Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Baba MwanaASha hana habari na vitu visivyo na maslahi kwake,yeye kazi kubwa aliyonayo siku hizi ni kukaba 10% za mikataba ya gesi na ndio maana kila safari za nje hamuachi maziri wa nishati na madini!!
Hizo 10% nadhani zimeshamvimbisha tumbo ,kalewa mpaka kajisahau watu kama akina mulungo nao wanajiita maraisi....
janga la taifa ....
 

appreciation kamanda. tuko nyuma yako daima.
 
Tatizo ni TISS mnapojiingiza kwenye siasa za vyama.Fanyeni kazi kwa uadilifu na hamtapa wasiwasi kama ccm ikiondolewa madarakani.
 

hawa jamaa nizaidi ya wafu ni wapuuzi kupindukia...alafu huwa wanatoka familia maskini sana...watoo wa vigogo wa ccm wanafanya kaz BOT na kwingineko...wao wanapewa kazi za kishezi then wanashangilia...yani hawa jamaa ni wapumbav# sijawai ona...
 
maisha wanayo ishi watanzania....ndio kitu pekee kinacho ipeleka serekali ya ccm kaburini...nawashauri ccm wajaribu kupunduza ukali wa maisha wa raia....sio wana tafuta njia mbaya kuwaujumu viongozi wa upinzani...TISS hasa kitengo cha kudl na siasa fanyeni kazi yenu kwa manuufaa ya umma, sio mnafanya kazi kwa maslai ya ccm
 

well said....
 

nani asie juwa TISS wanafanya kazi za Nape?..
 
Ni wapi Dr Slaa ametaja neno Usalama wa taifa? Alichosema ni kwamba alikuwa akifuatiliwa. Sasa wewe umekurupuka mithili ya mtu aliyefumaniwa na mke wa mtu! Au wewe ndiye co-ordinator wa tukio hilo nini!!

walio ajiriwa lumumba huwa awafaniwi husahili.....wote ni waganga njaa na wemetoka familia maskini sana
 
Tatizo ni TISS mnapojiingiza kwenye siasa za vyama.Fanyeni kazi kwa uadilifu na hamtapa wasiwasi kama ccm ikiondolewa madarakani.

kaka bongo systm ime corrupt kitambo
 
Taratibu.....umesema wiki ijayo atapelekwa mahakamani?!

You wish.....ukimaliza, just serukamba yoirself and enjoy your evening.
 
kaka bongo systm ime corrupt kitambo
Quote niliyoijibu ni hiyo hapo chini...
 
mimi napata shida na mzee slaa hapa tanzania barabara ipi utapita bila kukutana na magari basi itabid atumie ndege yao au apite njia za mkato.

Mossad wetu wamegeuka mgambo wa jiji! Hamna akili kabisa!
 

T963 ABN kama hujaiona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…