MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
kweli watu hawajua huu mpango ulipangwa muda mrefu sn ...tangu 2010 walijua hii itatokea. ..it was a long short ila waliitengeneza aliekua kabla ya nyundo. ..he wanted mwanamke awekiongozi wa nchi aliposhindwa ndio akasema awe makamu. ..it was secret mission ila wachache sn ndio walikua wanalifahamu hili...na wakina mama wote niwatu wake.Naandika nafuta naandika nafuta.
Ila kuna mtu ni kilaza nchii hiii sijui nani alikuweka pale
Ukiwa madarakani kabla hujaondoka nilazima uweke wakukulinda otherwise unaweza fungwa or shitakiwa