You might have a point.Haya yatakuwa maamuzi ya kile kikao cha CCM cha jana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You might have a point.Haya yatakuwa maamuzi ya kile kikao cha CCM cha jana.
Tamko la TEC umeliona?Kuna kauli yoyote ya Serikali kwamba wanapitia upya Mkataba wa Bandari? Kwa taarifa yako, baada ya Bunge kuupitisha Mkataba wa Bandari, Sasa hivi taratibu zingine zinaendelea kama kawaida. Kumbuka, kelele za chura hazimzuii tembo kunywa Maji!
TEC kitu weye? Kwani hilo ni Tamko lao la kwanza nchi hii? Lipi lililowahi kufanya kazi nchini?Tamko la TEC umeliona?
Na kwa taarifa yako Dr Slaa mshamuachia,Ile kesi ya uhaini imeishia wapi?
Taifa lililovurugika😁
Kama nawaona mnavyotetemeka na limkataba lenu libovu pamoja na kukimbizana kubadilisha Sheria mbalimbali ili likidhi vigezo bado mnahahaTEC kitu weye? Kwani hilo ni Tamko lao la kwanza nchi hii? Lipi lililowahi kufanya kazi nchini?
kapimwe akili bichwa flat......aliitwa kwenu makunduchi kuhojiwa?Fahamu sheria za nchi kijana
Huyo hajashtakiwa bado.
Ameitwa kuhojiwa.
Siku ukiskia kashikiliwa kwa kosa la uhaini huyo hamtomuona tena.
Subiri kidogo.
Tulieni tu nyie watu wa kaskazini mtaelewa some soon. Huyo mchungaji lzm atiwe adabu kidogokapimwe akili bichwa flat......alaltwa kwenu makunduchi kuhojiwa?
Naona unashangilia km mumeo kasamehewa alipofumaniwa.Kaachiwa sasa kunya boga kama umechukia taahira mkubwa wewe
kwenye uislam uongo sio hata dhambi, dhambi ni kula nguruwe tuMaana ya SLAA kwenye
Ndio nakwambia hujui sheria.
Jambo la kwanza lililofanyika ni kumuita na kumhoji
Kisha anapewa dhamana .
Kinachofuata ni upande wa serikali kufungua kesi.
Ushahidi ukionyesha Ana kosa la kujibu la uhaini anaitwa tena police station hapo ndipo anafutiwa dhamana.
Sasa ombeni sana Dua mama Samia amsameh .
Naskia mawakili na wachungaji mapadri na maaskofu wameenda kupiga magoti ikulu .
Hio umesema wewe nabii wa mitaa ya bizarre au sio.kwenye uislam uongo sio hata dhambi, dhambi ni kula nguruwe tu
hah hah endelea kujifariji sheikhTulieni tu nyie watu wa kaskazini mtaelewa some soon. Huyo mchungaji lzm atiwe adabu kidogo
Take it from me na achana na TEC, Mkataba wa Bandari na DP World utafungwa! Kelele zenu!Kama nawaona mnavyotetemeka na limkataba lenu libovu pamoja na kukimbizana kubadilisha Sheria mbalimbali ili likidhi vigezo bado mnahaha
sawa bichwa flat......na nikukumbushe tu wazee wa chetezo washatoa tamko huko........KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUMEMethali 26:4-12
Usimjibu mpumbavu kipumbavu, usije ukafanana naye. Mjibu mpumbavu kama ustahilivyo upumbavu wake, asije akajiona kuwa mwenye hekima zaidi.
Nakutakia siku njema nicompoop
Teh teh tehsawa bichwa flat......na nikukumbushe tu wazee wa chetezo washatoa tamko huko........KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUME
langu ni Roman catholic, ule mwamba yesu aliomwambia petro, upo sheikh?........KANISA MOJA TAKATIFU LA MITUMETeh teh teh
Kanisa moja?
Hapo Tz kuna makanisa mpk ya kihehe. Na yote yanaitwa matakatifu
Sasa sijui lako ni lipi. 🤣