Hawa hawa jamaa ndiyo watakuja kuleta machafuko...Hadi hapo watu watakapochoka na kuamua kutoa 'kafara' kubwa ili kukomesha kabisa masuala haya.
In Jesu Name and God of Israilites he is not going to Die.habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Tz ni sawa na kichaka cha nyasi kilichokauka,anasubiria mtu akimwagie petroli kiwakeCcm ni wauaji
Ndio tunakoelekea.Tz ni sawa na kichaka cha nyasi kilichokauka,anasubiria mtu akimwagie petroli kiwake
Ila mara nyingi hatuombei kuona hali hiyo lakini inavyonekana kuna viongozi wanataka kutuingiza huko
Ova
Mama kwa sasa anategemea sana vyombo vya ulinzi kubaki madarakani, hawezi kuwakemea hata kuwauliza. Huko kwenye CCM ukuta wake hauko vizuri sana. Umeanza kuweka Ufa. Hawezi kuuamini kwa 100%. Tutarajie maumivu Zaidi..Wasaka Urais ndani ya ccm wanamuaribia Mama nae katulia tu anajifanya chura kiziwi hajui anajikaanga na mafuta yake.
Uzuri ni kwamba Faustin Mafwele amefahamikahabari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Uuuuuuuhhhhh! Mama anatupeleka wapi jamani hebu tukatae mtu huyu na chama chake haraka!habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Mzazi anayeua wwnae anabakia kuwa mzazi wa nani?habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Kwani Jumanne Igondu aliyemteka Dr Ulimboka unajuwa yuko wapi?Uzuri ni kwamba Faustin Mafwele amefahamika
Kwani huyu anatishia kitu gani huko kwenye madaraka hadi aamuriwe kuuawa?habari hiyo ni kwa mujibu wa Tweeter ukimnukuu Dr. Slaa
TAARIFA!! TAARIFA!! TAARIFA!!
Taarifa niliyoisikia toka kwa Dr. SLAA (amesema akiwa public) ni kwamba amepewa taarifa na watu wema kuwa AMRI imetolewa ya Ndg. SOKA kuuawa usiku wa leo (kabla ya saa 8) kwenye moja ya misitu nje kidogo ya DSM. Amesema, jopo la kutekeleza mkakati
View attachment 3075985
Pia soma:KWELI - Dkt. Slaa asema amepata taarifa kuwa Deusdadit Soka atauawa na kutupwa msituni
Kulikuwa na Afande Msangi pia, au siyo. Yupo wapi?Kwani Jumanne Igondu aliyemteka Dr Ulimboka unajuwa yuko wapi?