Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana

Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana

#HABARI Wakili wa mwanasiasa mkongwe Balozi Dr. Willibrod Peter Slaa amesema mteja wake ametolewa jijini Mbeya na kufikishwa Jijini Dar es salaam kwa ajili ya taratibu za kupewa dhamana

Wakili Dickson Matata amesema tayari amepigiwa simu kutoka kwa uongozi wa Polisi Oysterbay - Dar es Salaam wakimtaka afike kwa ajili ya taratibu hizo

"Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake" amesema wakili Dickson Matata #EastAfricaRadio
View attachment 2720659

Matumizi Mabaya ya kodi za waTZ.
 
Fahamu sheria za nchi kijana
Huyo hajashtakiwa bado.
Ameitwa kuhojiwa.
Siku ukiskia kashikiliwa kwa kosa la uhaini huyo hamtomuona tena.
Subiri kidogo.
Kumbe haikuwa uhaini, sasa nyie mbona mlileta nyuzi humu za kumtuhumu Slaa kwamba ni 'haini' ?
 
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .

Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.

Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.

Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi


Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya
We mtoto. Baada ya huyo Mjinga wenu kufanya kosa la uhaini mnaingiza kutumia majina ya kanisa ili apate kuinewa huruma sio?
Huyo hata mumvishe msalaba kilo 50 lzm akanyee kwenye ndoo.
Nyie wapiga debe wa gongo la mboto usanii hamuwezi.
huyu Slaa lzm atiwe adabu
 
Kumbe haikuwa uhaini, sasa nyie mbona mlileta nyuzi humu za kumtuhumu Slaa kwamba ni 'haini' ?
Aliyekwambia sio uhaini nani.
Subiri kijana acha pupa.
Unachukua maneno ya Matola ukadhani yana ukweli?
Mtu anajiita Doctor PHD MATOLA! We unadhani mzima huyo?
 
Aliyekwambia sio uhaini nani.
Subiri kijana acha pupa.
Unachukua maneno ya Matola ukadhani yana ukweli?
Mtu anajiita Doctor PHD MATOLA! We unadhani mzima huyo?
Kama ni Uhaini mbona kaachiwa kwa dhamana ?.....
 
Maana ya SLAA kwenye
Kama ni Uhaini mbona kaachiwa kwa dhamana ?.....
Ndio nakwambia hujui sheria.
Jambo la kwanza lililofanyika ni kumuita na kumhoji
Kisha anapewa dhamana .
Kinachofuata ni upande wa serikali kufungua kesi.
Ushahidi ukionyesha Ana kosa la kujibu la uhaini anaitwa tena police station hapo ndipo anafutiwa dhamana.
Sasa ombeni sana Dua mama Samia amsameh .
Naskia mawakili na wachungaji mapadri na maaskofu wameenda kupiga magoti ikulu .
 
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .

Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.

Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.

Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi


Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Wawajibishwe binafsi Kwa kumsafirisha Slaa Dar - Mbeya - Dar bila ridhaa yake, bila sababu yoyote na kwa gharama zetu.

La kumshikilia kinyume cha sheria liendelee kuwahusu.

Pia waachiliwe wote wenzake.
 
Kuzuia watu wasikemee uuzaji wa bandari kwa waarabu ni sawa na kumziba tembo kwa kivuli cha fimbo au kulifunika jus kws ungo. Tanzania ni nchi iliyolaaniwa na Mungu. Nikifikiria upumbavu unaoendelea hapa nchini nashindwa kupata jibu.
 
Back
Top Bottom