Dkt. Slaa acha uongo, Hayati Dkt. Magufuli hakuwa mwanademokrasia

Dkt. Slaa acha uongo, Hayati Dkt. Magufuli hakuwa mwanademokrasia

Kinoamiguu

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2018
Posts
11,936
Reaction score
15,196
Wanajanvi,

Kwa waliomsikiliza mzee padre wilbroad sla leo watakubaliana nami kwamba mzee ni muongo kwelikweli.

Anasema na kutoa maoni yake mengi ya kumsifia Magufuli.

Alisema alikuwa mwana demokrasi! Demokrasia ipi?

Alisema alishatoa taarifa juu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya akakuta mtoto wa kiongozi ndiyo anasafirisha madawa husika bila shaka alimaanisha yule mtoto! Slaa wa wakati ule angeshamtaja hugo mtoto.

Pia alisema asingekubali watoto waliopata ujauzito warudi shule.

Wito Mzee Slaa kula mafao yako taratibu acha kujifedhehesha.

Ndimi mwanao.
 
Wanajanvi.
Kwa waliomsikiliza mzee padre wilbroad sla leo watakubaliana nami kwamba mzee ni muongo kwelikweli.
Anasema na kutoa maoni yake mengi ya kumsifia magufuli.
Alisema alikuwa mwana demokrasi! Demokrasia ipi?
Alisema alishatoa taarifa juu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya akakuta mtoto wa kiongozi ndiyo anasafirisha madawa husika bila shaka alimaanisha yule mtoto! Slaa wa wakati ule angeshamtaja hugo mtoto.
Pia alisema asingekubali watoto waliopata ujauzito warudi shule.
Wito mzee Slaa kula mafao yako taratibu acha kujifedhehesha.
Ndimi mwanao.
Mtoto unamkemea baba 🤔,huogopi radhi🏃.Tena baba mwenyewe mchunga kondoo aliyeamua kuwacha kondoo wake wajilishe wenyewe🤭
 
Eti anasema demokrasia ni kuwaachia machinga kufanya biashara popote! damn what a pathetic mindset na kuishi kote nje bado anasupport ushamba wa watu kutokuwa na mpangilio mtu anapanga bidhaa hapo centimeter chache tyre ya gari inapita!
 
Wanajanvi.
Kwa waliomsikiliza mzee padre wilbroad sla leo watakubaliana nami kwamba mzee ni muongo kwelikweli.
Anasema na kutoa maoni yake mengi ya kumsifia magufuli.
Alisema alikuwa mwana demokrasi! Demokrasia ipi?
Alisema alishatoa taarifa juu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya akakuta mtoto wa kiongozi ndiyo anasafirisha madawa husika bila shaka alimaanisha yule mtoto! Slaa wa wakati ule angeshamtaja hugo mtoto.
Pia alisema asingekubali watoto waliopata ujauzito warudi shule.
Wito mzee Slaa kula mafao yako taratibu acha kujifedhehesha.
Ndimi mwanao.
Huyu kakimbiwa na kimada wake. Yuko na msongo wa ubongo
 
Wanachadema: Mbowe akiachia uenyekiti chama kitakufa!

My take: Mbowe ni chadema na chadema ni Mbowe! Siku Mbowe akifa chadema nayo kwaheri.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Wanajanvi.
Kwa waliomsikiliza mzee padre wilbroad sla leo watakubaliana nami kwamba mzee ni muongo kwelikweli.
Anasema na kutoa maoni yake mengi ya kumsifia magufuli.
Alisema alikuwa mwana demokrasi! Demokrasia ipi?
Alisema alishatoa taarifa juu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya akakuta mtoto wa kiongozi ndiyo anasafirisha madawa husika bila shaka alimaanisha yule mtoto! Slaa wa wakati ule angeshamtaja hugo mtoto.
Pia alisema asingekubali watoto waliopata ujauzito warudi shule.
Wito mzee Slaa kula mafao yako taratibu acha kujifedhehesha.
Ndimi mwanao.
Ana stress kapata pa kuzitolea kapata nafuu.. Anatamni kuwa kwenye headlines.. Lakini wakati ukuta.. Alishagota
 
Wanajanvi,

Kwa waliomsikiliza mzee padre wilbroad sla leo watakubaliana nami kwamba mzee ni muongo kwelikweli.

Anasema na kutoa maoni yake mengi ya kumsifia Magufuli.

Alisema alikuwa mwana demokrasi! Demokrasia ipi?

Alisema alishatoa taarifa juu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya akakuta mtoto wa kiongozi ndiyo anasafirisha madawa husika bila shaka alimaanisha yule mtoto! Slaa wa wakati ule angeshamtaja hugo mtoto.

Pia alisema asingekubali watoto waliopata ujauzito warudi shule.

Wito Mzee Slaa kula mafao yako taratibu acha kujifedhehesha.

Ndimi mwanao.
Ili uweze kuziishi siasa za kijani..hakikisha umejitoa akili..ongeza unafiki wa hali ya juu..pia uwe na tabia za kimalayamalaya..ndio utafiti vzr kwenye siasa za kijani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wanajanvi,

Kwa waliomsikiliza mzee padre wilbroad sla leo watakubaliana nami kwamba mzee ni muongo kwelikweli.

Anasema na kutoa maoni yake mengi ya kumsifia Magufuli.

Alisema alikuwa mwana demokrasi! Demokrasia ipi?

Alisema alishatoa taarifa juu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya akakuta mtoto wa kiongozi ndiyo anasafirisha madawa husika bila shaka alimaanisha yule mtoto! Slaa wa wakati ule angeshamtaja hugo mtoto.

Pia alisema asingekubali watoto waliopata ujauzito warudi shule.

Wito Mzee Slaa kula mafao yako taratibu acha kujifedhehesha.

Ndimi mwanao.
Huyu slaa ni mfarisayo, akasaliti utumishi madhabauni akaenda kuoa, akamsaliti mke wake wa ndoa na kwenda kuoa mwanamke mwingine Josephine mshumbusi, akasaliti ukawa baada yeye kutokuwa mgombea, anabeza raia wananchi walioteswa bila hatia na magu
 
Hamuwezi kufanana mitazamo.

Huwezi kulazimisha fikra za mtu zifanane na zako.
 
Wanajanvi,

Kwa waliomsikiliza mzee padre wilbroad sla leo watakubaliana nami kwamba mzee ni muongo kwelikweli.

Anasema na kutoa maoni yake mengi ya kumsifia Magufuli.

Alisema alikuwa mwana demokrasi! Demokrasia ipi?

Alisema alishatoa taarifa juu ya usafirishaji wa madawa ya kulevya akakuta mtoto wa kiongozi ndiyo anasafirisha madawa husika bila shaka alimaanisha yule mtoto! Slaa wa wakati ule angeshamtaja hugo mtoto.

Pia alisema asingekubali watoto waliopata ujauzito warudi shule.

Wito Mzee Slaa kula mafao yako taratibu acha kujifedhehesha.

Ndimi mwanao.
Slaa alitulea vizuri Kama amekengeuka ni yeye sisi tunasonga mbele
 
Eti anasema demokrasia ni kuwaachia machinga kufanya biashara popote! damn what a pathetic mindset na kuishi kote nje bado anasupport ushamba wa watu kutokuwa na mpangilio mtu anapanga bidhaa hapo centimeter chache tyre ya gari inapita!
Kwa hiyo PRESIDA wetu anayetaka wawe na utaratibu mzuri siyo mwana demokrasia?. Anapingana na wenye mpini siyo!
 
Back
Top Bottom