio wa chama chao waachane nao mwisho wa siku mbivu na mbichi zitajulikana tu...
 
Back
Top Bottom