Dkt. Sebi kielelezo cha Waafrika kukataliwa Tiba zao. Alikufa kifo chenye utata baada ya ugunduzi wa Dawa ya UKIMWI

Dkt. Sebi kielelezo cha Waafrika kukataliwa Tiba zao. Alikufa kifo chenye utata baada ya ugunduzi wa Dawa ya UKIMWI

Tatizo ni kuwa hawa wazungu wamekwisha ziosha akili zetu na kupandikiza za kwao za bandia. Tunao uwezo mkubwa tu wa tiba.
 
Nimesoma mpaka mwisho nikitarajia orodha ya vyakula vyenye Alkali lakini wapi, nimeambulia limao tu.
 
Dr.Sebi hakuwa mwafrica alikuwa mtu mweusi sio weusi wote wametokea bara la Africa....Dr Sebi alikuwa mzungu ni Honduras...
Watu weus chimbuko ni Afrika, sababu ya utumwa ndo walienea maeneo mengi ya dunia hasa Marekani, Carribean na Latin America.

Unaposema alikuwa mzungu kisa ni raia wa Honduras unakosea!! Jamaa alikuwa mweusi
 
Umejitahidi kutuelezea mengi ngoja na mimi nikuchangie niweke picha ya Dr Sebi
 

Attachments

  • sebi.PNG
    sebi.PNG
    23.1 KB · Views: 10
Watu weus chimbuko ni Afrika, sababu ya utumwa ndo walienea maeneo mengi ya dunia hasa Marekani, Carribean na Latin America.

Unaposema alikuwa mzungu kisa ni raia wa Honduras unakosea!! Jamaa alikuwa mweusi
na tena Honduras sio wazungu
 
Tena tunashukuru Sana Mh Raisi kwa kutambua swala hili la tiba asilia. Ni maono makubwa sana kwa uhai wa watu na Watanzania kwa ujumla maana tiba hii haina madhara kwa afya za binadamu Bali huujenga mwili na kuwa imara zaidi.

Nashauri kianzishwe kitengo maalumu, kifanye majaribio kwa Magonjwa yanayosumbua Kama vile cancer na kisukari kwa wagonjwa wachache kwa kufuata mwongozo wa Dr sebi. Endapo tiba hiyo itawatibu wagonjwa hao, Basi kitengo hicho kitambuliwe na wizara husika then kitaleta mapato kwa serikali na kusaidia wengi.
WHO watahamia hapa TZ na propaganda za CNN, BBC & ALJAZEERA zitakuwa juu ya kila kitu kuhusu TZ. Haya mambo si mepesi kabisa
 
Hizo dawa alizokuwa anatumia kwanini hao waliomuua wasichukue na kuendelea kuzitumia na kutengeneza pesa ?
 
Hizo dawa alizokuwa anatumia kwanini hao waliomuua wasichukue na kuendelea kuzitumia na kutengeneza pesa ?
Kwa sababu zinatibu kabisa ugonjwa na wao lengo lao sii kutibu bali ni kutuliza kwa muda ili urudi tena kupata tiba ya kutuliza na wao waendelee kula pesa yako
 
Kwa sababu zinatibu kabisa ugonjwa na wao lengo lao sii kutibu bali ni kutuliza kwa muda ili urudi tena kupata tiba ya kutuliza na wao waendelee kula pesa yako
Kwanini wewe / sisi ambao lengo letu sio kama lao tusitumie ? Nadhani swali langu ni hili hakuacha hizo formula zake ?
 
Back
Top Bottom