Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Nasikitika ujinga kama huu kuandikwa kwenye mtandao wa kijamii unao ongoza hapa Tanzania! Propaganda za kijinga kama hizi zina shusha hadhi ya JF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, TISS na vyombo vya dola hawafanyi michezo ya kitoto hivyo. Wamfuatilie kwa malengo gani. Kama lengo ni kutaka kumdhuru, iweje wasitekeleze mpango huo kwenye zile anga za kutoka iringa hadi morogoro kwenye milima ya uluguru na kule kitonga. Acheni propaganda za kipumbavu.Naona kwa sababu Dk Slaa aliwachana sana TISS Pamoja na ikulu kwa ujumla, pale kwenye mkutano mkubwa wa hadhara Mbeya.
Mkuu, kitendo cha uzi kama huu kuwekwa hapa ni dhahiri kuwa kuna malengo maalum. Si unajua hawa jamaa walivyokamatika sasa.Nasikitika ujinga kama huu kuandikwa kwenye mtandao wa kijamii unao ongoza hapa Tanzania! Propaganda za kijinga kama hizi zina shusha hadhi ya JF
Atongwele,Karibu sana mkuu. Ila siku nyingine ukitumwa kuandika propaganda waambie wawe makini na wanachukutuma. Hiyo namba uliyoandika ni namba ya gari la chadema ambayo hutumika maalum wakatiwa misafara ya viongozi wa chama hicho. Ni namba ambayo hubadilishwa pindi safari ikifika. Aghalabu hutumika kwa nadara sana hasa pale ambapo kunajengeka hisia kuwa viongozi wapo hatarini
Ndiyo gari hilo hilo waliloamuwa kulipiga picha?Karibu sana mkuu. Ila siku nyingine ukitumwa kuandika propaganda waambie wawe makini na wanachukutuma. Hiyo namba uliyoandika ni namba ya gari la chadema ambayo hutumika maalum wakatiwa misafara ya viongozi wa chama hicho. Ni namba ambayo hubadilishwa pindi safari ikifika. Aghalabu hutumika kwa nadara sana hasa pale ambapo kunajengeka hisia kuwa viongozi wapo hatarini
Confederate Spy:Atongwele,
tafadhali usilete upotoshaji hapa.Hapa tunaongelea uhai wa watu.Utani huu haustahili sehemu hii peleka sehemu husika
It's refreshing to have as thick as two short planks like you!!.kachukue ujira wako lumumba,ukakojoe ulale MwanaDiwani
Bavicha akili zao vituko sana. Hivi habari sensitive kama hii ni ya kuletwa na ID ambayo siyo verifies kweli?
Kesho utasikia kiongozi mmoja wa chadema anasema hiyo namba ya gari lililotajwa lilikuwa lake na kwamba habari imelengwa kumchafua.
Wewe mleta mada kwa vile unajua mambo tokea Iringa mpaka Dar es Salaam maana yake ulikuwa na Dr. Slaa sasa kwanini usichukue responsibility ya kusema kilichotokea?
Kinachochekesha zaidi vijana wa bavisha hapa washaingia line tayari. Yaani mlaghaika kilaiiiiiiiiini...
Mkuu, kitendo cha uzi kama huu kuwekwa hapa ni dhahiri kuwa kuna malengo maalum. Si unajua hawa jamaa walivyokamatika sasa.
You seem to be too desperate for power!!
Uongozi mwanana wa kuongoza jamii unakuja automatically kwa mapenzi ya waongozwa. Mwl. Nyerere alisema kiongozi mzuri ni yule asiyetaka kuongoza. Ninyi kwa sasa inavyoonekana mnataka kuongoza kwa hali na mali.
Hizi spinning mnazozianzisha zitakuja kuwarudieni ninyi wenyewe. Historia ya chaguzi nyingi za nchi za Afrika imebainisha hili. You're setting the spinning bar very high kiasi kwamba hata mkiingia madarakani hamuwezi kuwapa wananchi kile mnacho spin kucha kutwa kama kinawezekana. otherwise, tunaanza kuona kama mko na mission za kutaka kujinufaisha kibinafsi
TISS kufuatilia watu ni michezo ya kitoto?Mkuu, TISS na vyombo vya dola hawafanyi michezo ya kitoto hivyo. Wamfuatilie kwa malengo gani. Kama lengo ni kutaka kumdhuru, iweje wasitekeleze mpango huo kwenye zile anga za kutoka iringa hadi morogoro kwenye milima ya uluguru na kule kitonga. Acheni propaganda za kipumbavu.
Verified ID?Ni mambo mangapi yameletwa hapa kwa ID hizi hizi kuanzia EPA hadi RICHMOND na kuwa chanzo kikuu cha habari.Masharti na kanuni za JF zimezingatiwa.Tafadhali usituondoe kwenye mijadala
Wivu na chuki uzushi utawapeleka wapi chadema.Nani ana Muda wa kumfuatilia huyu babu .He is irrelevant mkajipange upya.mmefuliaWANABODI,
Usalama wa viongozi wa chama kikuu cha upinzani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) upo hatarini.Akiwa njia ni kutokea Iringa, Dr. Slaa amefuatiliwa na Gari aina ya Landcruiser yenye vioo vya giza (Tinted) lenye namba za usajili T963 ABN. Awali waliokua ndani ya gari la Dr. Slaa hawakushtuka sana japo waliona kuna mchezo wa gari hilo kuwapita kwa kasi na kisha kupunguza mwendo ghafla na kisha gari la Dr. Slaa kuwapita tena.Walichukulia kama vile ni mchezo wa kawaida hadi walipofika Morogoro na kushtuka zaidi na kuanza kuchukua tahadhari kwa kunakili namba ya gari hilo
Walipofika kibaha ilibidi watoe taarifa kwa askari wa usalama barabarani.
Dr. Slaa na maofisa wa chama akiwemo afisa habari walishtuka zaidi walipofika njia panda ya Tamko-Bunju ambayo mara nyingi hutumika kunapokua na foleni kubwa ya maghari(Traffic Jam) na kulikuta gari hilo likiwasubiri
Baada ya kufuata barabara kuingia jijini Dar Es Salaam gari hiyo ghafla ikaingia nyuma ya gari aliyokua akitumia Dr. Slaa aina ya Landcruiser yenye namba za usajili namba T834 BJG. Ndipo afisa wake aliyekua ndani ya gari akapanda juu (Roof Top) na kufanikiwa kulipiga picha gari hilo.
Kuona hilo likifanyika gari hilo likapaki pembeni na ghafla likaondoka na kupotea hadi muda huu walipoingia Ubungo.
Sasa katika mazingira haya taifa linaelekea wapi? Kama watu wanafuatiliwa na kufanyiwa vituko mchana kweupe usalama wa Watanzania na hasa wanaharakati na viongozi wa upinzani Tanzania uko wapi? Mambo haya ni bora yafahamike mapema na watanzania wayajue. Hili ni tukio lisilo la kawaida kipindi hiki ambacho umma umekosa imani (loose confidence) na vyombo vya dola vinavyotumika kwa matakwa ya kisiasa.
Kuna matukio kadhaa yametokea miaka na miezi michache iliyopita yanayotoa taswira mbaya juu ya usalama wa raia na baadhi ya viongozi wanaokosoa utawala. Siku za karibuni Viongozi wa CHADEMA wamekua wakiwindwa sana na tayari chama hiki kikuu cha upinzani kilishatoa tuhuma kwa Usalama wa Taifa na baadhi ya viongozi wa juu serikali kuhusika katika mipango haramu ya kukihujumu chama hicho na hata kufikia hatua ya kuwabambikia kesi viongozi wake.
What are you talking about?Verified ID?Ni mambo mangapi yameletwa hapa kwa ID hizi hizi kuanzia EPA hadi RICHMOND na kuwa chanzo kikuu cha habari.Masharti na kanuni za JF zimezingatiwa.Tafadhali usituondoe kwenye mijadala