Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Ni lini walitaka watu wapindue serikali???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lini walitaka watu wapindue serikali???
Hakuna mpuuzi kama wewe.Achana na wapuuzi hao ngoja waomboleze
Wapuuzi wote washughulikiwe haraka sana bila kuchelewaHakuna mpuuzi kama wewe.
Usidhani sina akili ninapoandika hayo niliyoandika hapo na mtu kama wewe kudhani naunga mkono mnayoyasimamia na huyu mhujumu mkuu wa nchi yetu...
Hiyo ni kujiondoa akili tu, na ni sawa kwako kufanya hivyo.Zanzibar siyo mkoa bali ni sehemu ya Tanzania ambayo ina autonomous power.
Mimi siyo Mzanzibar na siyo Mtanganyika kwa sababu hata Passport yangu na NIDA vinaonyesha mimi ni Mtanzania
Huna uwezo wa kuwachambua watu na kuwatambulisha wao kuwa "wapuuzi", kumbe mpuuzi ukiwa ni wewe na genge lenu linalohujumu nchi hii.Wapuuzi wote washughulikiwe haraka sana bila kuchelewa
Kwani ww hujui KUNA mapinduzi na UCHOCHEZI HALALI KWA MUJIBU WA KATIBA NA SHERIA??Si alisema Rais apinduliwe. Mwache akajue maana ya maneno aliyoyasema kisheria
Kumbe hupogo?Shikamo
Swissme
Hana. Diplomatic Immunity (DI) inafanya kazi pale anapokuwa nje ya nchi tu! Swali jengineHivi Balozi Hana kinga ya kutoshitakiwa?
Tulijulishwa kuhusu hili tangu Jana usiku humu humu JFWadau, kwa mujibu wa Sauti ya Ujerumami (DW) mchana wa leo imedai Padri, Balozi Dr. Wilbroad Peter Slaa amehamishiwa jijini Mbeya ili kuunganishwa na wenzie Boniface na Mdude. Taarifa za ndani zinadai Slaa amesafirishwa kwa elikopta ya JWTZ alfajiri ya kuamkia leo!
Kosa la uhaini hata uwe Rais mstaafu mwenye Kinga utabebwa tuHivi Balozi Hana kinga ya kutoshitakiwa?
Nipo Mwanjelwa Mbeya karibu na shule ya MkapaHiyo ni kujiondoa akili tu, na ni sawa kwako kufanya hivyo.
Kama wewe asili yako siyo Zanzibar wala Tanganyika, utakuwa umetokea nje ya nchi na kuchukua U-Tanzania?
Hata kama ingekuwa hivyo, unapoishi na kufanyia shughuli zako kutakuhusisha na sehemu mojawapo ya maeneo hayo.
Tueleze, kama hupo Zanzibar, upo wapi sasa hivi.
Sawa lakini hajatokea mpuuzi aliyekaribisha utumwa ili kufurahisha watu wa nasaba yake! Huyu ni kiazi na mauaji yatatokea tu huyu mzembe akiwa amekodoa mimacho mlegezo! Mama abdul janga la taifaHiyo misingi alioiacha huyo baba wa taifa ndio hiyo hiyo anayoifata huyo Raisi aliepo Mamlaka Makubwa ya Raisi na kumpa kinga ya kutoshitakiwa ni matokea ya Katika aliotuachia huyo baba wa taifa katiba tunayo tumia ni ile ile toka enzi za nyerere au wewe hufahamu
Nashangaa eti ma-chadema nayo yamezuzuka! Mimi nilishamfuta!Hatumuamini huyo kama alithubutu kusema tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi ni mambo ya kawaida ni mtanzania gani ataendelea kumuamini?
Kama shuleni ulikuwa hivi hivi, najua hukuambulia kitu huko.Nipo Mwanjelwa Mbeya karibu na shule ya Mkapa
We mpumbavu, nakujulisha tu kuwa nina MBAKama shuleni ulikuwa hivi hivi, najua hukuambulia kitu huko.
EEeeeenHeeeeee!We mpumbavu, nakujulisha tu kuwa nina MBA
Poma hoja zangu kwenye posts zanguEEeeeenHeeeeee!
Unayo "MBA" ya wapi mkuu, 'Huihui2'?
haya makaratasi siku hizi yanatolewa tu kwa yeyote yule anayeyataka.
Hujasikia Msukuma anayo Ph.D., na hata Samia ni Doktori wa Filosofia?
Binafsi nitaiheshimu elimu yako kwa ninayoyaona ukiyaweka humu JF, hata kama sikubaliani nayo.