Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.

---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...

Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.

View attachment 2716202


Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X

BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!

Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula


View attachment 2716213
CCM inatafuta sababu za kuvuruga tena chaguzi za 2024 na 2025. Wanatambua kuwa mpeperusha bendera waliyekuwanaye endapo atashindanishwa na mwingine mwenye nguvu kutoka upinzani basi biashara itakwisha mapema sana.

Kwa sasa ni lazima tutegemee tena ufedhuli na udhalimu wao kama ilivyokuwa katika chafuzi za 2019 na 2020. Wamezoea vya kunyonga, vya kuchinja wataviwezea wapi! Wakina Wambura na Kingai wanaanza tena kutekeleza kazi zao chafu.
 
Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.

---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...

Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.

View attachment 2716202


Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X

BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!

Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula


View attachment 2716213
KIna FaizaFoxy wanagongesha glass muda huu.

Sasa anasakwa Tundu Lisu....

Mark my word
 
serikali haijibu matusi, uchochezi na uhaini, serikali inatakiwa isimamie ulinzi na usalama wa nchi yetu kwa gharama yoyote ile, yakitokea yakutokea ni watu km wewe watakuja tena huku kuuliza serikali ilikuwa wapi mpaka wamewaacha hawa watu kufanya uchochezi na kuhubiri chuki. Wacha serikali ifanye kazi yake amani yetu itamalaki
Wewe jamaa si kila siku unamnanga Magufuli kwa udictata wake au yeye icho kigezo Cha kulinda nchi hakitakiwi kutumika kwake?
 
Hakuna demokrasia wala uhuru wa kubwatuka mimatusi na kudhalilisha watu wengine .ni lazima sasa watu hawa waanze kukamatwa na kuswekwa ndani haraka sana
Nani kadhalilishwa? Ukitaka kugombana na mbongo dai chako aisee!!!😎
 
Mama anaupiga mwingi! 👏🏼👏🏼👏🏼

Screenshot_20230719_114900_Chrome.jpg
 
Kama ni kweli basi jeshi la polisi wamefanya jambo jema kwa usalama wake, haiwezekani mtu akautumia vibaya umaarufu wake kueneza propaganda na chuki dhidi ya serikali na kile asichokiamini yeye.
Serikali ya wahuni walioiba uchaguzi na rasilimali zetu lazima ipingwe na waadilifu wote
 
Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.

---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...

Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.

View attachment 2716202


Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X

BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!

Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula


View attachment 2716213
Sio tetesi tena ni kweli sikiliza sauti yake wakati akiendelea na mjadala kwenye clubhouse. Aliwakaribisha kiungwana hao mapolisi nyumbani kwake
 
Sio tetesi tena ni kweli sikiliza sauti yake wakati akiendelea na mjadala kwenye clubhouse. Aliwakaribisha kiungwana hao mapolisi nyumbani kwake

Huyu Mzee ana akili wasifikiri hajui anachofanya amewaambia Tanzania utapata shida sana kwa sababu haitopata misaada na wawekezaji hawatokuja labda Waarabu tu na wachina na Warusi lakini kutoka ulaya itakuwa shida Hebu jiulizeni Waarabu na wachina na Warusi wanatoa misaada kiasi gani??!Hata dawa za ukimwi hazitoki kwao
 
Back
Top Bottom