KWELI Dkt. Slaa alitoa kauli ya kuipindua Serikali wakati wa mahojiano

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Ni sahihi, ila changamoto tuliyonayo kama Taifa ni kukosa Wananchi Makini inapotokea mambo yahusuyo mustakabali wa maisha yao.

Kuna watu nimehuzunika kuwasikia wanabeza eti hata bandari ikiuzwa wao haiwahusu.

Unagundua Nyerere alipata shida sana kuwaongoza watu wenye mentality ya namna hii
 
Sawa ngoja tuone zama mpya hii
 
Wahenga walisema, uwongo hutumia lifti kumfikia mlengwo na ukweli hutumia ngazi. Hii ina maana kuwa, uwongo hufika haraka sana kwa walengwa na ukweli huchelewa lakini hufika kwa walengwa.

Kuna kipande cha audio kinatembea kwenye mitandao ambacho kimehaririwa ikisikika sauti ya Dkt. Slaa na pia sauti za watu wengine “wakipanga kinachoitwa uhaini”.

Ukikichunguza kipande hicho cha audio utagundua kuwa kimetengenezwa kwa nia ya kupotosha kwa sababu sauti za watu mbalimbali zimewekwa pamoja ili kutengeneza ujumbe wa kupotosha jamii.

Sauti inayosikika ya Dkt. Slaa imetolewa kwenye mahojiano ambayo alifanya na mtangazaji StarTV anayeitwa Odemba katika kipindi kinachoitwa Medani za Kisiasa zaidi ya mwezi mmoja uliopita na kurushwa hewani.

Fikiria mahojiano yenye maneno ya “uhaini” yafanyike zaidi ya mwezi mmoja uliopita halafu yarushwe hewani nchini zaidi ya mwezi mmoja uliopita, eti ndio akamatwe juzi! Kwa nini chombo cha habari kilichorusha haya mahojiano hakijachukuliwa hatua kama kweli kuna maneno ya “uhaini” katika mahojiano?

Kama ukitaka kuona na kusikia mahojiano yote vizuri alichokisema Dkt. Slaa au kipande cha maneno yaliyowekwa kwenye audio inayozunguka kiko katika muda wa saa 1:01 ya maongezi katika video.

Video ya mahojiano hii hapa;


View: https://www.youtube.com/live/wKbNi6Rr66o?feature=share
Nilileta thread hapa ambayo nilisema kwa sasa utawala wa Rais Samia umekosa uungwaji mkono kwa wananchi wengi nchini hasa wa kipato cha chini na umeamua kwa sasa kutumia “kete” ya udini katika kusaka waungaji mkono katika misingi ya imani ya kidini.

Nilisema sakata la DP World limekuwa ni msumari wa mwisho katika kukataliwa na jamii ya watanzania wengi baada ya tozo mbalimbali ukiachilia baadhi ya wale wanavaa nguo za rangi ya bendera ya CCM!

Thread yangu hii hapa;
Kwa Rais huyu, CCM wana hali mbaya sana!


Rais anachofanya kwa sasa ni kuanza kutumia nguvu za dola kuwanyamazisha wale wanauchambua na kuuhoji utawala wake hasa mkataba wa DP World huku wakiwaelimisha wananchi kuhusu madhara ya mkataba huo.

Nilisema, Ilinichukua miezi mitano kufahamu kuwa Rais Samia hana maisha marefu ya kisiasa kwa sababu hana karama, kipaji na ujuzi wa uongozi.
 
Fikiria mahojiano yenye maneno ya “uhaini” yafanyike zaidi ya mwezi mmoja uliopita halafu yarushwe hewani nchini zaidi ya mwezi mmoja uliopita, eti ndio akamatwe juzi!
Ndio maana ya upelelezi
 
Wahenga walisema, uwongo hutumia lifti kumfikia mlengwo na ukweli hutumia ngazi. Hii ina maana kuwa, uwongo hufika haraka sana kwa walengwa na ukweli huchelewa lakini hufika kwa walengwa.

Kuna kipande cha audio kinatembea kwenye mitandao ambacho kimehaririwa ikisikika sauti ya Dkt. Slaa na pia sauti za watu wengine “wakipanga kinachoitwa uhaini”.

Ukikichunguza kipande hicho cha audio utagundua kuwa kimetengenezwa kwa nia ya kupotosha kwa sababu sauti za watu mbalimbali zimewekwa pamoja ili kutengeneza ujumbe wa kupotosha jamii.

Sauti inayosikika ya Dkt. Slaa imetolewa kwenye mahojiano ambayo alifanya na mtangazaji StarTV anayeitwa Odemba katika kipindi kinachoitwa Medani za Kisiasa zaidi ya mwezi mmoja uliopita na kurushwa hewani.

Kama ukitaka kuona na kusikia mahojiano yote vizuri alichokisema Dkt. Slaa au kipande cha maneno yaliyowekwa kwenye audio inayozunguka kiko katika muda wa saa 1:01 ya maongezi katika video.

Video ya mahojiano hii hapa;


View: https://www.youtube.com/live/wKbNi6Rr66o?feature=share
Nilileta thread hapa ambayo nilisema kwa sasa utawala wa Rais Samia umekosa uungwaji mkono kwa wananchi wengi nchini hasa wa kipato cha chini na umeamua kwa sasa kutumia “kete” ya udini katika kusaka waungaji mkono katika misingi ya imani ya kidini.

Nilisema sakata la DP World limekuwa ni msumari wa mwisho katika kukataliwa na jamii ya watanzania wengi baada ya tozo mbalimbali ukiachilia baadhi ya wale wanavaa nguo za rangi ya bendera ya CCM!

Thread yangu hii hapa;
Kwa Rais huyu, CCM wana hali mbaya sana!


Rais anachofanya kwa sasa ni kuanza kutumia nguvu za dola kuwanyamazisha wale wanauchambua na kuuhoji utawala wake hasa mkataba wa DP World huku wakiwaelimisha wananchi kuhusu madhara ya mkataba huo.

Nilisema, Ilinichukua miezi mitano kufahamu kuwa Rais Samia hana maisha marefu ya kisiasa kwa sababu hana karama, kipaji na ujuzi wa uongozi.
 
JF tayari imeshaverifie officially ni Dr Slaa aliongea hayo Maneno.

Kwahiyo ondoa hii takataka yako haina mashiko.
 
Specifically dakika ya ngapi?

-Kaveli-
 
Kimbilia mahakamani na huu "utetezi" wako.🤣
 
Hayo ya kukuhusu au kutokuhusu mbona ni cha mtoto kubwa na UJINGA NI KUSEMA AU KUDHANI BANDARI INAWEZA KUUZWA
 
Mahojiano yalifanyika tarehe,, mwezi na mwaka gani?

Wakati anahojiwa suala la bandari na DPW lilikuwa tayari linazingumzwa kwa uwazi na wananchi?

Mjadala ulikuwa unahusu nini na mwandishi huyu anayejiita chief 'O' was StarTv?

Clip nzima kuanza mwanzo hadi mwisho dakika 45 iko wapi ili kujua 'full contents' ya 'interview' husika?
 
Ccm wao ni kuuza rasilimali tu kwa matumbo yao
fuatilieni TBC mpate habari za uhakika wacheni kuokotaokota porojo za watu wanajifungia kwenye kachumba na kijirekodi wakijiropokea tuh kama kavimbiwa mbaazi.ccm inachapa kazi kwa mchakamchaka wa hali yajuu ndio mana wanachi wanawapuza sana chadema kwani wakitizama wanayoongea na uhalisia haviendani hata robo
 
Yaani mpaka tuzione tbc ya ccm? Kwani hatuna macho?
 
Yaani mpaka tuzione tbc ya ccm? Kwani hatuna macho?
hii ndio shida mliyo nayo mkielezwa wagumu kuelewa..kwa maelezo yako huna haja ya kitizama habari kwani unamini utazishuhudia njiani

hovyo kabisa
 
Aisee !!!

Hivi unajua naweza kuleta clip ya Samia anayosema hata upinzani wakipiga kura vipi ni CCM ndio wataunda Serikali !!!

Kwa maneno hayo naweza kutafsiri maneno hayo ni kusema kwamba wataiba Kura...

Tuachane na kushikana na kutumia semantics tujenge nchi; tumetoka kwenye mjadala wa uzuri au ubaya wa Mkataba tumeingia kwenye uchochezi na Ugaidi (all at Taxpayers money expense)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…