Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wassira ni mzee kuliko Dr SlaaMuda wake umeisha, apumzike sasa awaachie vijana
Chanzo?Taarifa mpya hiyo ya muda huu. Dr Slaa kurudi Chadema
Kaongea Dr Slaa mwenyewe baada ya kuachiwa mahakamani.Chanzo?
Nakumbuka jinsi Lissu alivyomshambulia Slaa personally.
No permanent friends or enemies in politics.
Just permanent interests 😀.
Chanzo?
Nakumbuka jinsi Lissu alivyomshambulia Slaa personally.
No permanent friends or enemies in politics.
Just permanent interests 😀.
Baada ya kuachiwa huru leo, Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka kusukuma mabadiliko nchini mwetu.
Pia, Soma: Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi
Akiongea leo nje ya Mahakama ya Kisutu baada ya kuachiliwa huru baada ya DPP kueleza hana nia ya kuendelea na shauri hilo
Yaani hapa ndiyo tunatofautiana kabisa na nyie nyoko. Dkt Slaa ni mzalendo wa nchi hii eti unambambika majina ya kijinga uliyomezeshwa na mr zero aka kengeza mbowe, shoga linalobanduliwa mbowe shenzi zenu, mkome ku demonize watu kijinga kijinga
Wassira ni kijanaMuda wake umeisha, apumzike sasa awaachie vijana
Mavi ya kale hayanuki, walisema wahenga. Na yaliyopita si ndweleChanzo?
Nakumbuka jinsi Lissu alivyomshambulia Slaa personally.
No permanent friends or enemies in politics.
Just permanent interests 😀.
Vijana wepi hao!!??Muda wake umeisha, apumzike sasa awaachie vijana
Kwa sasa tàtizo ni umri, ànaweza kurudi Chadema lakini umri hauwezi kurudi Chadema.Baada ya kuachiwa huru leo, Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka kusukuma mabadiliko nchini mwetu.
Pia, Soma: Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi
Akiongea leo nje ya Mahakama ya Kisutu baada ya kuachiliwa huru baada ya DPP kueleza hana nia ya kuendelea na shauri hilo
Hiki kibabu njaa itakiuwaBaada ya kuachiwa huru leo, Dkt. Slaa ametangaza kuwa yuko tayari kurejea CHADEMA na kufanya kazi bila kuchoka kusukuma mabadiliko nchini mwetu.
Pia, Soma: Dkt. Willibrod Slaa aachiwa huru, DPP hana nia ya kuendelea na kesi
Akiongea leo nje ya Mahakama ya Kisutu baada ya kuachiliwa huru baada ya DPP kueleza hana nia ya kuendelea na shauri hilo