B BWANKU M BWANKU JF-Expert Member Joined Jan 12, 2019 Posts 377 Reaction score 435 Jul 15, 2022 #1 Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi na ziara yake Jimboni kwake kuendelea kusikiliza kero za Wananchi na kuzitatua, kusisitiza watu kujitokeza kwa wingi kuhesabiwa kwenye Sensa na mambo mengine mengi.
Mbunge wa Jimbo la Muhambwe Mkoani Kigoma Mhe. Dkt. Florence George Samizi na ziara yake Jimboni kwake kuendelea kusikiliza kero za Wananchi na kuzitatua, kusisitiza watu kujitokeza kwa wingi kuhesabiwa kwenye Sensa na mambo mengine mengi.
C chotera JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 6,560 Reaction score 15,864 Jul 15, 2022 #2 Halafu huyo mbunge ndio watu wa huko hawataki hata kumsikia kabisa
mdudu JF-Expert Member Joined Feb 6, 2014 Posts 7,013 Reaction score 10,000 Jul 15, 2022 #3 chotera said: Halafu huyo mbunge ndio watu wa huko hawataki hata kumsikia kabisa Click to expand... Ni mbunge wa viti maalumu,hata wananchi wa Muhambwe hawamjui,alipitishwa na mwendazake.
chotera said: Halafu huyo mbunge ndio watu wa huko hawataki hata kumsikia kabisa Click to expand... Ni mbunge wa viti maalumu,hata wananchi wa Muhambwe hawamjui,alipitishwa na mwendazake.