Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Spinning at the highest order.

Hivi wewe kwa akili zako kama kweli kuna watu wanataka kuwadhuru viongozi wa CHADEMA watahangaika kwa jinsi unavyoelezea hapa.

Siyo kila jambo ni siasa siasa siasa. Siku hizi mwanasiasa hata akikumbana na vibaka anadai wanasiasa wanamfanyizia.

Jifunzeni kutokuwa wepesi wa kupata majibu kabla ya uchunguzi makini.

Cha kushangaza hao hao watu wa usalama mnaowatuhumu kwa matukio mbali mbali yanayowahusu, ndiyo hao hao mnaotueleza mlienda kulipoti tukio.

Yaani umeamua kuja na ID mahususi kwa ajiri ya SPINNING za kiulinzi.

Kweli tutasikia mengi.
Una tatizo la Upungufu wa Fikra wewe, nafikili we ni kijana wa Mwigulu maana ndiye mwenye akili mbofu kuliko CCM wote akifuatiwa na Lusinde.
 
Taarifa hizi zinakufurahisha sana wewe na wasiopenda mabadiliko.Mbinu hizi za vitisho na majaribio mabaya kwa viongozi wa upinzani hazitafanikiwa kamwe.

Sasa jeshi la polisi litoe taarifa kuhusu watu hawa ni akina nani na malengo yao ni nini hasa

Kwanza kabla sijakujibu. Mkuu, Unaongea kutoka Arusha au ndani ya chumba chako cha kila siku kwa sababu jana ulikuwa umekomaa kwa kuwaalika wana Arusha kuanza vulugu wakati wewe ukiwa nyuma ya computer kitandani.

Hapana, hata wewe pia unapata faraja na furaha sana pale viongozi wakuu wa CHADEMA wanapopata kesi ili upate kazi ya ku-update kesi zao kwa wana JF wakiwa mahakamani.

Ni lini na wewe utapata misukosuko ya kesi kama viongozi wengine ili tuweze ku-update kesi yako pia ukiwa kizimbani?.

Kwani wewe una bahati gani hiyo hujapata misukosuko toka ujiunge CHADEMA wakati kila siku uko active kwenye siasa za CHADEMA. There's something fishy on you!!
 
Tunaona, tunasikia na tunashuhudia udharimu mwingi sana ukifanyika dhidi ya wanyonge wa Tanzania na watetezi wao. Ninadhani sasa kama ni kusikia na kuona tumesikia na kuona mengi yakipangwa na kutekelezwa kibabe. Hii ni kutokana na serikali kudharau uma wa Watanzania kwamba ni wajinga, waoga na maskini wasiokuwa na uwezo wa kufanya chochote. Ni watu wa makelele lakini hawana vitendo. Tutalendelea kushuhudia mipango dharimu ikitekelezwa hadi lini? Ni kweli kwamba hakuna cha kufanya zaidi ya kupiga kelele ambazo zilishasemwa ni zua chura wala hazimzuii ng;ombe kunywa maji?Naomba sana Watanzania tuungane pamoja na kuliona hili kwamba tatizo letu si vyama vya siasa wala si umaskini na ujinga wetu. Tufugnuke tu kwa hatua hii moja na kuona kwamba kinachotusumbua ni kiongozi mkuu wa serikali ilyoko madarakani. Huyu mtu angekuwa ni binadamu mwenye kujali, asingefurahishwa na kusimamia uharamia huu. Na kama asingekubaliana waliochini yake pia wangefuata nyayo zake hata kama ni kwa unafiki. Viongozi wa vyama vya siasa, bunge, serikali na sekta binafsi wangecheza ndani ya mfumo ule ule wa kuchukia na kukemea ufirauni kwa dhati.Sasa kwa kuwa hali ni kama hivi, nidhahiri kwamba sasa Watz tunamalizwa mmoja mmoja. Na pasipo kufanya jambo mwaka 2015 ni mbali na hadi uchaguzi nchi hii itakuwa imebakia na wale wanafiki kwa jk bila kujali elimu, wala vyama na hivyo kuendelea kwa ubeberu huu wa ki mafia tunaouona.NINANOMBA SASA WATANZANIA TUFIKA MAHALI TUACHE KUPIGA KELELE ZILIZODHARAULIWA NA AMBAZO HAZIATHIRI KITU ZAIDI YA KUSABABISHA MAUMIVU KWA KILA MSEMAJI NA FAMILIA YAKE NA KUACHA NCHI PAISPO WATETEZI.NINAOMBA NDUGU ZANGU TUPASHANE HABARI HAPA KWA SASA NI WAKATI WA KUCHUKUA HATUA ZA VITENDO. NAOMBA TUAMBIZANE KWA KUZINGATIA HAKI ZA KUISHI ZA KILA MTU, NI HATUA GANI SASA TUNATAKIWA TUCHUKUE , HATUA ZA MWANZO. KUSEMA KUMESHINDWA. NA HATUA YA PILI IWE IPI NA NGAZI INAYOFUATA NI IPI ILI KUHAKIKISHA TANZANIA HURU YA WATANZANIA INAPATIAKANA.
 
Iyovi yote ile tena pori awafuatilie tu hadi Dsm bila kuwafanya chochote ili iwe nini.
 
Ilitakiwa na wao kina Slaa waangize watu wao walifuatilie hilo gari.Kama mnatarajia kuchukua madaraka ya nchi lazima mufikie pahala museme liwalo na liwe.Msitegemee ccm na serikali yake watafikia mahali waamuwe kuacha kuwafanyia haya mambo ya kigaidi.Labda muwe hamna nia ya kwenda ikulu.
 
Anafuatiliwa kwa lipi alilonalo? Mbona mnamkweza sana yaani watu waache kazi zao wamfuatilie slaa!
 
Una tatizo la Upungufu wa Fikra wewe, nafikili we ni kijana wa Mwigulu maana ndiye mwenye akili mbofu kuliko CCM wote akifuatiwa na Lusinde.
Mbona upungufu wa fikra kila binadamu anao. Ningefikiria sana kama ungesema nina upungufu wa fikra pevu.
 
Kwanza kabla sijakujibu. Mkuu, Unaongea kutoka Arusha au ndani ya chumba chako cha kila siku kwa sababu jana ulikuwa umekomaa kwa kuwaalika wana Arusha kuanza vulugu wakati wewe ukiwa nyuma ya computer kitandani.

Hapana, hata wewe pia unapata faraja na furaha sana pale viongozi wakuu wa CHADEMA wanapopata kesi ili upate kazi ya ku-update kesi zao kwa wana JF wakiwa mahakamani.

Ni lini na wewe utapata misukosuko ya kesi kama viongozi wengine ili tuweze ku-update kesi yako pia ukiwa kizimbani?.

Kwani wewe una bahati gani hiyo hujapata misukosuko toka ujiunge CHADEMA wakati kila siku uko active kwenye siasa za CHADEMA. There's something fishy on you!!

Ole wako siku hiyo ikitokea.Be carefully of what you wish for...

Unaweza kuleta mahali nilikohamasisha vurugu?Tafsiri ya vurugu ni nini?

Umekasirika baada ya mimi kuwajulisha wanaJF juu ya unafiki wako dhidi ya wapenda mabadiliko.Pole
 
Walikuwa wanatafuta janja kumbambikizia kesi kama kagonga kuku,mbuzi, mbwa au mlevi
 
Ilitakiwa na wao kina Slaa waangize watu wao walifuatilie hilo gari.Kama mnatarajia kuchukua madaraka ya nchi lazima mufikie pahala museme liwalo na liwe.Msitegemee ccm na serikali yake watafikia mahali waamuwe kuacha kuwafanyia haya mambo ya kigaidi.Labda muwe hamna nia ya kwenda ikulu.

Naunga mkono hili mkuu.Hatua iliyofikia ni bora sasa tuwe na mkakati kama wa ANC wa kuimarisha Youths Wing tuingie kwenye millitary politics ili liwalo na liwe na tukomeshe kabisa tabia hii.Haki hudaiwa not otherwise.Naendelea kupendekeza njia za ku-millitarize zaidi movement yetu sasa
 
Kwanza kabla sijakujibu. Mkuu, Unaongea kutoka Arusha au ndani ya chumba chako cha kila siku kwa sababu jana ulikuwa umekomaa kwa kuwaalika wana Arusha kuanza vulugu wakati wewe ukiwa nyuma ya computer kitandani.

Hapana, hata wewe pia unapata faraja na furaha sana pale viongozi wakuu wa CHADEMA wanapopata kesi ili upate kazi ya ku-update kesi zao kwa wana JF wakiwa mahakamani.

Ni lini na wewe utapata misukosuko ya kesi kama viongozi wengine ili tuweze ku-update kesi yako pia ukiwa kizimbani?.

Kwani wewe una bahati gani hiyo hujapata misukosuko toka ujiunge CHADEMA wakati kila siku uko active kwenye siasa za CHADEMA. There's something fishy on you!!

Kubwa zima pumbavu, jirekebishe kwa manufaa ya wanao na wajukuu
 
Anafuatiliwa kwa lipi alilonalo? Mbona mnamkweza sana yaani watu waache kazi zao wamfuatilie slaa!

Wewe una dalili zote za kuwa mng'oa kucha na meno. Acha kutuzuga. Tutakuwa macho muda wote dhidi ya ufedhuli wenu unaofadhiliwa na mashetani ya hapo lumumba.
 
Du! Kumbe nayo hii imekuwa stori, hamna chochote ni mimi nilikuwa natoka zangu Iringa nikaamua ili niende mwendo mzuri basi nifukuzane na dreva wa Dr Sllaa kumbe nayo imekuwqa issue, kweli TISS mtawasingizia mengi mpaka kufika 2015
haaa. Makamanda waoga....kwikwi..
 
Hata ile ishu ya Mwakyembe kukoswa koswa kugongwa na gari kwa gari yake kwa makusudi kule Iringa ni uongo pia?Vipi kuhusu ile orodha aliyotoa Mwakyembe kuhusu watu waliokuwa katika mpango wa kuuawa na yeye akiwemo?
 
Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu

Usalama wa viongozi wa chama kikuu cha upinzani Chama cha Demok
 
Ole wako siku hiyo ikitokea.Be carefully of what you wish for...

Unaweza kuleta mahali nilikohamasisha vurugu?Tafsiri ya vurugu ni nini?

Umekasirika baada ya mimi kuwajulisha wanaJF juu ya unafiki wako dhidi ya wapenda mabadiliko.Pole
Ben Saanane , Please, don't make me laugh!!
Siku gani hiyo unataka itokee wakati kwa kipindi ambacho umekuwa ndani ya CHADEMA kuna matukio zaidi ya makumi kama siyo mamia yametokea kwa viongozi wa CHADEMA kulinukisha na kukamatwa na wengine kupandishwa kizimbani lakini cha kushangaza zaidi hujawahi angalau hata kukamatwa achilia mbali kusimamishwa kizimbani.

Kesi ikipelekwa mahakamani, wewe ndiyo unakuwa mleta habari za mahakama tena kwa live update wakati hata cell communication katika chumba cha mahakama haziruhusiwi kuwa on.

Ndiyo maana nikasema, there's something fishy going on around you. You seem to have invisible protected glass.
 
Bavicha akili zao vituko sana. Hivi habari sensitive kama hii ni ya kuletwa na ID ambayo siyo verifies kweli?

Kesho utasikia kiongozi mmoja wa chadema anasema hiyo namba ya gari lililotajwa lilikuwa lake na kwamba habari imelengwa kumchafua.

Wewe mleta mada kwa vile unajua mambo tokea Iringa mpaka Dar es Salaam maana yake ulikuwa na Dr. Slaa sasa kwanini usichukue responsibility ya kusema kilichotokea?

Kinachochekesha zaidi vijana wa bavisha hapa washaingia line tayari. Yaani mlaghaika kilaiiiiiiiiini...
 
You seem to be too desperate for power!!

Uongozi mwanana wa kuongoza jamii unakuja automatically kwa mapenzi ya waongozwa. Mwl. Nyerere alisema kiongozi mzuri ni yule asiyetaka kuongoza. Ninyi kwa sasa inavyoonekana mnataka kuongoza kwa hali na mali.

Hizi spinning mnazozianzisha zitakuja kuwarudieni ninyi wenyewe. Historia ya chaguzi nyingi za nchi za Afrika imebainisha hili. You're setting the spinning bar very high kiasi kwamba hata mkiingia madarakani hamuwezi kuwapa wananchi kile mnacho spin kucha kutwa kama kinawezekana. otherwise, tunaanza kuona kama mko na mission za kutaka kujinufaisha kibinafsi


Uko Lumumba unajitahidi sana kupost, wewe unacho pinga ni kipi? so unatakatusikubaliane na mleta maada tukubaliane na wewe? Au wewe ndo mhusika mwenyewe?
 
Mpe pole sana Dr. Slaa,

ila CDM mnatakiwa kuwa makini sana hasa ktk kipindi hiki tunapoelekea kwenye kampeini!!

TAFADHARI VIONGOZI WA CDM CHUKUENI TAHADHARI!! Ndg Zitto, popote pale ulipo kuwa makini maana ktk kipindi cha uchaguzi unaweza tendwa lolote baya ili kuhusisha ubaya huo na cdm kwani tiyari wameshatengeneza mazingira ya kuwagombanisha imeshindikana!! Hii ndio nafasi pekee iliyobaki!!

"Tunza maneno yangu"
 
Back
Top Bottom