SMARTER GHOST
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 298
- 1,258
Wewe ndio unatupigia kelele!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa za ovyo au nyie mshazoea kuwaburuza watusisi ni watanzania, we na hao mazuzu wenzio ndio watanganyika, nchi ya kufikirika. Nyie ndio mmepumbazwa na hao wanaowatumia. Hii ni Tanzania hatuna la kujifunza kutoka Kenya, sifa yetu ni kubwa sana kuliko hao wakenya, hatutaki siasa za hovyo km za hao unaowahusudu, kahamie huko inawezekana we siyo raia wa nchi yetu, usituletee ushenzi wenu huo
Kama hoja zimejibiwa ila kulikuwa na nafasi ya kukata rufaa kwanini wamewakamata wahusika wakiwa njiani kwenda kukata rufaa? 😂Hoja sii zimeshajibiwa na mahkama kuu kanda ya mbeya
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Hivi ilikuwaje wakamatwe wakati mmoja na sehemu moja wakiwa pamoja?Wewe ndio unatupigia kelele!
Wewe humu ndo unapiga kelele hao uliowataja hawajapiga kelele!! Tuliza mshono mnufaika wa ufisadi!!Mwambukusi , Mdude, Slaa walitamka wazi kuwa hawaogopi choche sasa kelele za nini tena?
Waliokamatwa hawapigi kelele, ila nyinyi?Wewe humu ndo unapiga kelele hao uliowataja hawajapiga kelele!! Tuliza mshono mnufaika wa ufisadi!!
Kelele zko wap sasa we kapuku ...Mwambukusi , Mdude, Slaa walitamka wazi kuwa hawaogopi choche sasa kelele za nini tena?
Hana nchi kama unataka maana sisi mamilioni ya watanzania tuna imani kubwa sana na mh Rais na ndio maana tunaendelea kumuunga mkonoMm nimeshakata nae tamaaa akwende zake uko rais dhaifu Sana
Mwambukusi, Mdude na Slaa ndiyo wanalalamika? Shame on youMwambukusi , Mdude, Slaa walitamka wazi kuwa hawaogopi choche sasa kelele za nini tena?
nyinyi humu kwenye mitandao-Mwambukusi, Mdude na Slaa ndiyo wanalalamika? Shame on you
Nikajua wahusika ndio wanapiga kelele kama walivyosema hawaogopi kumbe wanufaika wa ufisadi eti ndo mnapiga kelele 🤣🤣🤣🤣Waliokamatwa hawapigi kelele, ila nyinyi?
Cha ajabu machawa wote ndio mnaounga mkono huu usheitwani.Safi sana ,acha Waendelee kukamatwa kwa kadri iwezekanavyo ,hawawezi wakaendelea kutoa malugha ya uchochezi na ubaguzi halafu wakaachwa hivi hivi bila kuchukuliwa hatua. Zoa wote tupia ndani kwa mahojiano ya kina ili waeleze ni demokrasia ya wapi hiyo ya kuwatukana , kuwadhalilisha na kuwavunjia heshima wengine. Hawawezi wakaachwa wachochee machafuko hapa nchini
Endelea sasa kusubiri mwisho msitupigie makelele sisi tunapiga kazi kujenga nchi.Chenye mwanzo kina mwisho
Unavyozungumzia wingi kama vile kuna uungwaji mkono. Uko mwenyewe na machawa wenzio kutetea udhalimu na ushenzi unaofanywa na serikali dhidi ya raia.Atakamatwa na atatupwa ndani na kazi zitaendelea,usilete mikwala yako ya mbuzi hapa .hakuna anayeogopwa wala anayeweza kushindana na serikali yetu hapa nchini. Sisi ndio wenye nchi na ndio tunasema kuwa kamata tupa ndani huko maana watanzania hatutaki mtu anayechochea machafuko na vurugu nchini
Kasome kitabu cha "The Prince" kilichoandikwa na Niccolo Machiavelli utaelewa.Kwanini serikali isisikilize maoni ya wananchi kuliko kutumia nguvu.
Wanaotetea huu ujinga hawajui kuwa nao ni watuhumiwa tarajiwa?Unavyozungumzia wingi kama vile kuna uungwaji mkono. Uko mwenyewe na machawa wenzio kutetea udhalimu na ushenzi unaofanywa na serikali dhidi ya raia.
Bongo bhana........Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213