Nyanje
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 763
- 680
Kawadake weweHalaleluya daka wote kabisa, bado mbowe na lema na lisu. Daka wote sweka huko lupango na huku kuwanyonga wote hawa wahaini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawadake weweHalaleluya daka wote kabisa, bado mbowe na lema na lisu. Daka wote sweka huko lupango na huku kuwanyonga wote hawa wahaini.
Itakuja kuigharimu Serikali hasa tunapoendea 2025Hii ndiyo hoja!!
Ccm imeamua kujipaka kinyesi usoni kabisa.
Umesahau kuweka namba yakoAtakamatwa na atatupwa ndani na kazi zitaendelea,usilete mikwala yako ya mbuzi hapa .hakuna anayeogopwa wala anayeweza kushindana na serikali yetu hapa nchini. Sisi ndio wenye nchi na ndio tunasema kuwa kamata tupa ndani huko maana watanzania hatutaki mtu anayechochea machafuko na vurugu nchini
Na bado mtakamatwa sana ile style ya magufuli ndio kiboko yenu nyie hamuwezi kutuchelewesha wajinga wachache kwa chuki zenu za kishamba.Yaani unakamata WATANZANIA wanaitetea nchi Yao ili uwape wajomba zako wa kiarabu,mama wa ajabu sana huyu
Nchi itasonga na wahuni wote lazima wazolewe na kuwekwa ndaniNchi haitaongozeka tena.
Mwisho wao umefika.
Tena huyo askofu mchochezi inatakiwa akamatwe hata leo leo maana analeta uchochezi kwa kujificha kwenye uaskofu .Hatuna askofu wa aina yake anayeacha kusimamia maadili na kuanza kupotosha watu na kuleta uchochezi.Na hako kaaskofu kakamatwe kakahojiwe.
Hakuna serikali ya kijinga inayoweza kupoteza muda wake kuwajibu wajinga wachache wanaotumia uhuru vibaya katika kuchochea vurugu Dawa yao ni kuzomewa tu na kutupwa ndaniHuu ni zaidi ya ujinga unaofanywa na awamu hii ya sita
Jibuni hoja mmeshindwa mmeamua kutosha watu
Nchi ya hovyo hii😏
Mbona Nyerere,Nkrumah n.k waliweza kutupigania,na wakafanikiwa,ambapo sasa mnawarudisha wakoloni kwa kasi sana?Malipo ya kupigania haki za watu weusi ni kifo.
Hutaungwa mkono, uta achwa peke yako ufe.
Waafrika na watanzania sio watu wa kuwapigania ni kuwaacha na shida zao.
Ukikuta mtu mweusi na nyoka wanapigwa muokoe nyoka.
Hiyo demokrasia mnayojifanya mmeirudisha iko wapi?Hakuna serikali ya kijinga inayoweza kupoteza muda wake kuwajibu wajinga wachache wanaotumia uhuru vibaya katika kuchochea vurugu Dawa yao ni kuzomewa tu na kutupwa ndani
Hakuna mnaemtisha,mnajitisha tu wenyeweNchi imefika tulipopataka
Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Hakuna mnyamwezi aliyepelekwa utumwani, jifunzeWakoloni walileta shanga na suti na kanzu kwa machifu nao wakafungua njia kwa mwarabu akamate wanyamwezi apeleke utumwani. Nilikuwa nawakumbusha historia Tu.
Wanaojibu hoja ni Msando na Slaa hatari snKwaio Serikali imeshindwa kujibu kwa hoja wanaanza kuumiza wanao wakosoa sio.
Hakuna wa kumsifia tenavipi, bado MAMA ANAUPIGA MWINGI au