Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimerudishwa by force,watu wengine walikimbia nchi ile kurudishwa tu wanaanza kutukana,binafsi hata kama hao wanaokamatwa ndio wangekua watawala wasingevumilia upuuzi uliokua ukiendeleaZama za Giza zinarudi Kwa Kasi ya ajabu.
NotedGame started...
Acha mtiwe adabuHuyo ndio Samia na team yake mapambio
Huyu walimvua kwanza udiplamat??Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Lisu akahojiwe akili matope zikoje,Mbowe afafanue kuhusu utanganyika na Tanganyika na Samia mzanzibar kivipi yaani!?Kama hali ni hii tutegemee Mhe. LISSU na Mbowe kukamatwa pia kabla ya Jumatano wiki hii.
Inaonekana walishaanza kupata uungwaji Mkono kutoka kwa Wananchi.
Is Reign of terror back again?Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Bora wamemkamata huyu yuda iskarioteDr slaa amekamatwa akiwa nyumbani kwake muda mfupi uliopita.
Habari zaidi zinawajia punde.View attachment 2716215
Kwahiyo demokrasia ni kutukana na kutishia kupindua serikali si ndio? Ukicheza mbwa unaingia nae msikitini. Mama shikilia hapo hapoHiyo demokrasia mnayojifanya mmeirudisha iko wapi?
Kuwanyima watu Uhuru wa kutoa maoni hiyo sio sawa kabisa
Maoni gani hayo!? Badala ya kushauri wanafanya uhaini, ovyo kabisa haoKwanini serikali isisikilize maoni ya wananchi kuliko kutumia nguvu.
Twende tu , suku zaja mda ni mwalim mzuriMuda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Hajiheshimu huyo Dkt mihogo hata ubalozi sijui alipewaje pewaje.
Ndo walikua wanapanga uhaini huko club house!?Who's next
1. Maria Sarungi
2. Martin Maranja Masse
3. Dr. Ananilea Nkya
4.Tundu Kisu
5 John Heche
6. Itaendelea
Hiyo siku mbona haifiki tangu mwaka 1964?Tatizo CCM wanaona nchi ni kama Mali yao. Me naamini ipo cku kitanuka sijui watakimbilia wap
Kipi rudisha bandari za watu , hii vita hamtashinda take noteAmepata alicho kitafuta
WasiojielewaHalafu bado kuna wananchi wanaoishabikia CCM....