Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Kumbe Dr Slaa yupo paranoid namna hii?

Mbona mambo ya kawaida hayo barabarani?

Juzi juzi nilikuwa naenda Shinyanga nikaongozana na gari ipo nyuma yangu toka Dodoma hadi Shinyanga tumeachana wao wanaelekea Mwanza na tulikuwa tunapitana pitana.
 
Dr Slaa amekuwa mtu wa wasiwasi muda wote sijui kwa nini hivi unagetemea barabara zetu zilivyokuwa na msongamano wa magari si unaweza kusema foleni yote inanifuatilia mimi.

Mkuu Ritz; argument zako hazina tofauti na za muishiwa dhaifu anaye amini foleni za magari jijini Dar es Salaam is an indicator of economic growth; Foleni kutoka Iringa hadi Dar es Salaam ? Like father, like son.
 



PENDEKEZO: MODS, wekeni mtihani/ test ya kujiunga jf, otherwise tutaendelea kupokea pumba kama hizi za kina lukosi. Hawana hoja za msingi zaidi ya ushabiki.
 
Mzee anaweweseka kutafta huruma ya watanzania

mimi napata shida na mzee slaa hapa tanzania barabara ipi utapita bila kukutana na magari basi itabid atumie ndege yao au apite njia za mkato.
 

Well said mazee,

Naona huu mchezo wao umeosoma vizuri.

Wameona juzi kuna shutuma za mama Zitto wamerudi na hii kutupoteza malengo.
 
Kumbe Dr Slaa yupo paranoid namna hii?

Mbona mambo ya kawaida hayo barabarani?

Juzi juzi nilikuwa naenda Shinyanga nikaongozana na gari ipo nyuma yangu toka Dodoma hadi Shinyanga tumeachana wao wanaelekea Mwanza na tulikuwa tunapitana pitana.

Kumbuka yeye ni kiongozi wa juu wa chama kikuu cha upinzani ambcaho kimekijeruhi chama tawala kuliko wakati mwingine wowote huku usalama wa taifa ukihaha usiku na mchana kushirikiana na chama tawala na serikali (kama ilivyonukuliwa na Steven Wassira ambaye ni waziri ndani ya serikali) kukiangamiza pamaoja na viongozi wake

Dr.Slaa ni mgombea urais mwaka 2010 na ni mwanasiasa tishio kwa chama tawala na viongozi wake (kama ilivyonukuliwa na Samweli Sitta waziri mwandamizi katika serikali hii) katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015
 
Kama walikua wanania mbaya si wagewafanyizia kuliko kuwafata nyuma kama wanasindikiza harusi. Hizi ni siasa za kutafuta huruma.
 
Mkuu si unajua usiposikika ndio unakuwa umekwisha kisiasa ?
Inabidi ufanye lolote lakini sio kama anavyofanya lema ili uonekane upo, hiyo ndio siasa ya chadema



kwa hiyo kwa kulijua hilo, ili usikike ndo huwa unamwaga pumba zako hapa jamvin?? Umekuwa mtu mzima wewe, badilika.
 

tunashukuru katibu wetu mungu yuko nasi daima
 
tunaomba muweke picha ya gari hapa maana ndio ushahidi na hili gari litafahamika nani miliki harisi wa hii gari sio muda mrefu
 
Labda hao jamaa walikua wanalinda michango yao ya m4c ifike makao makuu, si unajua tena bongo, mambo ya kupaki gari porini na kugawana mshiko.
 
Hawa watu watatu na ID kibao humu wanakera sana. Mods kama kuna uwezekano tafuteni njia ya kukomesha huu mtindo wa ID ishirini kwa mtu mmoja. Hii si afya kwa jf.
 
PENDEKEZO: MODS, wekeni mtihani/ test ya kujiunga jf, otherwise tutaendelea kupokea pumba kama hizi za kina lukosi. Hawana hoja za msingi zaidi ya ushabiki.
Na wakiweka watu aina ya zemarcopolo, chillisosi, chilli, lukosi na wa aina yao tutawakosa hivyo tutashindwa kupata mitazamo na viwango vya ufahamu wa masalia wa ccm. Hivyo hivyo tu twendeni. Kuna siku wataelewa, watakumbuka na kubadilika.
 
Rais to be labda jamaa wameanza kukulinda mapema kabla hujaingia ikulu?
 
kazi zenu mlizo nazo zinatosha mkiongeza mnajiumiza wenyewe roho wa mungu awambia chadema.
 
daima machweo yanapo fika mambo mengi huibuka machweo ya mzee slaa yaja hivyo lazima ajitahid kujihami mapema.
 
Na wakiweka watu aina ya zemarcopolo, chillisosi, chilli, lukosi na wa aina yao tutawakosa hivyo tutashindwa kupata mitazamo na viwango vya ufahamu wa masalia wa ccm. Hivyo hivyo tu twendeni. Kuna siku wataelewa, watakumbuka na kubadilika.



Inataka moyo sana kukaa na hawa watu jukwaa moja. Uwezo wao ni megabyte but wenyewe wanalazimisha kujifanya wa gigabytes. Anyway, acha tuwabebe hivohivo mkuu.

Na umewapatia kweli kuwataja.

Umemsahau M23 hapo, full pumba. Huwa nawafananisha na ma-MC.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…