Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee anasema kilichomwondoa 2015 kimeshafutika. Ni kipi hicho?Baada ya kuachiwa huru leo, Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka kusukuma mabadiliko nchini mwetu.
Pia, Soma: Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi
Akiongea leo nje ya Mahakama ya Kisutu baada ya kuachiliwa huru baada ya DPP kueleza hana nia ya kuendelea na shauri hilo
Mkimpokea Slaa, itabidi wakina Halima nao wapokelewe.Wavimba macho walimpokea Lowassa sembuse Slaa.Atapokewa kwa mikono miwili ili atimize kazi iliyobakia.
Yaani hapa ndiyo tunatofautiana kabisa na nyie nyoko. Dkt Slaa ni mzalendo wa nchi hii eti unambambika majina ya kijinga uliyomezeshwa na mr zero aka kengeza mbowe, shoga linalobanduliwa mbowe shenzi zenu, mkome ku demonize watu kijinga kijingaBabu Mihogo aka liability Mzee wa kuchungulia fursa 😁😁
Yaani nyie mashabiki wa hili chama ni wajinga sana yaani hamna ajenda zaidi ya ajenda za kivuta bangiChadema wanapewa pandikizi liwavuruge
Chama gani?Yaani nyie mashabiki wa hili chama ni wajinga sana yaani hamna ajenda zaidi ya ajenda za kivuta bangi
kazi ni kipimo cha utuKazi ipo.
Sio kwa mfumo wa uchaguzi uliopo tanzania.Chama cha Siasa kinahitaji watu, ukipata kura 5,000 na mwenzio akapata kura 5,001 huyo mwenye 5,001 ndiyo atakuwa mshindi
Umeongea sahihi sana MkuuSio kwa mfumo wa uchaguzi uliopo tanzania.
Huku ni kumdhibiti anayetangaza matokeo.
Anayetangaza matokeo ndio kila kitu mfano akitangaza matokeo ya urais hatakiwi kuhojiwa popote hata akitangaza uongo
Kwanini asiende CcmAje, tutampokea kwa mikono miwili.