Vipi huyo sokwe wenu mwenye miaka 80 na bado yumo tuMuda wake umeisha, apumzike sasa awaachie vijana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi huyo sokwe wenu mwenye miaka 80 na bado yumo tuMuda wake umeisha, apumzike sasa awaachie vijana
Vijana gani? Kina doto magari?Muda wake umeisha, apumzike sasa awaachie vijana
😄 🤣Wassira ni kijana
Wakati amejiunga na kambi ya madhalimu ilibidi apewe ukweli wake.Chanzo?
Nakumbuka jinsi Lissu alivyomshambulia Slaa personally.
No permanent friends or enemies in politics.
Just permanent interests 😀.
Muda unaisha unapoingia kaburini. As long as unaishi there is always a chance.Muda wake umeisha, apumzike sasa awaachie vijana
Dr Slaa mwanaharakati mpinga Rais muislam?Kazi ipo.
Jambo limezua Jambo.
Jela haijawahi kuwa kikwazo kwa wanaharakati/wanamapinduzi bali huwa ni catalyst ya harakati zao.
Mshauri wa Mama ndio mchawi anaemloga Mama.
Dk. Slaa can never bring any political change in this country. He had time but it had already gone!Kazi ipo.
Jambo limezua Jambo.
Jela haijawahi kuwa kikwazo kwa wanaharakati/wanamapinduzi bali huwa ni catalyst ya harakati zao.
Mshauri wa Mama ndio mchawi anaemloga Mama.
Ningeulizwa kama kupiga kura, ningekataa asirudi milele hapo Chadema. Sababu ni zangu binafsi bila kushurutishwa na mtu.Taarifa mpya hiyo ya muda huu. Dr Slaa kurudi Chadema
ahaa ahaaa du tutumie lugha laini kidogo wandungu sisi watanzania huwa wastaarabu sana ndugu, muite mzee msinziagi tu maana ana watoto na wajukuu wakisoma babu kuitwa sokwe wanaumia sana , ni wazo langu tuVipi huyo sokwe wenu mwenye miaka 80 na bado yumo tu
Sijataja kina imekuwaje ni yeye?ahaa ahaaa du tutumie lugha laini kidogo wandungu sisi watanzania huwa wastaarabu sana ndugu, muite mzee msinziagi tu maana ana watoto na wajukuu wakisoma babu kuitwa sokwe wanaumia sana , ni wazo langu tu