Dkt. Slaa adokeza kuwa amepata habari Deus Soka atauawa leo na kutupwa kwenye msitu

Raisi mpaka Leo hajaongea kitu kuhusu hili janga la utekaji na mauaji, inasikitisha sana na inaonyesha jinsi asivyosijali
 
Nchi imeoza hii afu una jifanya kukuza mdomo binafsi napenda maisha yangu siwezi taka kujitakia kifo cha ajabu
 
Wasiwasi wangu ni kuweka hizi Tetesi halafu zisiwe za kweli

Who will be held accountable?
 
Deus Soka ni nani?
Ana nini cha mno hadi wameamua kumliquidate?
 
Kama una taarifa zote hizi ulishindwaje kumpata au kumfuatilia au ?
EEEeeeenHeeEeeeeh!
Kwani ilikulazimu kweli kuweka komenti kama hiyo?
Wewe unaichukulia kuwa kama ni mzaha, au siyo?

"Ampate au amfuatilie" wapi sasa? Yeye ni polisi? Hivi polisi wapo kwa kazi gani hasa, kuteka watu?
 
Polisi wajishughulishe kumkamata Slaa, ila wasifanye lolote kuhusu hao watekaji?
Hii mantiki ni ya wapi?
Polisi imekana na inafanya Uchunguzi nyie mnasema ni wao Sasa itakuaje? Slaa anajua Aliko bila shaka akasaidie polosi
 
Polisi imekana na inafanya Uchunguzi nyie mnasema ni wao Sasa itakuaje? Slaa anajua Aliko bila shaka akasaidie polosi
Kwani huu utekaji umeanza leo, kwamba juhudi za polisi kufanya uchunguzi usitiliwe shaka?
Jitulizeni tu, lakini uhalifu hata siku moja hauwezi kuzuia mabadiliko.
 
Kama ni kweli.. Ameokoa uhai wa mtu huyu Gentleman ..
 
Kwani huu utekaji umeanza leo, kwamba juhudi za polisi kufanya uchunguzi usitiliwe shaka?
Jitulizeni tu, lakini uhalifu hata siku moja hauwezi kuzuia mabadiliko.
Wanapambana na bila shaka watawafichua wahusika wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…