Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana

Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana

Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .

Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.

Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.

Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi


Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya
Sweka ndani .
 
Next ni IGP, RPC wilaya ya kipolisi Dar, RPC Mbeya, RC Mbeya, Mkurugenzi Tishi, waziri wa katiba na sheria, waziri wa mambo ya ndani, waziri wa habari wanakwenda na maji, mama huwa hatanii
We ni nani labda ?
 
Sasa hizi gharama za kupelekwa na kurudishwa, posho si wangefanyia vitu vya maana kwa wananchi
 
Dikteta wa makunduchi anaiharibu sana nchi yetu.unabambikiza watu kesi kwa kuwa wanapigania haki yao?sijawahi kuona nchi ambayo uvunjifu wa haki ni mkubwa kama Tanganyika
Tusipoamka tutaendelea kunyanyasika kwenye ardhi yetu wenyewe.
 
Eeh hivi Uhaini una dhamana [emoji16]

Hii nchi kukurupuka kwingi sana
 
Hizi pilikapilika zote ni kuwanyamazisha waongeaji...
 
Kumtishia tu mtu kifo kwa maneno inakuwa tayari ni kesi ya mauaji!
 
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .

Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.

Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.

Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi


Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya
Well done

Uonevu umeshindwa

Waziri wa habari, waziri wa mambo ya ndani, IGP, DPP, RPC Mbeya, RCO Mbeya, RC Mbeya, hawa lazima wapitiwe na fagio la chuma ndio chanzo cha kuleta taharuki hii hawana weledi na hawafai kuwepo ofisini kwa kulipwa kodi za wananchi wanaowanyanyasa na kubambikia kesi kwa maslahi yao binafsi.
 
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .

Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.

Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.

Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi


Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya
Aambiwa akashughulikie Dhamana??

Apedomiaaaa!!!😆😆😆
 
Well done

Uonevu umeshindwa

Waziri wa habari, waziri wa mambo ya ndani, IGP, DPP, RPC Mbeya, RCO Mbeya, RC Mbeya, hawa lazima wapitiwe na fagio la chuma ndio chanzo cha kuleta taharuki hii hawana weledi na hawafai kuwepo ofisini kwa kulipwa kodi za wananchi wanaowanyanyasa na kubambikia kesi kwa maslahi yao binafsi.
Wataachia tu. Huwezi kumfunga Mtu wa Mungu kwa makosa ambayo hajatenda Labda Mungu asiwe huyu wa kweli wa Israel.
 
Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!

Jana baada ya ku-file maombi ya kulitaka jeshi la Polisi kuwapeleka Dr. Slaa na wenzake mahakamani ambapo leo tungepangiwa jaji atakayesikiliza maombi yetu na kupewa wito wa mahakama (Summons) ili kuwaita wajibu maombi yetu .

Mimi nilisafiri kurudi Dar kwa ndege na kufika majira ya saa tano usiku.Hivyo kazi ya kufatilia tararibu nilizoeleza hapo juu nilimwachia wakili Jebra Kambore akishiikiana na Chengula na wenzake.

Muda huu nimepigiwa simu na uongozi wa Polisi Oysterbay -Dar es Salaam wakinijulisha kuwa Dr. Willibrod Peter Slaa wamemtoa Mbeya usiku na wako naye kituoni hapo. Hivyo nifike kwa ajili ya kufanya utaratibu wa dhamana yake.

Wakili Dickson Matata
18/8/2023 saa 10:07 Asubuhi


Pia soma
- Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Mshauri mteja wako aaache siasa za chuki
Hasa udini
 
Siku zote hizi kamatakamata Huwa ni Dili za watu ili kupiga pesa hakuna Cha maana watawafanya Hawa Zaid ya kuzunguka zunguka nao huku wakijilipa pa diem nono OP then wanawaachia.
Pesa za ukamataji washatia mfukokoni.
Ni kikundi tu Cha watu ubuni jambo ili wapige pesa
Pesa za usafiri mafuta na gari za kukodi
 
Back
Top Bottom