Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Faiza fox?Mshauri mteja wako aaache siasa za chuki
Hasa udini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faiza fox?Mshauri mteja wako aaache siasa za chuki
Hasa udini
Wakili wa Dkt Slaa amesema "Nimepigiwa simu na uongozi wa jeshi la Polisi kituo cha Oysterbay -Dar es Salaam kuwa Dr. Slaa amerudishwa Dar es Salaam na nifike kituo hapo kwa ajili ya taratibu za dhamana yake"
Ikumbukwe kesi ya Uhain haina dhamana na kama wamekubali apewe dhamana basi tutarajie mabadiliko ya mashtaka.
View: https://twitter.com/AdvMatata/status/1692437232517321174?t=eLlBzUOHJox7vLvX07gAaA&s=19
Pascal Mayalla
HeheheMkuu Swala la Gesi haitoki Mtwara mmeshalimaliza?
Na mimi naamini ivyo pia..Haya yatakuwa maamuzi ya kile kikao cha CCM cha jana.
Bandari itabinafsishwa tu!Mapambazuko
Kilichowafanya wasiwapeleke Mahakamani ni nini?
VIta ya bandari bado mbichi 😊
Bora angekuwa na makosa kweli. Ila kwa kusingiziwa kwa chuki tu hata Mungu hapendiHawa uliowataja huwa wanamuona Kadinali Pengo ni sawa na Sheikh Mwaipopo.Wape somo kuwa nchi hii ilikombolewa kwa mkono wa Vatican chini ya Mwalimu Nyerere.Huwezi kumdharirisha Katibu Mstaafu wa TEC ukabaki salama.
Wameona maji yanataku kuzidi unga.Haya yatakuwa maamuzi ya kile kikao cha CCM cha jana.
Tunajua ndio mmeshaamua lakini kunguni mlizosagiwa zimetosha kuwachanganya na hamtokuwa na amani endapo mtabinafsisha harafu matokeo yasiwepo hiyo laana itawala mpaka vizazi vyenu ya nne.Bandari itabinafsishwa tu!
Sasa yule mtu aliyeibuka na kuutangazia ulimwengu atasemaje?Na bado moto utazidi kuwawakia mpaka waachie bandari zetu.
Kwahio sio uhaini tena?
Kama unasaga kunguni halafu harufu inakurudia mwenyewe, saga tu, ila Bandari lazima itabinafsishwa tu!Tunajua ndio mmeshaamua lakini kunguni mlizosagiwa zimetosha kuwachanganya na hamtokuwa na amani endapo mtabinafsisha harafu matokeo yasiwepo hiyo laana itawala mpaka vizazi vyenu ya nne.
Usicheze na laana
Usicheze na kupoteza Amani
Ubabe una muda tu kama yalivyo madaraka
Muda utaongea tuombe uzima tu
Wana kamsemo kao wakiona wewe namna gani unawawekea kauzibe kwenye madili yao km haya ya Deipe Wedding wanakutanguliza Mbinguni ilikusudi 'ukafagie vyoo vya Malaika na kulala store'Tunajua ndio mmeshaamua lakini kunguni mlizosagiwa zimetosha kuwachanganya na hamtokuwa na amani endapo mtabinafsisha harafu matokeo yasiwepo hiyo laana itawala mpaka vizazi vyenu ya nne.
Usicheze na laana
Usicheze na kupoteza Amani
Ubabe una muda tu kama yalivyo madaraka
Muda utaongea tuombe uzima tu
Tamko la IGP ulisikia?Hivi ni kweli hao jamaa walifunguliwa mashtaka ya uhaini au zilikua hisia zetu?
Serikali ikisikiliza kilio inabezwa...isipo sikilizwa inabezwa. Wapinzani tumekua kama watoto
AibuuuuuKahitimisha kazi yake iliyompeleka Mbeya.
Once a system always a system - Courtesy Zomba.
Wajaribu waone kwa Katibu mstaafu wa TEC 😁watajua idadi ya mzunguko wa DuniaWana kamsemo kao wakiona wewe namna gani unawawekea kauzibe kwenye madili yao km haya ya Deipe Wedding wanakutanguliza Mbinguni ilikusudi 'ukafagie vyoo vya Malaika na kulala store'
Wana wa Yakobo tutatoboa tuMwisho wa Tanzania tutashinda tu, Mungu usituache.
Kazi ya kubambikwa KESI ya Uhaini?Kahitimisha kazi yake iliyompeleka Mbeya.
Once a system always a system - Courtesy Zomba.